Mwaliko wa kuhudhuria mkutano
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-480fMhr3RS0/U_1hkzLIz2I/AAAAAAAC6v8/6wGUmqP1w-A/s1600/STanzaniaEm14082617540_0001.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-FdQwjYD_bd4/U9ipQcJZp4I/AAAAAAAF7yc/-8l9dwQohRM/s72-c/p070113ck-0153.jpg)
MWALIKO WA KUHUDHURIA MKUTANO NA RAIS KIKWETE WASHINGTON DC AUGUST 2, 2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-FdQwjYD_bd4/U9ipQcJZp4I/AAAAAAAF7yc/-8l9dwQohRM/s1600/p070113ck-0153.jpg)
KWA WANA DMV WATAKAOITIKIA MWALIKO HUU NA KUTAKA KUHUDHURI, WANAOMBWA NA...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-480fMhr3RS0/U_1hkzLIz2I/AAAAAAAC6v8/6wGUmqP1w-A/s72-c/STanzaniaEm14082617540_0001.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BpcxhYIbWSZGooQaFzFbYpD9*iCrEl337nGhnQRMPf7SZjuVweBUY55Iz2*9q2WRAjuWUfNlkmrtfZDDS2dRwRmKpi*dngom/ZITTO.jpg?width=600)
MWALIKO WA MKUTANO NA WAANDISHI WA HABARI: NDUGU ALBERT MSANDO
Mhe Zitto Zuberi Kabwe. MWANASHERIA wa Mhe Zitto Zuberi Kabwe (Mb), Dr. Kitila Mkumbo na Samson Mwigamba, Ndugu Albert Msando, atazungumza na wahariri wa vyombo vya habari katika Hoteli ya Serena leo tarehe 11/12/2013 kuanzia saa nne na nusu asubuhi (saa 4.30 asubuhi)
Â
Dhima ya mkutano huu itakuwa kutoa ufafafunuzi juu ya mashitaka 11 na majibu yake ambayo Mhe. Zitto Kabwe na washitakiwa wenzake walipewa na...
11 years ago
Habarileo03 Apr
Kikwete kuhudhuria mkutano wa EU,Afrika
RAIS Jakaya Kikwete amewasili Brussels, Ubelgiji, jana kuhudhuria kikao cha siku mbili cha Wakuu wa Nchi za Afrika na za Umoja wa Ulaya (EU-Africa Summit). Kikao hicho kitatoa nafasi kwa viongozi hao, kutathmini mafanikio ya uhusiano wao na kutafuta njia zingine mpya za kuboresha uhusiano wao.
11 years ago
BBCSwahili20 Jan
Iran kuhudhuria mkutano wa Syria-UN
Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa ameilika Iran katika ufunguzi wa mkutano wa kimataifa wa amani kuhusu Syria utakaofanyika wiki hii
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-gsLMuvum_cs/VBmjqj7eXkI/AAAAAAAGkJY/yymvZBwbMto/s72-c/us1.jpg)
JK awasili Marekani kuhudhuria mkutano wa 69 wa Umoja wa Mataifa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameondoka nchini usiku wa jana, Jumatatu, Septemba 15, 2014, kuanza ziara ya wiki mbili katika Marekani ambapo atahutubia Mkutano wa 69 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UN General Assembly) New York. Mbali na kuhutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa mjini New York, Rais Kikwete pia atahudhuria mikutano muhimu katika mji mkuu wa Marekani, Washington, D.C.
Rais Kikwete akiagana na viongozi mbalimbali waliofika kumuaga...
![](http://4.bp.blogspot.com/-gsLMuvum_cs/VBmjqj7eXkI/AAAAAAAGkJY/yymvZBwbMto/s1600/us1.jpg)
10 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-gsLMuvum_cs/VBmjqj7eXkI/AAAAAAAGkJY/yymvZBwbMto/s1600/us1.jpg)
RAIS KIKWETE AWASILI MAREKANI KUHUDHURIA MKUTANO WA 69 WA UN
Rais Kikwete akiagana na viongozi mbalimbali waliofika kumuaga katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam Septemba 15, 2014. Kushoto ni Makamu wa Rais Dkt Mohamed Gharib Bilali…
9 years ago
Mwananchi07 Oct
M/kiti CWT aingia matatani kwa kuhudhuria mkutano wa Lowassa
Mwenyekiti wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) Wilaya ya Chato mkoani Geita, ameshtakiwa kwa kosa la kwenda kuhudhuria mkutano wa kampeni wa mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania