DC Tunduru ampongeza mwekezaji
MKUU wa Wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma, Chande Nalicho, amempongeza Mwekezaji wa nyumba ya kulala wageni ya Peramiho, Faustin Chale kwa uwekezaji alioufanya wilayani hapo. Alisema ujasiri wa mwekezaji huyo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziRais Kikwete afungua ujenzi wa barabara Tunduru - Mangaka matemanga,pia azindua mradi wa maji Nalasi -Tunduru
11 years ago
Habarileo02 Aug
Mafataki wa Tunduru kufichuliwa
JAMII wilayani Namtumbo imeombwa kuwafichua wanaume wanaowalaghai watoto wa kike na kufanya nao mapenzi na kuwapa mimba, hali inayofanya wasiendelee na masomo yao.
5 years ago
MichuziDC TUNDURU AUFUNDA USHIRIKA
Ndugu Mtatiro ametoa rai hiyo leo alipokuwa akifunga mafunzo ya siku ya tatu ya vyama vya ushirika na vyama vya akiba na mikopo yaliyoandaliwa na Mrajis Msaidizi wa Vyama vya Ushirika mkoa wa Ruvuma kwa kushirikiana na Tume ya Maendeleo ya Ushirika, Shirika la Ukaguzi na usimamizi wa...
11 years ago
KwanzaJamii25 Apr
Shaba ya Bluu yagundulika Tunduru
9 years ago
Mwananchi27 Sep
Mghwira aahidi lami Tunduru
10 years ago
Habarileo16 Dec
Ukawa waambulia viti 38 Tunduru
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Wilani Tunduru, kimeibuka kidedea kwa kupata viti katika vijiji 105 katika matokeo ya awali ya uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyia jana nchi nzima.
10 years ago
Habarileo14 Aug
Madereva Dar-Tunduru kupimwa afya
VITUO vya maarifa sita vitakavyotoa huduma za afya vinatarajiwa kujengwa kando ya barabara kunusuru madereva wa masafa marefu kutoka Dar es Salaam hadi Tunduru. Meneja Mradi wa North Star Alliance anayeratibu ujenzi huo, Edger Mapunda alisema jana alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam.
10 years ago
Habarileo24 Aug
Tunduru wahimizwa kukusanya maduhuli ya serikali
OFISI ya Madini wilayani Tunduru mkoani Ruvuma, imetakiwa kutozembea na kusimamia ipasavyo ukusanyaji wa maduhuli na ulipwaji wa mirahaba, kwa kuwa sasa ofisi hiyo haijakusanya maduhuli hayo kwa kiwango cha kuridhisha.
5 years ago
MichuziBL 12.4 ZATOLEWA KWA KAYA MASKINI TUNDURU
Afisa Mwezeshaji wa mfuko wa Maendeleo ya jamii Nchini(TASAF)wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma Avelinius Rwegasira akiongea jana na wanufaika wa mpango wa kunusuru kaya maskini katika kijiji cha Tanesco Tunduru mjini wakati wa malipo kwa walengwa hao.Baadhi ya walengwa ambao ni wanufaika wa mpango wa kunusuru kaya maskini Tasaf kijiji cha Tanesco wilayani Tunduru wakisubiri...