MWALIKO WA KUHUDHURIA MKUTANO NA RAIS KIKWETE WASHINGTON DC AUGUST 2, 2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-FdQwjYD_bd4/U9ipQcJZp4I/AAAAAAAF7yc/-8l9dwQohRM/s72-c/p070113ck-0153.jpg)
Wana DMV BALOZI WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIANCHI MAREKANI, MHE. LIBERATA MULAMULA, ANAWAALIKA WATANZANIA KUTOKA KWENYE MAENEO YA DMV PAMOJA NA MAJIMBO MENGINE HAPA MAREKANI, KUHUDHURIA MKUTANO MAALUM WA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHE. DR. JAKAYA KIKWETE, UTAKAOFANYIKA TAREHE 2 AGOSTI, 2014 KATIKA HOTELI YA MARRIOT, 1221 22ND ST NW,WASHINGTON DC 20037, KUANZIA SAA 12.00 KAMILI JIONI.
KWA WANA DMV WATAKAOITIKIA MWALIKO HUU NA KUTAKA KUHUDHURI, WANAOMBWA NA...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-_kzS0fX2vL4/U9u0zk-zbxI/AAAAAAAF8R0/AjqI6lpX-UQ/s72-c/unnamed+(31).jpg)
Rais Kikwete awasili Washington kuhudhuria Mkutano wa Viongozi wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Amerika na Africa (US-Africa Leaders summit)
![](http://1.bp.blogspot.com/-_kzS0fX2vL4/U9u0zk-zbxI/AAAAAAAF8R0/AjqI6lpX-UQ/s1600/unnamed+(31).jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xEh6B1KdSWQOGz4AfNiNHx9-yEl6SrgvUd7XZ4NoNf3FH8uXB0fiWB32CD9bCsVkxGBjNosi048M1WaSc6jmbGzPY9l4vuQ4/dc2.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AWASILI WASHINGTON KUHUDHURIA MKUTANO WA VIONGOZI WA WAKUU WA NCHI NA SERIKALI WA AMERIKA NA AFRICA (US-AFRICA LEADERS SUMMIT)
10 years ago
Dewji Blog27 Aug
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-480fMhr3RS0/U_1hkzLIz2I/AAAAAAAC6v8/6wGUmqP1w-A/s1600/STanzaniaEm14082617540_0001.jpg)
9 years ago
VijimamboMAMA SHUJAA WA CHAKULA 2014 BAHATI MURIGA KUHUDHURIA MKUTANO WA SIKU YA CHAKULA DUNIANI WASHINGTON DC
10 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-gsLMuvum_cs/VBmjqj7eXkI/AAAAAAAGkJY/yymvZBwbMto/s1600/us1.jpg)
RAIS KIKWETE AWASILI MAREKANI KUHUDHURIA MKUTANO WA 69 WA UN
11 years ago
Dewji Blog28 May
Rais Kikwete awasili Toronto, Canada kuhudhuria mkutano wa Afya ya Mama na Mtoto
Rais Jakaya Mrisho Kikwete amewasili Toronto Canada tarehe 27 Mei, 2014 usiku kuhudhuria mkutano unaohusu Afya ya Mama na Mtoto kufuatia mualiko kutoka kwa Waziri Mkuu wa Canada Mheshimiwa Stephen Harper.
Mkutano wa Afya ya Mama na Mtoto , (Maternal, Newborn and Child Health -MNCH) unaanza Leo tarehe 28 – 30 Mei, 2014 ambapo Rais Kikwete pia anatarajiwa kuwa miongoni mwa wazungumzaji wakuu.
Lengo la mkutano huu ni kutoa nafasi kwa wataalamu na viongozi wa dunia kufikia makubaliano kwa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-DwjkWZQ2bzs/U6nU-g91D0I/AAAAAAACkN0/iuqrzHecm8k/s72-c/ma5.jpg)
RAIS KIKWETE ATUA MALABO, EQUTORIAL GUINEA, KUHUDHURIA MKUTANO WA 23 WA UMOJA WA AFRIKA
![](http://4.bp.blogspot.com/-DwjkWZQ2bzs/U6nU-g91D0I/AAAAAAACkN0/iuqrzHecm8k/s1600/ma5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-GjtTox154TQ/U6nU_vCwP0I/AAAAAAACkOE/nr20nkCcglQ/s1600/ma6.jpg)
Akiwa Malabo, Mheshimiwa Rais Kikwete pia atakuwa Mwenyekiti wa kikao cha wakuu wa nchi wanachama wa AU kitakachojadili mazingira. Rais Kikwete na ujumbe wake anatarajiwa kurejea nchini mwishoni mwa wiki.
![](http://4.bp.blogspot.com/--KxOenSdRao/U6nU9efYvVI/AAAAAAACkNw/VK1ZhQ1jMvY/s1600/ma2.jpg)
11 years ago
Dewji Blog07 May
Rais Kikwete awasili Abuja, Nigeria, kuhudhuria Mkutano wa Uchumi Duniani (World Economic Forum)
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akipokea shada la maua mara baada ya kutua katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Nnamdi Azikiwe jijini Abuja, Nigeria, usiku wa Mei 6, 2014 ambako atahudhuria Mkutano wa siku 3 wa Uchumi Duniani kuhusu Afrika (World Economic Forum for Africa).
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Waziri wa Nishati wa Nigeria Profesa Chinedu Ositadinma Nebo na Balozi wa Tanzania nchini Nigeria Mhe Daniel Ole Njoolay katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Nnamdi...