Wazabuni kugoma, kwenda kortini
Wazabuni wanaosambaza chakula katika taasisi za Serikali zikiwamo shule za sekondari na magereza mkoani hapa, wanatarajia kugoma na kufungua kesi ya madai wakitaka kulipwa Sh2 bilioni wanazodai tangu mwaka 2008.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili06 Jun
Qatar kwenda kortini kuhusu 2022.
11 years ago
Mwananchi21 Jul
TLS kwenda kortini kupinga Katiba Mpya
9 years ago
BBCSwahili21 Oct
Atembea kilomita 2000 kwenda kortini India
10 years ago
Mwananchi25 Aug
Arfi naye kwenda kortini kupinga Bunge la Katiba
9 years ago
Bongo517 Nov
Ex wa Nicki Minaj kwenda kortini, ni kudai kulipwa kwa kushiriki kuandaa album tatu za rapper huyo
![Herve Leger By Max Azria - Front Row - Mercedes-Benz Fashion Week Spring 2014](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/safaree-samuels-and-nicki-minaj-300x194.jpg)
Aliyekuwa boyfriend wa Nicki Minaj, Safaree Samuels anaenda mahakamani kushtaki kudai haki yake.
Kwa mujibu wa mtandao wa TMZ, Samuels anataka alipwe mpunga wake kwa kuchangia kutengenezwa kwa album tatu za Nicki, The Pinkprint, Pink Friday, na Pink Friday: Roman Reloaded.
Pia anataka alipwe kwa kuhusika kwenye singles kubwa zikiwemo “Only” ambayo ex wake amewashirikisha Chris Brown, Drake, na Lil Wayne, “Flawless (Remix)” akiwa na Beyoncé, na “Feeling Myself.”
Samuels ambaye pia ni...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-VJrPxG5T-cw/Xkam_Z-WanI/AAAAAAACynU/nmIBS-GZafMrAbA5Q3exBHsN9MxuY5UXACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAZABUNI CHANZO UCHELEWESHJI WA MIRADI
![](https://1.bp.blogspot.com/-VJrPxG5T-cw/Xkam_Z-WanI/AAAAAAACynU/nmIBS-GZafMrAbA5Q3exBHsN9MxuY5UXACLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Brigedia Jenerali Mbuge ameyasema hayo Februari 13, 2020 mjini Bariadi wakati akiwa katika ziara ya kukagua...
10 years ago
Mwananchi06 Nov
Wazabuni Mbeya kuishtaki Serikali
10 years ago
Tanzania Daima07 Nov
Wazabuni Mbeya wadai kufilisika
MATOKEO ya mitihani ya kidato cha nne mwaka huu huenda yakawa mabaya hasa kwa shule zilizo chini ya serikali mkoani Mbeya kutokana na wazabuni wanaotoa huduma ya chakula kusitisha kutokana...
11 years ago
Habarileo05 Mar
DART yawatoa wasiwasi wazabuni
WAKALA wa Mradi wa Mabasi Yaendayo Kasi (DART) amewataka watu wanaotaka kuomba zabuni za kutoa huduma katika mradi huo wa mabasi, kuondoa wasiwasi kwa kuwa zabuni hizo zitatangazwa kwa uwazi. Kaimu Mtendaji Mkuu wa wakala huo, Asteria Mlambo aliwaambia hayo waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam.