DART yawatoa wasiwasi wazabuni
WAKALA wa Mradi wa Mabasi Yaendayo Kasi (DART) amewataka watu wanaotaka kuomba zabuni za kutoa huduma katika mradi huo wa mabasi, kuondoa wasiwasi kwa kuwa zabuni hizo zitatangazwa kwa uwazi. Kaimu Mtendaji Mkuu wa wakala huo, Asteria Mlambo aliwaambia hayo waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi23 Dec
TCCIA yawatoa wasiwasi watumiaji wa Bandari Tang
11 years ago
Tanzania Daima06 Mar
DART yawatoa hofu wanaotaka zabuni
WAKALA wa mradi wa mabasi yaendayo haraka (DART Agency) umewataka watu wanaotaka kuomba zabuni za kutoa huduma katika mradi huo kuondoa wasiwasi kwa kuwa zabuni hizo zitatangazwa kwa uwazi. Kaimu...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-VJrPxG5T-cw/Xkam_Z-WanI/AAAAAAACynU/nmIBS-GZafMrAbA5Q3exBHsN9MxuY5UXACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAZABUNI CHANZO UCHELEWESHJI WA MIRADI
![](https://1.bp.blogspot.com/-VJrPxG5T-cw/Xkam_Z-WanI/AAAAAAACynU/nmIBS-GZafMrAbA5Q3exBHsN9MxuY5UXACLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Brigedia Jenerali Mbuge ameyasema hayo Februari 13, 2020 mjini Bariadi wakati akiwa katika ziara ya kukagua...
9 years ago
Mwananchi03 Dec
Wazabuni kugoma, kwenda kortini
10 years ago
Tanzania Daima07 Nov
Wazabuni Mbeya wadai kufilisika
MATOKEO ya mitihani ya kidato cha nne mwaka huu huenda yakawa mabaya hasa kwa shule zilizo chini ya serikali mkoani Mbeya kutokana na wazabuni wanaotoa huduma ya chakula kusitisha kutokana...
10 years ago
Mwananchi06 Nov
Wazabuni Mbeya kuishtaki Serikali
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-AzWQf6ZXn8M/XkavEx_pSlI/AAAAAAALdZg/izDjTsK4qeAoHH6WxF9iAe8-JljsuQT4wCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA%2BA.jpg)
WAZABUNI WATAJWA KUCHANGIA UCHELEWESHAJI WA MIRADI
![](https://1.bp.blogspot.com/-AzWQf6ZXn8M/XkavEx_pSlI/AAAAAAALdZg/izDjTsK4qeAoHH6WxF9iAe8-JljsuQT4wCLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2BA.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-6yEwMud7eGY/XkavErRV_nI/AAAAAAALdZY/Mhao9Ek8nycrvx5xanNIdT0uybP4KcVNACLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2BD.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima07 Apr
Wazabuni Songea wakumbushia deni lao
WAZABUNI wa vyakula katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea, wameikumbusha serikali kuangalia uwezekano wa kuwalipa deni lao la zaidi ya sh bilioni moja lililotokana na kulisha katika shule za sekondari,...
10 years ago
Mtanzania22 Dec
Wazabuni walidai Jeshi la Polisi milioni 500/-
WAZABUNI waliopewa tenda na Jeshi la Polisi ya kulisha jeshi hilo na vikosi vyake nchini, wamelalamikia hatua ya ofisi ya uhasibu Polisi Makao Makuu kushindwa kuwalipa zaidi ya Sh milioni 700 wanazodai tangu mwaka 2008.
Pamoja na hali hiyo wamepinga hatua ya Mhasibu Mkuu wa jeshi hilo, Frank Msaki ya kufanya malipo kwa upendeleo na hata kumtuhumu kuwa amekuwa akificha nyaraka za kumbukumbu za malipo za wazabuni hao.
Wakizungumza na MTANZANIA juzi wazabuni hao walisema hatua ya kushindwa...