Ex wa Nicki Minaj kwenda kortini, ni kudai kulipwa kwa kushiriki kuandaa album tatu za rapper huyo
Aliyekuwa boyfriend wa Nicki Minaj, Safaree Samuels anaenda mahakamani kushtaki kudai haki yake.
Kwa mujibu wa mtandao wa TMZ, Samuels anataka alipwe mpunga wake kwa kuchangia kutengenezwa kwa album tatu za Nicki, The Pinkprint, Pink Friday, na Pink Friday: Roman Reloaded.
Pia anataka alipwe kwa kuhusika kwenye singles kubwa zikiwemo “Only” ambayo ex wake amewashirikisha Chris Brown, Drake, na Lil Wayne, “Flawless (Remix)” akiwa na Beyoncé, na “Feeling Myself.”
Samuels ambaye pia ni...
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo512 Dec
Nyimbo 2 za Nicki Minaj zavuja siku chache kabla ya album yake kutoka, moja ni collabo yake na Beyonce (zisikilize)
9 years ago
Bongo516 Oct
Rapper wa S.A Cassper Nyovest amshirikisha rapper wa U.S.A The Game kwenye album yake mpya, ‘Refiloe’
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/nicki-minaj-meek-mill.jpg?width=650)
NICKI, MEEK WADAIWA KUANDAA NDOA KWA SIRI
11 years ago
Bongo Movies15 Jul
Huu ni ujumbe wa Kajala kwenda kwa mtoto wake leo kwenye siku ya kuzaliwa kwa binti yake huyo.
Miaka 12 iliyopita sikuwahi kujua kama itafikia siku nitajisikia hiki ninachofeel siku ya leo.. nimepitia mambo mengi sana na wewe.. nimepata shida nyingi mno lakini sikukuacha wala kukutupa.. kwenye jua ama mvua, iwe usiku ama mchana katika mitihani yote niliyopitia nilikuwa na wewe tu mwanangu.. ulikuwa kama pochi yangu.. bila kujua kesho utakuwa NANI!! nilikupenda tangu siku ya kwanza nakuona.. nilikuthamini na kuahidi nafsi yangu kuwa nitakufa na wewe katika hali yoyote ile bila kujua...
9 years ago
Bongo517 Oct
Picha: Chris Brown azidi kuonesha mapenzi kwa mwanaye ‘Royalty’ kwenye cover ya album mpya aliyoipa jina la mtoto huyo
9 years ago
Bongo526 Oct
Picha: Blac Chyna athibitisha kuwa na uhusiano na Future? Achora tattoo ya jina la rapper huyo mkononi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lnNHCVxKyALDhy*h4gDuNGzM55AYLFKjDFvf7rPSP-hUlYyfgVQDPTSNQ5yLWLLbCsfjJHuKooWJd7pgd01laBhhrUpa39Tr/NickiMinajpareddownherusuallyovertopmakeupreadrainbow.jpg?width=650)
NICKI MINAJ ATANGAZA NI MJAMZITO
9 years ago
Mtanzania21 Nov
SAMUELS AMCHOKOZA NICKI MINAJ
NEW YORK, MAREKANI
MPENZI wa zamani wa Nick Minaj, Safaree Samuels, amemchokoza mrembo huyo kwa kudai kwamba amemsaidia
sana kuandika nyimbo kali ambazo zimempa jina.
Samuels amesisitiza kwamba bila yeye Nick asingefika alipo, kwani mafanikio ya msanii huyo yametokana na kumwandikia nyimbo kali kama ‘Only’ambayo alimshirikisha Chris Brown, Drake na Lil Wayne, ‘Flawless’ ambaye
alimshirikisha Beyonce na ‘Feeling Myself’ aliomshirikisha Bey.
“Kila wakati nilikuwa nakaa naye na kumwandikia...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-tRXgGHTUdNRpk*lfWr-UIqJzJv1wR1mCeAuz0r6Uy8aw9U4klFdX0n9e6YkDt8-IVp7RloIm5dwhzfDkFbEdLYFGfqZX7g2/nicki.jpg?width=650)
NICKI MINAJ AACHIA ANACONDA