Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAANDALIZI: Baridi yawatoa uvivu Simba

>Nyota wa Simba wakiwamo wenye tabia ya uvivu wawapo Dar es Salaam wamekiona cha moto  hapa Lushoto ambako wameshindwa kutegea mazoezi kutokana na hali ya baridi kali.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Madaktari: Baridi itawajenga Simba

Simba ipo Lushoto Tanga ilikopiga kambi wakati Azam ikitarajia kuweka kambi jijini humo kwa ajili ya kujiandaa na Ligi Kuu Bara na Kombe la Kagame.

 

10 years ago

Mwananchi

MAANDALIZI:Simba, Yanga zachelewesha usajili wa timu ndogo

Usajili wa nguvu unaoendelea kufanywa na Yanga, Simba umechangia kwa kiasi kikubwa kuchelewesha usajili wa timu zingine zitakazoshiriki Ligi Kuu msimu ujao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA yawatoa hofu wafanyakazi

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimewataka wafanyakazi wa serikali na umma nchini kote kuondoa hofu ya kukosa ajira endapo chama hicho kitaingia madarakani baada ya Uchaguzi Mkuu mwakani. Hayo...

 

11 years ago

Habarileo

DART yawatoa wasiwasi wazabuni

WAKALA wa Mradi wa Mabasi Yaendayo Kasi (DART) amewataka watu wanaotaka kuomba zabuni za kutoa huduma katika mradi huo wa mabasi, kuondoa wasiwasi kwa kuwa zabuni hizo zitatangazwa kwa uwazi. Kaimu Mtendaji Mkuu wa wakala huo, Asteria Mlambo aliwaambia hayo waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam.

 

11 years ago

Tanzania Daima

TRA yawatoa hofu wafanyabiashara

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imewatoa hofu wafanyabiashara kutumia mashine za EFD kwani kodi inayokatwa ni asilimia 30 ya faida baada ya kutoa gharama zote za uendeshaji na manunuzi. Kauli...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali yawatoa hofu wananchi

SERIKALI imesema kuwa ndege zinazoonekana mpakani mwa Tanzania na Malawi ni maalumu kwa ajili ya kufanya utafiti na vyombo vya udhibiti wa anga vimezipa vibali vya kuwa katika maeneo hayo....

 

11 years ago

Tanzania Daima

DART yawatoa hofu wanaotaka zabuni

WAKALA wa mradi wa mabasi yaendayo haraka (DART Agency) umewataka watu wanaotaka kuomba zabuni za kutoa huduma katika mradi huo kuondoa wasiwasi kwa kuwa zabuni hizo zitatangazwa kwa uwazi. Kaimu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Maziwa yawatoa ufukara wafugaji Senegal

Ufugaji wa ngombe wa maziwa nchini Senegal umechangia ustawi wa maisha ya raiya wengi wa mashambani.

 

10 years ago

Mwananchi

TCCIA yawatoa wasiwasi watumiaji wa Bandari Tang

Chama cha Wafanyibiashara, Kilimo na Viwanda (TCCIA), Mkoa wa Tanga kimekanusha uvumi unaodai kuwa kampuni za meli na mawakala wana mpango wa kuisusa Bandari ya Tanga kutokana na mizigo michache inayoingia na kwenda nje.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani