DART yawatoa hofu wanaotaka zabuni
WAKALA wa mradi wa mabasi yaendayo haraka (DART Agency) umewataka watu wanaotaka kuomba zabuni za kutoa huduma katika mradi huo kuondoa wasiwasi kwa kuwa zabuni hizo zitatangazwa kwa uwazi. Kaimu...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo05 Mar
DART yawatoa wasiwasi wazabuni
WAKALA wa Mradi wa Mabasi Yaendayo Kasi (DART) amewataka watu wanaotaka kuomba zabuni za kutoa huduma katika mradi huo wa mabasi, kuondoa wasiwasi kwa kuwa zabuni hizo zitatangazwa kwa uwazi. Kaimu Mtendaji Mkuu wa wakala huo, Asteria Mlambo aliwaambia hayo waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam.
11 years ago
Tanzania Daima27 Jan
Watoa huduma DART kupatikana kwa zabuni
WATOA huduma wa mradi wa mabasi yaendayo haraka jijini Dar es Salaam watapatikana kwa utaratibu wa kushindanishwa baada ya kutangaza zabuni kwa mujibu wa sheria za nchi. Akizungumza na waandishi...
11 years ago
Tanzania Daima25 Feb
TRA yawatoa hofu wafanyabiashara
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imewatoa hofu wafanyabiashara kutumia mashine za EFD kwani kodi inayokatwa ni asilimia 30 ya faida baada ya kutoa gharama zote za uendeshaji na manunuzi. Kauli...
11 years ago
Tanzania Daima28 Jan
CHADEMA yawatoa hofu wafanyakazi
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimewataka wafanyakazi wa serikali na umma nchini kote kuondoa hofu ya kukosa ajira endapo chama hicho kitaingia madarakani baada ya Uchaguzi Mkuu mwakani. Hayo...
11 years ago
Tanzania Daima12 Jun
Serikali yawatoa hofu wananchi
SERIKALI imesema kuwa ndege zinazoonekana mpakani mwa Tanzania na Malawi ni maalumu kwa ajili ya kufanya utafiti na vyombo vya udhibiti wa anga vimezipa vibali vya kuwa katika maeneo hayo....
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ALlsr5_m9Go/Xm6G1NYaJfI/AAAAAAALj0g/9s4wpyjsETYOW6_baUw-4KOOozQQ43nQACLcBGAsYHQ/s72-c/A.png)
Serikali yawatoa hofu ya dhulma wananchi wanaopakana na miradi ya liganga na Mchuchuma
Njombe
Serikali imewahakikishia manufaa makubwa na kuwaomba subira wananchi wa vijiji vya amani na Mundindi na vile vinavyopakana na miradi mikubwa ya Liganga na Mchuchuma iliyopo wilayani Ludewa mkoani Njombe kutokana na wananchi waliokuwa wanamiliki maeneo ya karibu na miradi hiyo kuhamishwa katika maeneo hayo huku wakisubiri fidia kwa muda mrefu mpaka sasa.
Akizungumza na wananchi wa kata ya Mundindi waziri wa madini Doto Mashaka Biteko amesema serikali haiwezi kuwatupa wananchi wa...
10 years ago
Mwananchi10 Jul
MAANDALIZI: Baridi yawatoa uvivu Simba
10 years ago
BBCSwahili24 Oct
Maziwa yawatoa ufukara wafugaji Senegal
10 years ago
Mwananchi23 Dec
TCCIA yawatoa wasiwasi watumiaji wa Bandari Tang