TEKNOLOGIA NA CHANGAMOTO ZA KIUSALAMA MTANDAO.

Teknolojia bado inaendelea kukua kila siku, Mambo mengi yame endelea kugundulika kupitia teknolojia hii leo. Pia Teknolojia imeendelea kusaidia urahisishaji wa mambo mengi sana ambayo awali yalikua ni magumu au kuchukua muda mrefu kukamilika.
Kama ilivyo katika maswala mbalimbali, Teknolojia nayo ina changamoto zake. Kwenye ukurasa huu kumekua kukijadiliwa changamoto mbali mbali kila kukicha za kiusalama mtandao. Baadhi ya vitu vitakavyo onekana katika video hapo chini ni pamoja na mambo...
Habari Zinazoendana
11 years ago
Ykileo
KUPERUZI KUPITIA WI-FI NI HATARI ZAIDI KIUSALAMA MTANDAO

Haya niliyabainisha wakati nazungumzia changamoto mbali mbali tunazokumbana nazo za kiusalama mtandao kupitia matumizi yasiyo salama ya Wi-Fi yanayo endelea kushika kasi kaika maeneo mbali mbali hivi...
11 years ago
Ykileo
WASIWASI WA KIUSALAMA MTANDAO WA TANDA KWA WATUMIAJI SIMU ZA ANDROID

Kile kilicho onekana sana kwa watumiaji wa komputa ambapo wahalifu wanazifunga...
11 years ago
Ykileo
TAHADHARI: WATUMIAJI WA "INTERNET EXPLORER" WAKO HATARINI KIUSALAMA MTANDAO

Jumamosi tangazo hilo linalosomeka hapa "TANGAZO" limeweza kubainisha internet explorer toleo la sita (6) hadi la kumi na moja (11) yote yameweza kugundulika yanatoa mwanya kwa wahalifu mtandao kupenya kwa watumiaji na kuchukua taarifa...
11 years ago
Mwananchi16 Sep
Changamoto za miamala ya fedha kwa njia ya mtandao- 2
10 years ago
BBCSwahili01 Feb
TFF:Hatuhukumu matukio uwanjani kwa ushahidi wa teknologia
10 years ago
MichuziKAMPUNI YA HUAWEI YASAIDIA KATIKA ELIMU NA TEKNOLOGIA HAPA NCHINI
Dr.Lu Youqing lieleza kuwa sasa hivi China na Tanzania wana ushirikiano mzuri...
9 years ago
Michuzi
WAZIRI WA ELIMU,SAYANSI,TEKNOLOGIA NA UFUNDI PROFESA. JOYCE NDALICHAKO ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA NACTE


10 years ago
StarTV21 Oct
Jeshi la polisi lapokea vifaa vya kiusalama
Jeshi la Polisi Nchini limetakiwa kulinda na kuhakikisha amani inakuwepo katika kipindi hiki cha Uchaguzi Mkuu.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete ameyasema hayo, wakati akikabidhi magari mia tatu kwa Polisi nchini.
Katika Makabidhiano hayo na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP, ERNEST MANGU, Rais Kikwete amekabidhi magari mia tatu kati ya mia saba sabini na saba yanayotarajiwa kuimarisha ulinzi na shughuli mbalimbali za Polisi nchini.
5 years ago
Michuzi
POLISI NA WAHUDUMU WA BAR WAKUTANA KUPANGA MIKAKATI YA KIUSALAMA
Akizungumza na wahudumu hao jana, Mkuu wa Jeshi la Polisi wilayani humo Nico Livingstone alisema, suala la ulinzi la mwananchi na mali ni la kila mmoja na sio taasisi moja. Amewataka wahudumu na wamiliki wa bara na nyumba za kulala wageni kutoa taarifa kwa polisi pale...