Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watoa huduma DART kupatikana kwa zabuni

WATOA huduma wa mradi wa mabasi yaendayo haraka jijini Dar es Salaam watapatikana kwa utaratibu wa kushindanishwa baada ya kutangaza zabuni kwa mujibu wa sheria za nchi. Akizungumza na waandishi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

DART yawatoa hofu wanaotaka zabuni

WAKALA wa mradi wa mabasi yaendayo haraka (DART Agency) umewataka watu wanaotaka kuomba zabuni za kutoa huduma katika mradi huo kuondoa wasiwasi kwa kuwa zabuni hizo zitatangazwa kwa uwazi. Kaimu...

 

9 years ago

Michuzi

Dk Massaburi afurahia kuanza kwa huduma ya mabasi ya DART jijini Dar es salaam

 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Hawa Ghasia, Mkuu wa Mkowa wa Dar es salaam, Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Dk Didas Masaburi na viongozi wa UDART wakikagua mabasi yaendayo kasi, baada ya kuzinduliwa kwa mafunzo ya madereva  Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Dk Didas Masaburi akifurahia kutimia kwa ndoto ya kuanza kwa mabasi yaendayo kasi, baada ya kuzinduliwa kwa mafunzo ya madereva   Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Dk Didas Masaburi...

 

11 years ago

Habarileo

NHIF yaonywa mikopo ya dawa kwa watoa huduma

 Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Kebwe StephenSERIKALI imeuonya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), kuwa makini na mpango inaotaka kuuanza katika mwaka ujao wa fedha wa kutoa mikopo ya dawa kwa watoa huduma wote waliosajiliwa.

 

10 years ago

Michuzi

WATOA HUDUMA MKOANI LINDI WAASWA KUCHANGAMKIA MIKOPO INAYOTOLEWA NA NHIF ILI KUBORESHA HUDUMA ZA MATIBABU

Kaimu katibu tawala wa Mkoa wa Lindi Grayson Mwaigombe amewataka waganga wakuu wa hospitali kuanzia ya mkoa na wilaya,kuchangamkia mikopo ya riba nafuu inayotolewa na NHIF,ili waweze kuboresha huduma na pia kuwa chanzo kingine cha mapato ya hospitali,kwani wananchi kwa sasa wanahitaji huduma bora na stahiki,aliyesema hayo wakati wa elimu ya uhamasishaji watoa huduma wa Serikali, mashirika ya dini na watu binafsi waliosajiliwa na mfuko,kuchangamkia fursa ya mikopo ya vifaa tiba,ukarabati wa...

 

5 years ago

CCM Blog

CHAMA CHA WAUGUZI TANZANIA (TANNA) CHATOA WITO KWA WATOA HUDUMA ZA AFYA


 Rais wa Chama cha Wauguzi na Wakunga Tanzania  (TANNA) anatoa wito kwa Wauguzi na Wakunga wote kuikinga jamii zidi ya maambukizi ya COVID -19 Kupitia elimu ya afya, kuhudumia kwa weledi wagonjwa wa corona ikizingatiwa kuwa wauguzi wananafasi muhimu sana katika kutoa huduma ya afya

 

5 years ago

Michuzi

DOCTORS WITH AFRICA YATOA ELIMU YA CORONA KWA WATOA HUDUMA ZA AFYA NGAZI YA JAMII SHINYANGA



 Mganga Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Dr. Yudas Ndungile akisisitiza jambo kwa washiriki wa mafunzo ya namna ya utoaji wa elimu na  kukabiliana na ugonjwa wa Corona.
Na Damian Masyenene -

 Shinyanga Press Club Blog
JUMLA ya watoa huduma za Afya  ngazi ya jamii 109  kutoka Wilaya ya Shinyanga Mkoani Shinyangawamepewa mafunzo na  mbinu mbalimbali za namna ya kukabiliana na homa kali ya mapafu inayosababishwa na Virusi vya Corona (COVID-19).


Mafunzo hayo yametolewa kwa watoa huduma hao 53 kutoka...

 

11 years ago

Michuzi

CBE YAENDESHA MAFUNZO KWA WATOA HUDUMA ZA AFYA 72 KUTOKA MIKOA MBALIMBALI JIJINI DAR

 Mkurugenzi Mkazi wa Marie Stopes Tanzania, Ulla Muller akielezea jambo wakati akifunga mafunzo ya awali ya IT kwa watumishi wa huduma za (MKOBA) wa uzazi wa mpango kutoka Mikoa mbalimbali nchini Tanzania.hafla hiyo ya ufungaji mafunzo ilifanyika 2 Agositi 2014 katika chuo cha C B E jijini Dar es Salaam.Pichani kulia ni Mhadhiri Msaidizi (ICT), Godfrey Mwandosya, Mkuu wa Idara ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano.Alex Mwijika, Kaimu Mkuu wa Idara Mathematics (ICT), Nzomwe Mazana.Mafunzo...

 

5 years ago

Michuzi

HUDUMA ZA BIMA SASA KUPATIKANA KATIKA MATAWI YOTE YA BENKI YA NMB

Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya NMB, Bi. Margaret Ikongo akipongezana na Kamishna wa Bima kutoka Mamlaka ya Bima nchini (TIRA), Dkt. Mussa Juma baada ya kuzindua, NMB Bancassurance jijini Dar es Salaam. Katikati ni Afisa Mkuu wa Wateja Binafsi, Biashara Ndogo na za Kati – Filbert Mponzi. Afisa Mkuu wa wateja Binafsi, Biashara ndogo na za kati, Filbert Mponzi (kushoto) na Kamishna wa Bima kutoka katika Mamlaka ya Bima nchini (TIRA), Dkt. Mussa Juma wakizindua NMB Bancassurance. Katikati ni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani