Serikali yawatoa hofu wananchi
SERIKALI imesema kuwa ndege zinazoonekana mpakani mwa Tanzania na Malawi ni maalumu kwa ajili ya kufanya utafiti na vyombo vya udhibiti wa anga vimezipa vibali vya kuwa katika maeneo hayo....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ALlsr5_m9Go/Xm6G1NYaJfI/AAAAAAALj0g/9s4wpyjsETYOW6_baUw-4KOOozQQ43nQACLcBGAsYHQ/s72-c/A.png)
Serikali yawatoa hofu ya dhulma wananchi wanaopakana na miradi ya liganga na Mchuchuma
Njombe
Serikali imewahakikishia manufaa makubwa na kuwaomba subira wananchi wa vijiji vya amani na Mundindi na vile vinavyopakana na miradi mikubwa ya Liganga na Mchuchuma iliyopo wilayani Ludewa mkoani Njombe kutokana na wananchi waliokuwa wanamiliki maeneo ya karibu na miradi hiyo kuhamishwa katika maeneo hayo huku wakisubiri fidia kwa muda mrefu mpaka sasa.
Akizungumza na wananchi wa kata ya Mundindi waziri wa madini Doto Mashaka Biteko amesema serikali haiwezi kuwatupa wananchi wa...
11 years ago
Tanzania Daima25 Feb
TRA yawatoa hofu wafanyabiashara
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imewatoa hofu wafanyabiashara kutumia mashine za EFD kwani kodi inayokatwa ni asilimia 30 ya faida baada ya kutoa gharama zote za uendeshaji na manunuzi. Kauli...
11 years ago
Tanzania Daima28 Jan
CHADEMA yawatoa hofu wafanyakazi
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimewataka wafanyakazi wa serikali na umma nchini kote kuondoa hofu ya kukosa ajira endapo chama hicho kitaingia madarakani baada ya Uchaguzi Mkuu mwakani. Hayo...
11 years ago
Tanzania Daima06 Mar
DART yawatoa hofu wanaotaka zabuni
WAKALA wa mradi wa mabasi yaendayo haraka (DART Agency) umewataka watu wanaotaka kuomba zabuni za kutoa huduma katika mradi huo kuondoa wasiwasi kwa kuwa zabuni hizo zitatangazwa kwa uwazi. Kaimu...
10 years ago
Vijimambo17 Oct
Serikali yawaondoa wananchi hofu ya Marburg
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/11(2).jpg)
Serikali imewatoa hofu wa wananchi kuhusu ugonjwa mpya wa Marburg ambao umelipuka nchini Uganda huku dalili z\ake zikifanana na za Ebola.
Aidha Wizara imewataka wananchi kupuuzia taarifa zinazosambazwa na watu wachache kuwa ugonjwa wa ebola umeingia nchini wakati siyo kweli kwa kuwa Wizara ndio inatakiwa kutoa taarifa hizo.
Hayo yalisemwa jijini Dar es Salaam jana na Kaimu Katibu Mkuu...
11 years ago
Mwananchi22 Dec
Malipo ya fidia yawatoa machozi wananchi Dar
10 years ago
StarTV04 May
Wananchi Kyela wakumbwa na hofu ya mafuriko.
Na Mkombe Zanda,
Mbeya.
Wilaya ya Kyela mkoani Mbeya imeanza kukumbwa na mafuriko yanayohatarisha usalama wa wananchi na mali zao kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha kwenye maeneo mbalimbali ya mkoa huo.
Kutokana na hali hiyo Serikali wilayani Kyela imewatahadharisha wananchi kuchukua tahadhari za kujiepusha na mafuriko hayo ikiwemo kuhama kutoka kwenye maeneo yaliyo kando ya mito na maziwa.
Aprili 12 mwaka jana watu Saba walifariki dunia wilayani Kyela mkoani Mbeya wakati kaya...
11 years ago
Mwananchi16 Apr
‘Lukuvi anajenga hofu kwa wananchi’
10 years ago
Habarileo01 Nov
Muswada waleta hofu ya wananchi kutiwa kizuizini
MUSWADA wa kuwepo kwa Ofisi ya Tawala za Mikoa umewagawa wajumbe wa Baraza la Wawakilishi ambapo baadhi wamepinga wakidai kwamba umetoa mamlaka makubwa kwa wakuu wa mikoa kuwatia kizuizini wananchi.