MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA YATOA TAHADHARI DHIDI YA UHALIFU UNAOFANYWA KUTUMIA SIMU ZA MKONONI
![](http://2.bp.blogspot.com/-xJlUd0mqh9M/U0JwD_sOtxI/AAAAAAACt9I/iAofB1ryKO4/s72-c/index.jpg)
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), kwa kuzingatia kifungu 5 (b) na (e) cha Sheria ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania ya 2003 inatoa tahadhari kwa watumiaji wa huduma za mawasiliano, wananchi na umma kwa ujumla kujihadhari na utapeli unaofanywa kwa kutumia simu za mkononi na mtandao wa intaneti kama ifuatavyo:
1. Usimpe mtu yeyote usiyemfahamu vizuri simu yako au kadi yako ya simu ili atumie.
2. Usitoe maelezo yoyote kuhusu namba yako ya simu au taarifa za binafsi kwa mtu yeyote...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Ykileo![](http://4.bp.blogspot.com/-CkeelarVD5M/U1eEzpfX6yI/AAAAAAAAAXM/3HmvI8F2ybc/s72-c/1.jpg)
TAHADHARI: UHALIFU UNAOFANYWA KUTUMIA SIMU ZA MKONONI!
![](http://4.bp.blogspot.com/-CkeelarVD5M/U1eEzpfX6yI/AAAAAAAAAXM/3HmvI8F2ybc/s1600/1.jpg)
1. Usimpe mtu yeyote usiyemfahamu vizuri simu yako au kadi yako ya simu ili atumie. 2. Usitoe maelezo yoyote kuhusu namba yako ya simu au taarifa za binafsi kwa mtu yeyote...
9 years ago
Mwananchi15 Sep
Simu za mkononi sasa ni zaidi ya mawasiliano
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zIRqg0zJMlM/XmVJAaKQnyI/AAAAAAALiIM/00qjo0Fe6y0x_FR0oqrqZzQlgJG7HAuQQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-08%2Bat%2B9.50.21%2BPM.jpeg)
Ukuaji wa uchumi unavyotegemea sekta ya mawasiliano ya simu za mkononi
![](https://1.bp.blogspot.com/-zIRqg0zJMlM/XmVJAaKQnyI/AAAAAAALiIM/00qjo0Fe6y0x_FR0oqrqZzQlgJG7HAuQQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-08%2Bat%2B9.50.21%2BPM.jpeg)
Ripoti ya UK ThinkTank inaongeza kuwa mafanikio ya ukuaji wa kiuchumi Tanzania yamewezeshwa na juhudi za serikali kukuza sekta ya viwanda na kutengeneza mazingira bora ya uwekezaji katika sekta mbalimbali.
Matokeo ya juhudu hizo yameifanya Tanzania kuwa mmoja ya wauzaji wakubwa nje wa dhahabu...
10 years ago
Mwananchi07 Oct
Wabuni ufundishaji wa hesabu kwa kutumia simu za mkononi
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-9A0jwL6gbHw/Vl7dvJf0PaI/AAAAAAAIJwQ/6d_uUiiVZSw/s72-c/DSCF9436.jpg)
NHIF YAZINDUA KITUO CHA MAWASILIANO NA HUDUMA KWA WATEJA KUPITIA SIMU ZA MKONONI
![](http://2.bp.blogspot.com/-9A0jwL6gbHw/Vl7dvJf0PaI/AAAAAAAIJwQ/6d_uUiiVZSw/s640/DSCF9436.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nII-N*HRVI3Z*jNpV3ESL7WGaIS5R2fXbZY0T5PLETuB7NBbWzSAYxvplQeJlC7LpNAXbmxijPaMLc1NQpdvdicuuOj8lukW/147.jpg?width=550)
MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA (TCRA) YASAINI MIKATABA KUPELEKA MAWASILIANO VIJIJINI
5 years ago
MichuziCCM Z’BAR YATOA TAHADHARI DHIDI YA VIRUSI VYA CORONA
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar kimewataka wananchi visiwani hapa kuendelea kuchukua tahadhari ya kujikinga dhidi ya ugonjwa hatari wa virusi vya Corona ambao ulianzia nchi za nje na hivi sasa tayari umeripotiwa kuingia Tanzania.
Mbali na hilo, CCM imezitaka Ofisi zote za chama,Jumuiya,matawi na maskani za chama kutoa elimu na ufafanuzi wa kina kwa wanachama wao juu ya maelekezo yaliyotolewa na chama ngazi ya taifa dhidi ya kujikinga na ugonjwa huo.
Kauli hiyo...
9 years ago
CHADEMA BlogCHADEMA YATOA ONYO KUHUSU MPANGO WA KUKATA MAWASILIANO YA SIMU NA MTANDAO WA INTANETI
9 years ago
BBCSwahili08 Oct
Vyeti vya kuzaliwa na simu za mkononi Tanzania