Wabuni ufundishaji wa hesabu kwa kutumia simu za mkononi
Kwa muda mrefu ufaulu mdogo wa Hisabati kwa wanafunzi wa ngazi mbalimbali za elimu umekuwa moja ya changamoto inayoukabili mfumo wa elimu nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Ykileo![](http://4.bp.blogspot.com/-CkeelarVD5M/U1eEzpfX6yI/AAAAAAAAAXM/3HmvI8F2ybc/s72-c/1.jpg)
TAHADHARI: UHALIFU UNAOFANYWA KUTUMIA SIMU ZA MKONONI!
![](http://4.bp.blogspot.com/-CkeelarVD5M/U1eEzpfX6yI/AAAAAAAAAXM/3HmvI8F2ybc/s1600/1.jpg)
1. Usimpe mtu yeyote usiyemfahamu vizuri simu yako au kadi yako ya simu ili atumie. 2. Usitoe maelezo yoyote kuhusu namba yako ya simu au taarifa za binafsi kwa mtu yeyote...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xJlUd0mqh9M/U0JwD_sOtxI/AAAAAAACt9I/iAofB1ryKO4/s72-c/index.jpg)
MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA YATOA TAHADHARI DHIDI YA UHALIFU UNAOFANYWA KUTUMIA SIMU ZA MKONONI
![](http://2.bp.blogspot.com/-xJlUd0mqh9M/U0JwD_sOtxI/AAAAAAACt9I/iAofB1ryKO4/s640/index.jpg)
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), kwa kuzingatia kifungu 5 (b) na (e) cha Sheria ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania ya 2003 inatoa tahadhari kwa watumiaji wa huduma za mawasiliano, wananchi na umma kwa ujumla kujihadhari na utapeli unaofanywa kwa kutumia simu za mkononi na mtandao wa intaneti kama ifuatavyo:
1. Usimpe mtu yeyote usiyemfahamu vizuri simu yako au kadi yako ya simu ili atumie.
2. Usitoe maelezo yoyote kuhusu namba yako ya simu au taarifa za binafsi kwa mtu yeyote...
10 years ago
Mwananchi03 Oct
Wabuni mbinu za kuuza chakula kwa simu
10 years ago
Mwananchi23 Jan
Hofu mpya kwa watumiaji wa simu za mkononi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jbaar29oQX4PzDrcxR3MAgTn3Qytsjws4l221IdPY2vT1ks-tRnpuEDZ7ggdaHb48-*mk03zr-OmdIo2Bt6s9HKl1iiytMv0/GPL_Logo_FinalWEWB.gif)
HABARI NJEMA KWA WATUMIAJI WA SIMU ZA MKONONI
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-aA0eNO2S99g/U9D_mW01eDI/AAAAAAAF5uI/76Oh5C_Ed8U/s72-c/unnamed.jpg)
Nipashe, The Guardian yashirikiana na Vodacom kutoa taarifa kwa njia ya simu ya mkononi
![](http://2.bp.blogspot.com/-aA0eNO2S99g/U9D_mW01eDI/AAAAAAAF5uI/76Oh5C_Ed8U/s1600/unnamed.jpg)
10 years ago
Dewji Blog13 May
Tigo yazindua usajiri wa kuzaliwa kupitia simu za mkononi kwa kanda ya Ziwa
Naibu Waziri wa Sheria na Katiba Ummy Mwalimu(kushoto)akionyesha moja kati ya simu 350 zilizotolewa na Kampuni ya Tigo kwa ajili ya mkakati wa usajili wa watoto waliozaliwa wenye umri chini ya miaka mitano kwa njia ya simu kwa kutumia mtandao wa Tigo,wakati wa uzinduzi uliofanyika Mkoani Mwanza jana, kutoka kulia ni Mkurugenzi wa Tigo Kanda ya Ziwa Ali Maswanya,Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana Baraka Konisaga, Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa usajili,ufilisi na udhamini(RITA) Emmy...
9 years ago
VijimamboKAMPUNI YA SIMU YA TIGO NA DTBi WAZINDUA HUDUMA YA KUREJESHA KUMBUKUMBU NA KUZUIA WIZI WA SIMU ZA MKONONI DAR ES SALAAM LEO
9 years ago
Dewji Blog29 Sep
BENKI YA DUNIA: Tanzania yaongoza Duniani kutoa huduma za Pesa kwa simu za mkononi!
Picha ya Maktaba inavyoonesha namna ya huduma za kifedha zinavyofanyika kutoka simu ya mteja mmoja na kwenda kwa mteja mwingine kwa kutumiana pesa kwa njia hiyo ya simu za Mkononi, ambapo kwa Tanzania imekuwa kinara katika huduma hiyo.
TANZANIA ni nchi ya kwanza duniani kutoa huduma za pesa, kutoa mikopo na kutoa riba kwa
kutumia mawasiliano ya simu, Benki ya Dunia imesema na kuongeza kuwa Tanzania
ni moja ya masoko makubwa zaidi duniani ya kutoa huduma ya fedha kwa njia...