Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA YATOA TAHADHARI DHIDI YA UHALIFU UNAOFANYWA KUTUMIA SIMU ZA MKONONI


Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), kwa kuzingatia kifungu 5 (b) na (e) cha Sheria ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania ya 2003 inatoa tahadhari kwa watumiaji wa huduma za mawasiliano, wananchi na umma kwa ujumla kujihadhari na utapeli unaofanywa kwa kutumia simu za mkononi na mtandao wa intaneti kama ifuatavyo:
1. Usimpe mtu yeyote usiyemfahamu vizuri simu yako au kadi yako ya simu ili atumie.

2. Usitoe maelezo yoyote kuhusu namba yako ya simu au taarifa za binafsi kwa mtu yeyote...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Ykileo

TAHADHARI: UHALIFU UNAOFANYWA KUTUMIA SIMU ZA MKONONI!

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), kwa kuzingatia kifungu 5 (b) na (e) cha Sheria ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania ya 2003 inatoa tahadhari kwa watumiaji wa huduma za mawasiliano, wananchi na umma kwa ujumla kujihadhari na utapeli unaofanywa kwa kutumia simu za mkononi na mtandao wa intaneti kama ifuatavyo:-


1. Usimpe mtu yeyote usiyemfahamu vizuri simu yako au kadi yako ya simu ili atumie.

2. Usitoe maelezo yoyote kuhusu namba yako ya simu au taarifa za binafsi kwa mtu yeyote...

 

9 years ago

Mwananchi

Simu za mkononi sasa ni zaidi ya mawasiliano

Uzoefu unaonyesha teknolojia ya simu za mkononi bado haijawawezesha Watanzania wengi kuzitumia katika masuala ya kimaendeleo hasa katika kurahisisha maisha.

 

5 years ago

Michuzi

Ukuaji wa uchumi unavyotegemea sekta ya mawasiliano ya simu za mkononi

TAKWIMU zinaonyesha kwamba Tanzania imepitia kipindi kizuri cha ukuaji wa kiuchumi katika muongo mmoja uliopita na kuifanya hivi sasa kuwa moja ya chumi zinazokua vizuri katika eneo la Afrika Mashariki.
Ripoti ya UK ThinkTank inaongeza kuwa mafanikio ya ukuaji wa kiuchumi Tanzania yamewezeshwa na juhudi za serikali kukuza sekta ya viwanda na kutengeneza mazingira bora ya uwekezaji katika sekta mbalimbali. 
Matokeo ya juhudu hizo yameifanya Tanzania kuwa mmoja ya wauzaji wakubwa nje wa dhahabu...

 

10 years ago

Mwananchi

Wabuni ufundishaji wa hesabu kwa kutumia simu za mkononi

Kwa muda mrefu ufaulu mdogo wa Hisabati kwa wanafunzi wa ngazi mbalimbali za elimu umekuwa moja ya changamoto inayoukabili mfumo wa elimu nchini.

 

9 years ago

Michuzi

NHIF YAZINDUA KITUO CHA MAWASILIANO NA HUDUMA KWA WATEJA KUPITIA SIMU ZA MKONONI

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Michael Mhando akizungumza na vyombo vya habari wakati wa uzinduzi wa Kituo cha Mawasiliano na Huduma Kwa Wateja (Call center) ambacho kitahusika na kupokea na kujibu hoja za wadau mbalimbali zitakazowasilishwa katika Mfuko kupitia Namba ya simu 0800 110063, barua pepe info@nhif.or.tz na mawasiliano kwa njia ya mtandao (Mitandao ya kijamii na simu za mkononi), uliofanyika leo kwenye makao makuu ya Mfuko huo, jijini Dar es...

 

10 years ago

GPL

MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA (TCRA) YASAINI MIKATABA KUPELEKA MAWASILIANO VIJIJINI

 Afisa Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (Universal Communications Service Access Fund – UCSAF) Eng Peter Ulanga (Katikati) akiwa na Waziri wa Sayansi na Teknolojia Prof. Makame Mbarawa, Mkurugenzi mkuu wa Mamlaka Ya Mawasiliano Tanzania (TCRA)  Prof. John Nkoma, CEO wa TTCL Dr. Kamugisha Kazaura wakiweka sahihi mikataba ya mabilioni kupelekea… ...

 

5 years ago

Michuzi

CCM Z’BAR YATOA TAHADHARI DHIDI YA VIRUSI VYA CORONA

NA IS-HAKA OMAR,ZANZIBAR.

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar kimewataka wananchi visiwani hapa kuendelea kuchukua tahadhari ya kujikinga dhidi ya ugonjwa hatari wa virusi vya Corona ambao ulianzia nchi za nje na hivi sasa tayari umeripotiwa kuingia Tanzania.

Mbali na hilo, CCM imezitaka Ofisi zote za chama,Jumuiya,matawi na maskani za chama kutoa elimu na ufafanuzi wa kina kwa wanachama wao juu ya maelekezo yaliyotolewa na chama ngazi ya taifa dhidi ya kujikinga na ugonjwa huo.

Kauli hiyo...

 

9 years ago

CHADEMA Blog

CHADEMA YATOA ONYO KUHUSU MPANGO WA KUKATA MAWASILIANO YA SIMU NA MTANDAO WA INTANETI

Chama cha Democrasia na maendeleo CHADEMA pamoja na umoja wa katiba ya wananchi UKAWA wamesema kuwa upo mpango unaoandaliwa na chama cha mapinduzi kwa kushirikiana na serikali kuhakikisha kuwa wanakata mawasiliano hasa ya mtandao kwa siku ya upigaji kura Tanzania,mpango ambao wamesema kuwa unasukwa kwa ajili ya kuhakikisha kuwa watanzania wanakuwa hawana mawasiliano ya haraka kupenana habari za

 

9 years ago

BBCSwahili

Vyeti vya kuzaliwa na simu za mkononi Tanzania

Kumiliki cheti cha kuzaliwa Tanzania ni jambo muhimu,mtoto anapata haki za msingi na kutambuliwa kihalali.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani