Mafataki wa Tunduru kufichuliwa
JAMII wilayani Namtumbo imeombwa kuwafichua wanaume wanaowalaghai watoto wa kike na kufanya nao mapenzi na kuwapa mimba, hali inayofanya wasiendelee na masomo yao.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziRais Kikwete afungua ujenzi wa barabara Tunduru - Mangaka matemanga,pia azindua mradi wa maji Nalasi -Tunduru
11 years ago
BBCSwahili11 Apr
Mume amuua mke akihofia siri kufichuliwa
11 years ago
Habarileo09 Jan
Mama Pinda akemea wazazi kuficha ‘mafataki’
MKE wa Waziri Mkuu, Tunu Pinda amekemea tabia ya wazazi na walezi, kuficha na kumalizana kinyemela nje ya Mahakama na wanaume, wanaotuhumiwa kukatisha masomo ya watoto wao kwa kuwapa ujauzito.
11 years ago
Michuzi28 Jul
SHULE YA SEKONDARI MWEMBETOGWA YA IRINGA YATIMUA WALIMU 'MAFATAKI'
Mwembetogwa, Kevin Mlengule
SHULE ya Sekondari ya Mwembetogwa ya Mjini Iringa imepongezwa na wadau wake baada ya hivikaribuni kuwafukuza kazi walimu wanne wa kiume waliobainika kuwa na mahusiano ya kimapenzi na wanafunzi wao wa kike maarufu kama mafataki
“Tunataka shule nyingine ziige mfano wa shule hii, tumefarijika kusikia imechukua uamuzi huo na kwa kufanya hivyo tunaamini shule hiyo itakuwa salama kwa watoto wetu wa kike,” alisema mmoja wa wazazi wenye watoto...
11 years ago
Tanzania Daima14 Jul
DC Tunduru ampongeza mwekezaji
MKUU wa Wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma, Chande Nalicho, amempongeza Mwekezaji wa nyumba ya kulala wageni ya Peramiho, Faustin Chale kwa uwekezaji alioufanya wilayani hapo. Alisema ujasiri wa mwekezaji huyo...
5 years ago
MichuziDC TUNDURU AUFUNDA USHIRIKA
Ndugu Mtatiro ametoa rai hiyo leo alipokuwa akifunga mafunzo ya siku ya tatu ya vyama vya ushirika na vyama vya akiba na mikopo yaliyoandaliwa na Mrajis Msaidizi wa Vyama vya Ushirika mkoa wa Ruvuma kwa kushirikiana na Tume ya Maendeleo ya Ushirika, Shirika la Ukaguzi na usimamizi wa...
9 years ago
Mwananchi27 Sep
Mghwira aahidi lami Tunduru
11 years ago
KwanzaJamii25 Apr
Shaba ya Bluu yagundulika Tunduru
10 years ago
Habarileo16 Dec
Ukawa waambulia viti 38 Tunduru
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Wilani Tunduru, kimeibuka kidedea kwa kupata viti katika vijiji 105 katika matokeo ya awali ya uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyia jana nchi nzima.