TAHADHARI: UHALIFU UNAOFANYWA KUTUMIA SIMU ZA MKONONI!
![](http://4.bp.blogspot.com/-CkeelarVD5M/U1eEzpfX6yI/AAAAAAAAAXM/3HmvI8F2ybc/s72-c/1.jpg)
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), kwa kuzingatia kifungu 5 (b) na (e) cha Sheria ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania ya 2003 inatoa tahadhari kwa watumiaji wa huduma za mawasiliano, wananchi na umma kwa ujumla kujihadhari na utapeli unaofanywa kwa kutumia simu za mkononi na mtandao wa intaneti kama ifuatavyo:-
1. Usimpe mtu yeyote usiyemfahamu vizuri simu yako au kadi yako ya simu ili atumie. 2. Usitoe maelezo yoyote kuhusu namba yako ya simu au taarifa za binafsi kwa mtu yeyote...
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xJlUd0mqh9M/U0JwD_sOtxI/AAAAAAACt9I/iAofB1ryKO4/s72-c/index.jpg)
MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA YATOA TAHADHARI DHIDI YA UHALIFU UNAOFANYWA KUTUMIA SIMU ZA MKONONI
![](http://2.bp.blogspot.com/-xJlUd0mqh9M/U0JwD_sOtxI/AAAAAAACt9I/iAofB1ryKO4/s640/index.jpg)
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), kwa kuzingatia kifungu 5 (b) na (e) cha Sheria ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania ya 2003 inatoa tahadhari kwa watumiaji wa huduma za mawasiliano, wananchi na umma kwa ujumla kujihadhari na utapeli unaofanywa kwa kutumia simu za mkononi na mtandao wa intaneti kama ifuatavyo:
1. Usimpe mtu yeyote usiyemfahamu vizuri simu yako au kadi yako ya simu ili atumie.
2. Usitoe maelezo yoyote kuhusu namba yako ya simu au taarifa za binafsi kwa mtu yeyote...
10 years ago
Mwananchi07 Oct
Wabuni ufundishaji wa hesabu kwa kutumia simu za mkononi
9 years ago
VijimamboKAMPUNI YA SIMU YA TIGO NA DTBi WAZINDUA HUDUMA YA KUREJESHA KUMBUKUMBU NA KUZUIA WIZI WA SIMU ZA MKONONI DAR ES SALAAM LEO
10 years ago
MichuziKAMPUNIYA SIMU ZA MKONONI ZA HUAWEI WAZINDUA SIMU MPYA AINA YA HUAWEI P8
11 years ago
Mwananchi14 Dec
Lulu: Nadhani sihitaji simu ya mkononi
10 years ago
BBCSwahili06 Jan
Simu ya mkononi kumaliza Ebola Guinea
9 years ago
Dewji Blog05 Oct
Ijue vizuri simu yako ya mkononi
Asilimia kubwa ya watumiaji wa simu za mkononi nchini na duniani kwa ujumla wanatumia simu zenye Android. Mfano mzuri wa simu hizi ni Huawei Y360 zinazouzwa kwa ushirikiano wa Tigo na Huawei. Lakini je ni wangapi kati yetu tunajua vyema kutumia simu hizi? Nimekukusanyia njia kadhaa za kukusaidia, nikitumia Huawei Y360 kama mfano.
Angalizo; Nimechagua simu hii kama mfano kwa sababu ni simu mpya, inayouzwa bei rahisi ya 160,000 pekee na hivyo naamini idadi kubwa ya Watanzania watakua...
11 years ago
Tanzania Daima02 Aug
Umuhimu wa simu za mkononi na changamoto zake
KUTOKANA na kuwepo kwa vitendo vya uhalifu kupitia mitandao, wananchi wanapaswa kutoteleza masuala mbalimbali kupitia ujumbe mfupi wa maandishi (sms) kabla ya kuzungumza na mhusika,” anasema Naibu Mkurugenzi, Masuala ya...
9 years ago
Mwananchi15 Sep
Simu za mkononi sasa ni zaidi ya mawasiliano