WAZABUNI WATAJWA KUCHANGIA UCHELEWESHAJI WA MIRADI
![](https://1.bp.blogspot.com/-AzWQf6ZXn8M/XkavEx_pSlI/AAAAAAALdZg/izDjTsK4qeAoHH6WxF9iAe8-JljsuQT4wCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA%2BA.jpg)
Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa nchini Brigedia Jenerali Charles Mbuge akizungumza na baadhi ya viongozi wa Mkoa wa Simiyu na watendaji wa Jeshi mara baada ya kukagua mradi wa Ujenzi wa wodi ya wazazi unaendela katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Simiyu Mjini Bariadi, wakati wa ziara yake Mkoani humo Februari 13, 2020 yenye lengo la kukagua miradi mbalimbali ya ujenzi inayotekelezwa na Shirika la Uzalishaji mali la JKT(SUMA JKT).
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Anthony Mtaka(wa pili kushoto)...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-VJrPxG5T-cw/Xkam_Z-WanI/AAAAAAACynU/nmIBS-GZafMrAbA5Q3exBHsN9MxuY5UXACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAZABUNI CHANZO UCHELEWESHJI WA MIRADI
![](https://1.bp.blogspot.com/-VJrPxG5T-cw/Xkam_Z-WanI/AAAAAAACynU/nmIBS-GZafMrAbA5Q3exBHsN9MxuY5UXACLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Brigedia Jenerali Mbuge ameyasema hayo Februari 13, 2020 mjini Bariadi wakati akiwa katika ziara ya kukagua...
10 years ago
Uhuru Newspaper12 Mar
CCM yalalamikia ucheleweshaji wa fedha za miradi
NA THEODOS MGOMBA, KONDOA
SERIKALI imeshauriwa kutoa fedha kwa wakati kwenda katika halmashauri baada ya bajeti yake kumalizika.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, alisema hayo juzi alipokuwa akizungumza na wakazi wa kijiji cha Gwandi kilichoko wilayani Chemba mkoani Dodoma.
Kinana alisema kumekuwepo na ucheleweshaji wa miradi mbalimbali ya serikali kutokana na fedha kutofika kwa wakati katika halmashauri nyingi.
Alisema hali hiyo imekuwa ikirudisha nyuma kasi ya maendeleo katika maeneo...
10 years ago
Dewji Blog12 Feb
Magufuli amshukuru Balozi wa Japan nchini kuchangia miradi ya maendeleo
Balozi wa Japan nchini, Mh. Masaki Okada (kulia) na Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili Dkt. Hussein Kidanto wakitiliana saini mkataba wa fedha za ruzuku shilingi milioni 70/ zilizotolewa na serikali ya Japan kwa ajili ya kununua magari mawili ya wagonjwa (Ambulance). Tukio hilo lilishuhudiwa na viongozi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili pamoja na Mkurugenzi wa Hospitali hiyo aliyemaliza muda wake Dkt. Marina Njelekela.(Picha zote na Zainul Mzige wa modewjiblog).
Na...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/02/DSC_0393.jpg)
MAGUFULI AMSHUKURU BALOZI WA JAPAN NCHINI KUCHANGIA MIRADI YA MAENDELEO
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Zhl2dPUoF1E/VE5WrVvZ-II/AAAAAAAGtmo/0hBFrsum5X0/s72-c/unnamed%2B(36).jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL MGENI RASMI KATIKA HAFLA YA KUCHANGIA MIRADI YA MAENDELEO JIMBO LA RUFIJI
![](http://4.bp.blogspot.com/-Zhl2dPUoF1E/VE5WrVvZ-II/AAAAAAAGtmo/0hBFrsum5X0/s1600/unnamed%2B(36).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-gB8sbmPnJq4/VE5WrhLU9RI/AAAAAAAGtm0/jS-3N0IwuDk/s1600/unnamed%2B(35).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima18 Jun
Ucheleweshaji fedha kikwazo afya bure
CHANGAMOTO zinazojitokeza kwenye mpango wa serikali wa kutoa huduma za afya bure katika makundi maalumu zinachangiwa na serikali kushindwa kufikisha fedha za mpango huo kwa wakati. Hayo yalibainishwa jijini Dar...
10 years ago
Habarileo02 Nov
Ucheleweshaji wa fedha waathiri halmashauri Rukwa
KILIO cha ucheleweshaji au utoaji pungufu wa fedha za bajeti kutoka serikali kuu kimeendelea kutawala halmashauri zote katika Mkoa wa Rukwa, ambazo watendaji wake wameomba juhudi zifanyike kunusuru miradi ya maendeleo kukwama.
10 years ago
Tanzania Daima07 Nov
Wazabuni Mbeya wadai kufilisika
MATOKEO ya mitihani ya kidato cha nne mwaka huu huenda yakawa mabaya hasa kwa shule zilizo chini ya serikali mkoani Mbeya kutokana na wazabuni wanaotoa huduma ya chakula kusitisha kutokana...
9 years ago
Mwananchi03 Dec
Wazabuni kugoma, kwenda kortini