Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HABARI NJEMA KWA WATUMIAJI WA SIMU ZA MKONONI

Je, upo tayari kupokea habari Exclusive sambamba na picha na video kutoka Global Publishers katika simu yako ya mkononi? Huduma hii itakuwa tayari hivi karibuni katika simu yako ya mkononi. Ili kufanikisha jambo hili, tafadhali tusaidie kutoa maoni yako kwa kujaza fomu kwenye Link hii: http://bit.ly/globalpublishers kisha itume. Asante kwa ushirikiano. Imetolewa na… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Hofu mpya kwa watumiaji wa simu za mkononi

Kwani teknolojia inamwezesha mtumiaji yeyote kuingilia mawasiliano katika simu yako na kufyonza taarifa mbalimbali  kama ujumbe mfupi, barua pepe, simu zinazotoka na kuingia, picha unazopiga au kutumiwa hata video, pia inaweza kubaini eneo alipo mtu.

 

10 years ago

Michuzi

HABARI NJEMA KWA WATUMIAJI WA VODACOM

Kufahamu zaidi ingia https://www.vodacom.co.tz/mpesa/consumers/international-money-transfers

 

11 years ago

Mwananchi

Kicheko kwa watumiaji wa simu za mfumo wa Android

Miongoni mwa changamoto kubwa iliyopo sasa katika nchi zilizoendelea na zinazoendelea kwa watumiaji wa simu za mikononi ni kupotewa na simu zao ama kuibwa.

 

11 years ago

Ykileo

WASIWASI WA KIUSALAMA MTANDAO WA TANDA KWA WATUMIAJI SIMU ZA ANDROID

Ransomware Gang, imebashiriwa kuleta athari kubwa sana kwa watumiaji wa simu za androids. Kauli hii iliainishwa na mkurugenzi mkuu wa Trend Micro bwana JD Sherry baada ya kunukuliwa akisema mwaka huu wa 2014 watumiaji simu wanategemea kuathirika zaidi kiusalama mtandao huku akionyesha wasi wasi kuwa wateja/watumiaji wa simu hizo hawako tayari (bado hawajajipanga) kukabiliana na changamoto hii ya kiusalama.



Kile kilicho onekana sana kwa watumiaji wa komputa ambapo wahalifu wanazifunga...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TCF: Ukuaji teknolojia ya simu ulete tija kwa watumiaji

KAMPUNI za simu nchini zimetakiwa kuhakikisha zinatumia fursa ya ukuaji wa teknolojia ya mawasiliano ya simu kuleta tija kwa watumiaji wake. Wito huo ulitolewa jana na Mwenyekiti wa Jukwaa la...

 

10 years ago

Mwananchi

Wabuni ufundishaji wa hesabu kwa kutumia simu za mkononi

Kwa muda mrefu ufaulu mdogo wa Hisabati kwa wanafunzi wa ngazi mbalimbali za elimu umekuwa moja ya changamoto inayoukabili mfumo wa elimu nchini.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Habari njema kwa wastaafu

SERIKALI imeongeza kima cha chini cha malipo ya pensheni kwa wastaafu kuanzia mwaka wa fedha ujao. Kwa sasa wastaafu wanalipwa pensheni ya sh 50,000 kwa mwezi, ambazo hulipwa kila baada...

 

10 years ago

Michuzi

11 years ago

Michuzi

Nipashe, The Guardian yashirikiana na Vodacom kutoa taarifa kwa njia ya simu ya mkononi

Mkuu wa Idara ya Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania,Kelvin Twissa(katikati)akifafanua jambo kwa waandishi wa habari(hawapo pichani)kuhusiana na uzinduzi wa huduma mpya itakayokuwa inatumiwa na wateja wanaotumia mtandao wa simu za mkononi wa vodacom kupata habari za punde (Breaking News)za kitaifa na kimataifa kupitia magazeti ya Nipashe na The Guardian, mahali popote na muda wowote. Ili kujiunga mteja anatakiawa kuandika neno Nipashe au The Guardian kwenda namba 15501. Kushoto ni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani