Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Madereva Dar-Tunduru kupimwa afya

VITUO vya maarifa sita vitakavyotoa huduma za afya vinatarajiwa kujengwa kando ya barabara kunusuru madereva wa masafa marefu kutoka Dar es Salaam hadi Tunduru. Meneja Mradi wa North Star Alliance anayeratibu ujenzi huo, Edger Mapunda alisema jana alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Raia Tanzania

Wanafunzi 270 kupimwa afya

ZAIDI ya wanafunzi 270 wa Shule ya Msingi Viziwi Buguruni, jijini Dar es Salaam, wanatarajiwa kupima afya zao na kupatiwa matibabu.

Akizungumza na gazeti hili jana, jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Kuhudumia Viziwi Tanzania (TSD), Yasin Mawe, alisema wanafunzi hao watapimwa damu, mkojo, uzito na urefu.

"Tumeamua kuwapima afya ili kupata kumbukumbu sahihi na kufahamu maradhi yanayowasumbua ili kuwapatia dawa," alisema.

Alisema TSD kwa kushirikiana na wahisani...

 

11 years ago

Michuzi

JK afungua nyumba za Watumishi wa Afya Matemanga, Tunduru, zilizojengwa na Mkapa Foundation

 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kiwete akiteta jambo na mkazi wa kijiji cha Ligela wilayani Namtumbo Bwana Edwin Ngonyani wakati alipokuwa anahitimisha ziara yake wilayani humo.Bwana Ngonyani ambaye alipata ulemavu baada ya kupoteza miguu yote miwili katika ajali ya moto alimweleza Rais kuwa anapata taabu ya kutafuta riziki kwakuwa anatambaa kwa taabu.Rais Kikwete alitoa ahadi ya kumsaidia mlemavu huyo ili aweze kujikimu kimaisha. Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia wananchi wa kijiji cha...

 

11 years ago

Michuzi

Rais Kikwete afungua ujenzi wa barabara Tunduru - Mangaka matemanga,pia azindua mradi wa maji Nalasi -Tunduru

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete (katikati) na balozi mdogo wa Japan nchini Kazuyoshi Matsunaga (wa tatu kushoto) wakishirikiana kukata utepe ikiwa ni ishara ya kuzindua ujenzi wa Barabara ya Tunduru-Mangaka Matemanga mradi unaojengwa na Serikali ya Tanzania kwa ushirikiano wa serikali ya Japan kupitia shirika lake la kimataifa la maendeleo JICA.Wengine pichani toka kushoto ni ni Mbunge wa Nanyumbu Dunstan Mkapa,Mkuu wa Mkoa wa Mtwara,Kapten Mstaafu Joseph Simbakalia,Waziri wa ujenzi Dkt. John...

 

10 years ago

Mwananchi

Majambazi yaua, yapora Dar, Tunduru

Dar/Songea. Tafrani ilizuka Dar es Salaam na mjini Tunduru, mkoani Ruvuma, baada ya majambazi kuua mtu mmoja na kupora zaidi ya Sh10 milioni katika matukio mawili tofauti.

 

10 years ago

Raia Tanzania

TBL yapongezwa kwa kuboresha afya za madereva

KAMANDA wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Mohamed Mpinga, ameipongeza Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), kwa jitihada za kuhakikisha usalama barabarani na afya za madereva zinaimarika.

Kamanda Mpinga alitoa pongezi hizo jana jijini Dar es Salaam, katika hafla ya kupokea hundi ya Sh. milioni 124.6 kutoka TBL ili kufanikisha wiki ya usalama barabarani na kufadhili upimaji afya za madereva wa masafa marefu.

Akizungumza baada ya kupokea fedha hizo, Kamanda Mpinga alisema kwa miaka saba...

 

9 years ago

Vijimambo

KAMANDA MPIGA AKABIDHI TBL,RIPOTI YA UPIMAJI AFYA ZA MADEREVA

 KAMANDA wa Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani Nchini, Kamishna Mohamed Mpinga (katikati), akikabidhi Ripoti ya upimaji wa Afya za Madereva kwa Meneja Mahusiano ya Nje wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Bi. Emma Oriyo, Dar es Salaam jana, baada ya zoezi la kupima Afya za madereva lililofanyika Mikese, mkoani Morogoro, Msata mkoani Pwani na Segera, mkoani Tanga. Kushoto ni Kamanda wa Kikosi cha Afya cha Jeshi la Polisi, Kamishna Msaidizi, Paul Kasabago. KAMANDA wa Polisi Kikosi cha Usalama...

 

10 years ago

Michuzi

TBL YAMKABIDHI KAMANDA MPINGA RIPOTI YA UPIMAJI AFYA ZA MADEREVA NCHINI

 Mkurugenzi wa Uhusiano na Sheria wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Stephen Kilindo,(kushoto), akimkabidhi Kamanda Polisi, Kikosi cha Usalama Barabarani, Kamishna Mohammed Mpinga. Ripoti ya Upimaji wa afya za madereva, wakati wa Wiki ya Nenda kwa Usalama barabarani iliyofanyika Novemba 22 hadi 28 katika vituo vya mikese, mkoaniMorogoro. Makabidhiano hayo yalifanyika Dar es Salaam juzi.
  Kamanda Polisi, Kikosi cha Usalama Barabarani, Kamishna Mohammed Mpinga. akitoa shukrani kwa TBL...

 

10 years ago

Michuzi

TBL YAFANIKISHA UPIMAJI AFYA ZA MADEREVA WIKI YA NENDA KWA USALAMA

 Kaimu mkuu wa mkoa wa Morogoro ambaye ni mkuu wa wilaya ya Mvomero, Anthony Mtaka akikabidhiwa zawadi ya fulana  na Mkurugenzi wa uhusiano na sheria wa TBL, Steven Kilindo yenye ujumbe wa wiki ya nenda kwa usalama barabarani baada ya mkuu huyo kuzindua rasmi upimaji wa afya kwa madereva wa mabasi na malori ya masafa marefu katika kituo cha mizani cha Mikese mkoa wa Morogoro, zaidi ya madereva 200 wanatarajiwa kupimwa afya katika vituo vya Mikese Morogoro, Mkata mkoani Pwani na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani