Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TCCIA yawatoa wasiwasi watumiaji wa Bandari Tang

Chama cha Wafanyibiashara, Kilimo na Viwanda (TCCIA), Mkoa wa Tanga kimekanusha uvumi unaodai kuwa kampuni za meli na mawakala wana mpango wa kuisusa Bandari ya Tanga kutokana na mizigo michache inayoingia na kwenda nje.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

DART yawatoa wasiwasi wazabuni

WAKALA wa Mradi wa Mabasi Yaendayo Kasi (DART) amewataka watu wanaotaka kuomba zabuni za kutoa huduma katika mradi huo wa mabasi, kuondoa wasiwasi kwa kuwa zabuni hizo zitatangazwa kwa uwazi. Kaimu Mtendaji Mkuu wa wakala huo, Asteria Mlambo aliwaambia hayo waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam.

 

11 years ago

Ykileo

WASIWASI WA KIUSALAMA MTANDAO WA TANDA KWA WATUMIAJI SIMU ZA ANDROID

Ransomware Gang, imebashiriwa kuleta athari kubwa sana kwa watumiaji wa simu za androids. Kauli hii iliainishwa na mkurugenzi mkuu wa Trend Micro bwana JD Sherry baada ya kunukuliwa akisema mwaka huu wa 2014 watumiaji simu wanategemea kuathirika zaidi kiusalama mtandao huku akionyesha wasi wasi kuwa wateja/watumiaji wa simu hizo hawako tayari (bado hawajajipanga) kukabiliana na changamoto hii ya kiusalama.



Kile kilicho onekana sana kwa watumiaji wa komputa ambapo wahalifu wanazifunga...

 

11 years ago

Dewji Blog

Zanzibar kujengwa Bandari kubwa chini ya Kampuni ya Ujenzi wa Bandari ya Jamuhuri ya Watu wa China (CHEC)

119

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akisalimiana na Muwakilishi wa Kampuni ya Ujenzi wa Bandari ya China yenye Tawi la Ofisi yake Nchini Tanzania Bwana Xu Xinpei.

121

Muwakilishi wa Kampuni ya Kimataifa ya Ujenzi wa Bandari ya China Bwana Xu Xinpei akibadilishana mawazo na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif. Bwana Xu Xinpei ameelezea azma ya Kampuni yake kutaka kuwekeza katika sekta na Bandari na Hoteli ya Kimataifa ya Kitalii hapa Zanzibar.

006

Balozi wa Malawi...

 

5 years ago

Associates 99

Global Fruit Drinks Market 2020 Dole, Tang, Nongfuspring, Chivita Limited, Coca-Cola, Coconutpalm, Dansa Foods Limited

Global Fruit Drinks Market 2020 Dole, Tang, Nongfuspring, Chivita Limited, Coca-Cola, Coconutpalm, Dansa Foods Limited  Associates 99

 

11 years ago

Tanzania Daima

TRA yawatoa hofu wafanyabiashara

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imewatoa hofu wafanyabiashara kutumia mashine za EFD kwani kodi inayokatwa ni asilimia 30 ya faida baada ya kutoa gharama zote za uendeshaji na manunuzi. Kauli...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali yawatoa hofu wananchi

SERIKALI imesema kuwa ndege zinazoonekana mpakani mwa Tanzania na Malawi ni maalumu kwa ajili ya kufanya utafiti na vyombo vya udhibiti wa anga vimezipa vibali vya kuwa katika maeneo hayo....

 

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA yawatoa hofu wafanyakazi

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimewataka wafanyakazi wa serikali na umma nchini kote kuondoa hofu ya kukosa ajira endapo chama hicho kitaingia madarakani baada ya Uchaguzi Mkuu mwakani. Hayo...

 

10 years ago

Mwananchi

MAANDALIZI: Baridi yawatoa uvivu Simba

>Nyota wa Simba wakiwamo wenye tabia ya uvivu wawapo Dar es Salaam wamekiona cha moto  hapa Lushoto ambako wameshindwa kutegea mazoezi kutokana na hali ya baridi kali.

 

11 years ago

Tanzania Daima

DART yawatoa hofu wanaotaka zabuni

WAKALA wa mradi wa mabasi yaendayo haraka (DART Agency) umewataka watu wanaotaka kuomba zabuni za kutoa huduma katika mradi huo kuondoa wasiwasi kwa kuwa zabuni hizo zitatangazwa kwa uwazi. Kaimu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani