Butiku: Viongozi CCM magwiji wa kuvunja Katiba
Mkurugenzi wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku amesema nchi inaongozwa na Katiba, lakini inashangaza viongozi wa chama chake cha CCM na vingine ndiyo wanaongoza kwa kuvunja sheria na taratibu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi27 Mar
Viongozi wa Siasa Muache Uswahili mtupatie katiba ya watu wote siyo ya CCM,AU CHADEMA,AU CUFU TUNATAKA KATIBA.
10 years ago
Tanzania Daima20 Aug
Butiku: Kinachofanyika Bunge la Katiba ni utoto
MKURUGENZI Mtendaji wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku, amesema kitendo kinachoendelea sasa hivi katika Bunge la Katiba ni cha kitoto kutokana na ukweli kwamba katiba haiwezi kupatikana kwa kupitishwa...
10 years ago
Mwananchi07 Apr
Butiku: Yaliyonyofolewa Katiba Mpya yarudishwe
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-pVc32fw4c4Y/VVoLOnpOwrI/AAAAAAAHYGE/JmgdQXDIQgc/s72-c/tiku.jpg)
Butiku Kufanya Mkutano na Viongozi Wakuu wakitaifa Kujadilia Amani na Umoja wa Taifa
![](http://1.bp.blogspot.com/-pVc32fw4c4Y/VVoLOnpOwrI/AAAAAAAHYGE/JmgdQXDIQgc/s400/tiku.jpg)
Taasisi ya Mwalimu Nyerere Foundation imeandaa mkutano wa mashauriano unaotarajia kufanyika tarehe Mei 19-20 mwaka huu, ambapo watajadili mambo mbalimbali kuhusu amani na utulivu wanchi ya Tanzania.
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere Foundation Bw.Joseph Butiku alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam kuhusu maandalizi ya mkutano huo na agenda za mkutano huo.
“Mkutano huu utahusisha viongozi wakuu wa...
10 years ago
Mtanzania26 Jan
Butiku ahamasisha kura ya hapana Katiba Mpya
Na Shomari Binda, Musoma
WAJUMBE wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, wamewataka Watanzania kuikataa Katiba inayopendekezwa kwa kuwa haikuzingatia masilahi ya Watanzania.
Waliyasema hayo juzi katika ukumbi wa MCC, mjini Musoma kwenye mdahalo wa kujadili na kuelimisha wananchi kuhusiana na mchakato wa kupata Katiba Mpya na kuwataka kupiga kura ya hapana.
Akizungumza katika mdahalo huo, aliyekuwa Mjumbe wa Tume hiyo, Joseph Butiku, alisema mchakato wa kukusanya maoni ya Katiba,...
10 years ago
TheCitizen13 Apr
Feel free to reject Proposed Katiba: Butiku
10 years ago
Mwananchi13 Apr
Butiku: Si dhambi kupigia Katiba kura ya hapana
11 years ago
Mwananchi27 Jul
Butiku ataja makosa mchakato Katiba Mpya
11 years ago
Mwananchi23 Jul
MAONI: Kweli, tusitunge Katiba kwa kuvunja Katiba