Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TCF: Ukuaji teknolojia ya simu ulete tija kwa watumiaji

KAMPUNI za simu nchini zimetakiwa kuhakikisha zinatumia fursa ya ukuaji wa teknolojia ya mawasiliano ya simu kuleta tija kwa watumiaji wake. Wito huo ulitolewa jana na Mwenyekiti wa Jukwaa la...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

SAYANSI NA TEKNOLOJIA: Kampuni za simu zinasitiri taarifa za watumiaji wake?

>Ukikutana na Watanzania 10 angalau nusu yao watakuwa na kifaa au vifaa vya mawasiliano kama  simu na kompyuta.

 

11 years ago

Mwananchi

Kicheko kwa watumiaji wa simu za mfumo wa Android

Miongoni mwa changamoto kubwa iliyopo sasa katika nchi zilizoendelea na zinazoendelea kwa watumiaji wa simu za mikononi ni kupotewa na simu zao ama kuibwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Hofu mpya kwa watumiaji wa simu za mkononi

Kwani teknolojia inamwezesha mtumiaji yeyote kuingilia mawasiliano katika simu yako na kufyonza taarifa mbalimbali  kama ujumbe mfupi, barua pepe, simu zinazotoka na kuingia, picha unazopiga au kutumiwa hata video, pia inaweza kubaini eneo alipo mtu.

 

10 years ago

GPL

HABARI NJEMA KWA WATUMIAJI WA SIMU ZA MKONONI

Je, upo tayari kupokea habari Exclusive sambamba na picha na video kutoka Global Publishers katika simu yako ya mkononi? Huduma hii itakuwa tayari hivi karibuni katika simu yako ya mkononi. Ili kufanikisha jambo hili, tafadhali tusaidie kutoa maoni yako kwa kujaza fomu kwenye Link hii: http://bit.ly/globalpublishers kisha itume. Asante kwa ushirikiano. Imetolewa na… ...

 

11 years ago

Ykileo

WASIWASI WA KIUSALAMA MTANDAO WA TANDA KWA WATUMIAJI SIMU ZA ANDROID

Ransomware Gang, imebashiriwa kuleta athari kubwa sana kwa watumiaji wa simu za androids. Kauli hii iliainishwa na mkurugenzi mkuu wa Trend Micro bwana JD Sherry baada ya kunukuliwa akisema mwaka huu wa 2014 watumiaji simu wanategemea kuathirika zaidi kiusalama mtandao huku akionyesha wasi wasi kuwa wateja/watumiaji wa simu hizo hawako tayari (bado hawajajipanga) kukabiliana na changamoto hii ya kiusalama.



Kile kilicho onekana sana kwa watumiaji wa komputa ambapo wahalifu wanazifunga...

 

5 years ago

Michuzi

Ukuaji wa uchumi unavyotegemea sekta ya mawasiliano ya simu za mkononi

TAKWIMU zinaonyesha kwamba Tanzania imepitia kipindi kizuri cha ukuaji wa kiuchumi katika muongo mmoja uliopita na kuifanya hivi sasa kuwa moja ya chumi zinazokua vizuri katika eneo la Afrika Mashariki.
Ripoti ya UK ThinkTank inaongeza kuwa mafanikio ya ukuaji wa kiuchumi Tanzania yamewezeshwa na juhudi za serikali kukuza sekta ya viwanda na kutengeneza mazingira bora ya uwekezaji katika sekta mbalimbali. 
Matokeo ya juhudu hizo yameifanya Tanzania kuwa mmoja ya wauzaji wakubwa nje wa dhahabu...

 

5 years ago

Michuzi

Mazingira bora ya uwekezaji na biashara ni nguzo ya ukuaji wa sekta ya mawasiliano ya simu

Teknolojia ya dijitali imebadili nchi nyingi barani Afrika. Programu mpya za simu zimesaidia biashara za kila namna kuibuka na kukua. Mabadiliko haya yamekuwa na tija kubwa kwenye sekta ya ajira na uzalishaji mali na yameleta ahueni kiuchumi kwa nchi nyingi barani hapa.
Katika nchi yangu za Afrika maendeleo haya ya kidijitali yamewezakana kutokana na uwekezaji mkubwa katika miundombinu ya mawasiliano pamoja na serikali za nchi husika kuunga mkono juhudi za sekta za sekta binafsi kisera na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani