Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali yawatoa hofu wananchi

SERIKALI imesema kuwa ndege zinazoonekana mpakani mwa Tanzania na Malawi ni maalumu kwa ajili ya kufanya utafiti na vyombo vya udhibiti wa anga vimezipa vibali vya kuwa katika maeneo hayo....

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Serikali yawatoa hofu ya dhulma wananchi wanaopakana na miradi ya liganga na Mchuchuma


Njombe

Serikali imewahakikishia manufaa makubwa na kuwaomba subira wananchi wa vijiji vya amani na Mundindi na vile vinavyopakana na miradi mikubwa ya Liganga na Mchuchuma iliyopo wilayani Ludewa mkoani Njombe kutokana na wananchi waliokuwa wanamiliki maeneo ya karibu na miradi hiyo kuhamishwa katika maeneo hayo huku wakisubiri fidia kwa muda mrefu mpaka sasa.

Akizungumza na wananchi wa kata ya Mundindi waziri wa madini Doto Mashaka Biteko amesema serikali haiwezi kuwatupa wananchi wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TRA yawatoa hofu wafanyabiashara

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imewatoa hofu wafanyabiashara kutumia mashine za EFD kwani kodi inayokatwa ni asilimia 30 ya faida baada ya kutoa gharama zote za uendeshaji na manunuzi. Kauli...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA yawatoa hofu wafanyakazi

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimewataka wafanyakazi wa serikali na umma nchini kote kuondoa hofu ya kukosa ajira endapo chama hicho kitaingia madarakani baada ya Uchaguzi Mkuu mwakani. Hayo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

DART yawatoa hofu wanaotaka zabuni

WAKALA wa mradi wa mabasi yaendayo haraka (DART Agency) umewataka watu wanaotaka kuomba zabuni za kutoa huduma katika mradi huo kuondoa wasiwasi kwa kuwa zabuni hizo zitatangazwa kwa uwazi. Kaimu...

 

10 years ago

Vijimambo

Serikali yawaondoa wananchi hofu ya Marburg

Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii ambaye pia ni Mganga Mkuu wa Serikali, Dk. Donald Mmbando
Serikali imewatoa hofu wa wananchi kuhusu ugonjwa mpya wa Marburg ambao umelipuka nchini Uganda huku dalili z\ake zikifanana na za Ebola.

Aidha Wizara imewataka wananchi kupuuzia taarifa zinazosambazwa na watu wachache kuwa ugonjwa wa ebola umeingia nchini wakati siyo kweli kwa kuwa Wizara ndio inatakiwa kutoa taarifa hizo.

Hayo yalisemwa jijini Dar es Salaam jana na Kaimu Katibu Mkuu...

 

11 years ago

Mwananchi

Malipo ya fidia yawatoa machozi wananchi Dar

>Wananchi wa Mji Mpya Majohe, Guluka Kwalala na Ulongoni katika Manispaa ya Ilala  wameiomba Serikali kuingilia kati na kumwamuru mwekezaji wa ujenzi wa njia ya umeme wa  kilovoti 220 kutoka Somanga Mtama  mpaka Kinyerezi, Kilwa Enegy kuwalipa gharama zinazoendana na hali ya maisha ya sasa.

 

10 years ago

StarTV

Wananchi Kyela wakumbwa na hofu ya mafuriko.

Na Mkombe Zanda,

Mbeya.

 

Wilaya ya Kyela mkoani Mbeya imeanza kukumbwa na mafuriko yanayohatarisha usalama wa wananchi na mali zao kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha kwenye maeneo mbalimbali ya mkoa huo.

 

Kutokana na hali hiyo Serikali wilayani Kyela imewatahadharisha wananchi kuchukua tahadhari za kujiepusha na mafuriko hayo ikiwemo kuhama kutoka kwenye maeneo yaliyo kando ya mito na maziwa.

 

Aprili 12 mwaka jana watu Saba walifariki dunia wilayani Kyela mkoani Mbeya wakati kaya...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Lukuvi anajenga hofu kwa wananchi’

Siku chache baada ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uratibu wa Bunge), William Lukuvi kudai kuwa iwapo mfumo wa serikali tatu utapita, jeshi litachukua nchi, wanazuoni wametafsiri kauli hiyo kuwa ni ya kuwajengea hofu wananchi.

 

10 years ago

Habarileo

Muswada waleta hofu ya wananchi kutiwa kizuizini

MUSWADA wa kuwepo kwa Ofisi ya Tawala za Mikoa umewagawa wajumbe wa Baraza la Wawakilishi ambapo baadhi wamepinga wakidai kwamba umetoa mamlaka makubwa kwa wakuu wa mikoa kuwatia kizuizini wananchi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani