RAIS KIKWETE AWASILI MAREKANI KUHUDHURIA MKUTANO WA 69 WA UN
![](http://4.bp.blogspot.com/-gsLMuvum_cs/VBmjqj7eXkI/AAAAAAAGkJY/yymvZBwbMto/s1600/us1.jpg)
Rais Kikwete akiagana na viongozi mbalimbali waliofika kumuaga katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam Septemba 15, 2014. Kushoto ni Makamu wa Rais Dkt Mohamed Gharib Bilali…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog28 May
Rais Kikwete awasili Toronto, Canada kuhudhuria mkutano wa Afya ya Mama na Mtoto
Rais Jakaya Mrisho Kikwete amewasili Toronto Canada tarehe 27 Mei, 2014 usiku kuhudhuria mkutano unaohusu Afya ya Mama na Mtoto kufuatia mualiko kutoka kwa Waziri Mkuu wa Canada Mheshimiwa Stephen Harper.
Mkutano wa Afya ya Mama na Mtoto , (Maternal, Newborn and Child Health -MNCH) unaanza Leo tarehe 28 – 30 Mei, 2014 ambapo Rais Kikwete pia anatarajiwa kuwa miongoni mwa wazungumzaji wakuu.
Lengo la mkutano huu ni kutoa nafasi kwa wataalamu na viongozi wa dunia kufikia makubaliano kwa...
11 years ago
Dewji Blog07 May
Rais Kikwete awasili Abuja, Nigeria, kuhudhuria Mkutano wa Uchumi Duniani (World Economic Forum)
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akipokea shada la maua mara baada ya kutua katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Nnamdi Azikiwe jijini Abuja, Nigeria, usiku wa Mei 6, 2014 ambako atahudhuria Mkutano wa siku 3 wa Uchumi Duniani kuhusu Afrika (World Economic Forum for Africa).
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Waziri wa Nishati wa Nigeria Profesa Chinedu Ositadinma Nebo na Balozi wa Tanzania nchini Nigeria Mhe Daniel Ole Njoolay katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Nnamdi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*tHd*uipNJAKv*b9IohaMB8a4pJ9zLpMtx3T1eQP*WmxhWGfKfWn4ORp0j6psMUQgUD6IB5Riq4DPiBE1ZdPppL9C0Hz0kz2/ab1.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AWASILI ABUJA, NIGERIA, KUHUDHURIA MKUTANO WA UCHUMI DUNIANI (WORLD ECONOMIC FORUM)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/HfULSMZVqrw/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Lan-pcEuezY/VX0BU3apIjI/AAAAAAAHfSE/es9kYldeCic/s72-c/unnamed%2B%252846%2529.jpg)
RAIS KIKWETE AWASILI AFRIKA KUSINI KUHUDHURIA MKUTANO WA 25 WA UMOJA WA AFRIKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Lan-pcEuezY/VX0BU3apIjI/AAAAAAAHfSE/es9kYldeCic/s640/unnamed%2B%252846%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-f6T41KzEiUg/VX0BUzf7sgI/AAAAAAAHfSA/IDRjfqJw3t8/s640/unnamed%2B%252847%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-gsLMuvum_cs/VBmjqj7eXkI/AAAAAAAGkJY/yymvZBwbMto/s72-c/us1.jpg)
JK awasili Marekani kuhudhuria mkutano wa 69 wa Umoja wa Mataifa
![](http://4.bp.blogspot.com/-gsLMuvum_cs/VBmjqj7eXkI/AAAAAAAGkJY/yymvZBwbMto/s1600/us1.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-_kzS0fX2vL4/U9u0zk-zbxI/AAAAAAAF8R0/AjqI6lpX-UQ/s72-c/unnamed+(31).jpg)
Rais Kikwete awasili Washington kuhudhuria Mkutano wa Viongozi wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Amerika na Africa (US-Africa Leaders summit)
![](http://1.bp.blogspot.com/-_kzS0fX2vL4/U9u0zk-zbxI/AAAAAAAF8R0/AjqI6lpX-UQ/s1600/unnamed+(31).jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xEh6B1KdSWQOGz4AfNiNHx9-yEl6SrgvUd7XZ4NoNf3FH8uXB0fiWB32CD9bCsVkxGBjNosi048M1WaSc6jmbGzPY9l4vuQ4/dc2.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AWASILI WASHINGTON KUHUDHURIA MKUTANO WA VIONGOZI WA WAKUU WA NCHI NA SERIKALI WA AMERIKA NA AFRICA (US-AFRICA LEADERS SUMMIT)
10 years ago
Vijimambo14 Jan
Rais Kikwete awasili nchini Msumbiji kuhudhuria Sherehe za kuapishwa Rais Nyusi