Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hofu mpya kwa watumiaji wa simu za mkononi

Kwani teknolojia inamwezesha mtumiaji yeyote kuingilia mawasiliano katika simu yako na kufyonza taarifa mbalimbali  kama ujumbe mfupi, barua pepe, simu zinazotoka na kuingia, picha unazopiga au kutumiwa hata video, pia inaweza kubaini eneo alipo mtu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

HABARI NJEMA KWA WATUMIAJI WA SIMU ZA MKONONI

Je, upo tayari kupokea habari Exclusive sambamba na picha na video kutoka Global Publishers katika simu yako ya mkononi? Huduma hii itakuwa tayari hivi karibuni katika simu yako ya mkononi. Ili kufanikisha jambo hili, tafadhali tusaidie kutoa maoni yako kwa kujaza fomu kwenye Link hii: http://bit.ly/globalpublishers kisha itume. Asante kwa ushirikiano. Imetolewa na… ...

 

10 years ago

Vijimambo

UZINDUZI WA UTARATIBU MPYA WA KUSAJILI NA KUHAKIKI NAMBA ZA SIMU ZA MKONONI KWA TEKNOLOJIA MPYA YA KYC KUPITIA SMARTPHONE LEO JIJINI DAR.

 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania Profesa John Nkoma akifungua mkutano na waandishi wa Habari na kuzungumzia umuhimu wa kusajili namba za simu za Mkononi na Mfumo mpya wa kusajili namba na kuhakiki kutumia Teknolojia mpya ya Kielekroniki. Mwenyekiti wa umoja wa makampuni ya mawasiliano Tanzania ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Bwana Rene Meeza akitamka Rasmi Uzinduzi wa usajili mpya wa simu za mikononi kwa kutumia Teknolojia mpya ya kutumia smart phone...

 

10 years ago

Michuzi

KAMPUNIYA SIMU ZA MKONONI ZA HUAWEI WAZINDUA SIMU MPYA AINA YA HUAWEI P8

 Meneja  Mkazi wa kampuni  ya Simu za mkononi,  Peter  Zhang akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani juu  uzinduzi wa simu mpya ya kisasa ya Huawei P8 katika Ukumbi wa Hoteli ya Hyatt Regence  leo Jiji Dar es Salaam. Mkurungenzi wa Masoko  wa Huawei Tanzania Mamson Mjwala  akizungumza juu ya ubora wa betri ya simu hiyo aina ya Huawei P8 kwamba mfumo wa simu imezingatia matumizi ya muda mrefu mtumiaji anaweza kutumia simu kwa  siku nzima bila kuiongezea umeme huku kwa wale watumiaji...

 

10 years ago

Dewji Blog

Teknolojia mpya ya KYC ya kusajili na kuhakiki namba za simu za mkononi kupitia Smartphone yazinduliwa nchini

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania Profesa John Nkoma akifungua mkutano na waandishi wa Habari na kuzungumzia umuhimu wa kusajili namba za simu za Mkononi na Mfumo mpya wa kusajili namba na kuhakiki kutumia Teknolojia mpya ya Kielekroniki..

Mwenyekiti wa umoja wa makampuni ya mawasiliano Tanzania ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Bwana Rene Meeza akitamka rasmi uzinduzi wa usajili mpya wa simu za mikononi kwa kutumia Teknolojia mpya ya kutumia smart...

 

11 years ago

Mwananchi

Kicheko kwa watumiaji wa simu za mfumo wa Android

Miongoni mwa changamoto kubwa iliyopo sasa katika nchi zilizoendelea na zinazoendelea kwa watumiaji wa simu za mikononi ni kupotewa na simu zao ama kuibwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

TCF: Ukuaji teknolojia ya simu ulete tija kwa watumiaji

KAMPUNI za simu nchini zimetakiwa kuhakikisha zinatumia fursa ya ukuaji wa teknolojia ya mawasiliano ya simu kuleta tija kwa watumiaji wake. Wito huo ulitolewa jana na Mwenyekiti wa Jukwaa la...

 

11 years ago

Ykileo

WASIWASI WA KIUSALAMA MTANDAO WA TANDA KWA WATUMIAJI SIMU ZA ANDROID

Ransomware Gang, imebashiriwa kuleta athari kubwa sana kwa watumiaji wa simu za androids. Kauli hii iliainishwa na mkurugenzi mkuu wa Trend Micro bwana JD Sherry baada ya kunukuliwa akisema mwaka huu wa 2014 watumiaji simu wanategemea kuathirika zaidi kiusalama mtandao huku akionyesha wasi wasi kuwa wateja/watumiaji wa simu hizo hawako tayari (bado hawajajipanga) kukabiliana na changamoto hii ya kiusalama.



Kile kilicho onekana sana kwa watumiaji wa komputa ambapo wahalifu wanazifunga...

 

10 years ago

Mwananchi

Wabuni ufundishaji wa hesabu kwa kutumia simu za mkononi

Kwa muda mrefu ufaulu mdogo wa Hisabati kwa wanafunzi wa ngazi mbalimbali za elimu umekuwa moja ya changamoto inayoukabili mfumo wa elimu nchini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani