WASIWASI WA KIUSALAMA MTANDAO WA TANDA KWA WATUMIAJI SIMU ZA ANDROID
![](http://1.bp.blogspot.com/-VP6GEZljf1Q/U3no0iY-i6I/AAAAAAAAAf0/glm8dVIWCxw/s72-c/112.jpg)
Ransomware Gang, imebashiriwa kuleta athari kubwa sana kwa watumiaji wa simu za androids. Kauli hii iliainishwa na mkurugenzi mkuu wa Trend Micro bwana JD Sherry baada ya kunukuliwa akisema mwaka huu wa 2014 watumiaji simu wanategemea kuathirika zaidi kiusalama mtandao huku akionyesha wasi wasi kuwa wateja/watumiaji wa simu hizo hawako tayari (bado hawajajipanga) kukabiliana na changamoto hii ya kiusalama.
Kile kilicho onekana sana kwa watumiaji wa komputa ambapo wahalifu wanazifunga...
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi27 May
Kicheko kwa watumiaji wa simu za mfumo wa Android
11 years ago
Ykileo![](http://4.bp.blogspot.com/-TFbMorHU4_c/U19FZkNtAlI/AAAAAAAAAdA/uaAaJBOAIC0/s72-c/images.jpg)
TAHADHARI: WATUMIAJI WA "INTERNET EXPLORER" WAKO HATARINI KIUSALAMA MTANDAO
![](http://4.bp.blogspot.com/-TFbMorHU4_c/U19FZkNtAlI/AAAAAAAAAdA/uaAaJBOAIC0/s1600/images.jpg)
Jumamosi tangazo hilo linalosomeka hapa "TANGAZO" limeweza kubainisha internet explorer toleo la sita (6) hadi la kumi na moja (11) yote yameweza kugundulika yanatoa mwanya kwa wahalifu mtandao kupenya kwa watumiaji na kuchukua taarifa...
10 years ago
Mwananchi23 Dec
TCCIA yawatoa wasiwasi watumiaji wa Bandari Tang
11 years ago
Ykileo![](http://3.bp.blogspot.com/-zNNaFVkPs5w/U2g9hkvsS5I/AAAAAAAAAe8/0HCoZJ_3nZg/s72-c/1111.jpg)
TEKNOLOGIA NA CHANGAMOTO ZA KIUSALAMA MTANDAO.
![](http://3.bp.blogspot.com/-zNNaFVkPs5w/U2g9hkvsS5I/AAAAAAAAAe8/0HCoZJ_3nZg/s1600/1111.jpg)
Kama ilivyo katika maswala mbalimbali, Teknolojia nayo ina changamoto zake. Kwenye ukurasa huu kumekua kukijadiliwa changamoto mbali mbali kila kukicha za kiusalama mtandao. Baadhi ya vitu vitakavyo onekana katika video hapo chini ni pamoja na mambo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jbaar29oQX4PzDrcxR3MAgTn3Qytsjws4l221IdPY2vT1ks-tRnpuEDZ7ggdaHb48-*mk03zr-OmdIo2Bt6s9HKl1iiytMv0/GPL_Logo_FinalWEWB.gif)
HABARI NJEMA KWA WATUMIAJI WA SIMU ZA MKONONI
10 years ago
Mwananchi23 Jan
Hofu mpya kwa watumiaji wa simu za mkononi
11 years ago
Ykileo![](http://4.bp.blogspot.com/-d-evqmfxIik/U5MEWTRrQXI/AAAAAAAAAps/lfesbpFVj40/s72-c/00.jpg)
KUPERUZI KUPITIA WI-FI NI HATARI ZAIDI KIUSALAMA MTANDAO
![](http://4.bp.blogspot.com/-d-evqmfxIik/U5MEWTRrQXI/AAAAAAAAAps/lfesbpFVj40/s1600/00.jpg)
Haya niliyabainisha wakati nazungumzia changamoto mbali mbali tunazokumbana nazo za kiusalama mtandao kupitia matumizi yasiyo salama ya Wi-Fi yanayo endelea kushika kasi kaika maeneo mbali mbali hivi...
11 years ago
Tanzania Daima12 Mar
TCF: Ukuaji teknolojia ya simu ulete tija kwa watumiaji
KAMPUNI za simu nchini zimetakiwa kuhakikisha zinatumia fursa ya ukuaji wa teknolojia ya mawasiliano ya simu kuleta tija kwa watumiaji wake. Wito huo ulitolewa jana na Mwenyekiti wa Jukwaa la...