TRA yawatoa hofu wafanyabiashara
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imewatoa hofu wafanyabiashara kutumia mashine za EFD kwani kodi inayokatwa ni asilimia 30 ya faida baada ya kutoa gharama zote za uendeshaji na manunuzi. Kauli...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima12 Jun
Serikali yawatoa hofu wananchi
SERIKALI imesema kuwa ndege zinazoonekana mpakani mwa Tanzania na Malawi ni maalumu kwa ajili ya kufanya utafiti na vyombo vya udhibiti wa anga vimezipa vibali vya kuwa katika maeneo hayo....
11 years ago
Tanzania Daima28 Jan
CHADEMA yawatoa hofu wafanyakazi
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimewataka wafanyakazi wa serikali na umma nchini kote kuondoa hofu ya kukosa ajira endapo chama hicho kitaingia madarakani baada ya Uchaguzi Mkuu mwakani. Hayo...
11 years ago
Tanzania Daima06 Mar
DART yawatoa hofu wanaotaka zabuni
WAKALA wa mradi wa mabasi yaendayo haraka (DART Agency) umewataka watu wanaotaka kuomba zabuni za kutoa huduma katika mradi huo kuondoa wasiwasi kwa kuwa zabuni hizo zitatangazwa kwa uwazi. Kaimu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ALlsr5_m9Go/Xm6G1NYaJfI/AAAAAAALj0g/9s4wpyjsETYOW6_baUw-4KOOozQQ43nQACLcBGAsYHQ/s72-c/A.png)
Serikali yawatoa hofu ya dhulma wananchi wanaopakana na miradi ya liganga na Mchuchuma
Njombe
Serikali imewahakikishia manufaa makubwa na kuwaomba subira wananchi wa vijiji vya amani na Mundindi na vile vinavyopakana na miradi mikubwa ya Liganga na Mchuchuma iliyopo wilayani Ludewa mkoani Njombe kutokana na wananchi waliokuwa wanamiliki maeneo ya karibu na miradi hiyo kuhamishwa katika maeneo hayo huku wakisubiri fidia kwa muda mrefu mpaka sasa.
Akizungumza na wananchi wa kata ya Mundindi waziri wa madini Doto Mashaka Biteko amesema serikali haiwezi kuwatupa wananchi wa...
11 years ago
Tanzania Daima03 Feb
Wafanyabiashara waionya TRA
JUMUIYA ya Wafanyabiashara nchini (JWT), imesema kuanzia leo endapo kutatokea mgongano baina ya wafanyabiashara na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuhusu suala la mashine za EFDs wasije wakalaumiwa. Kauli hiyo...
11 years ago
Mwananchi04 Jan
TRA yafundwa wafanyabiashara
11 years ago
Habarileo12 Feb
Wafanyabiashara waitunishia msuli TRA
MGOMO wa wafanyabiashara dhidi ya mashine za kielektroniki (EFDs) umetafsiriwa kuwa na ajenda ya siri kutokana na ushawishi unaodaiwa kufanyika nchi nzima huku katika maeneo mengine, ukiungwa mkono na wachuuzi wasiohusika na mashine hizo.
11 years ago
Mwananchi07 Jan
Wafanyabiashara Tanga waivimbia TRA
9 years ago
Mwananchi04 Sep
Wafanyabiashara Tanga, TRA waelewana