Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Butiku: Kinachofanyika Bunge la Katiba ni utoto

MKURUGENZI Mtendaji wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku, amesema kitendo kinachoendelea sasa hivi katika Bunge la Katiba ni cha kitoto kutokana na ukweli kwamba katiba haiwezi kupatikana kwa kupitishwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

‘Utoto’ Bunge la Katiba

UMBUMBUMBU wa wajumbe wengi wa Bunge Maalumu la Katiba kutoisoma na kuielewa vizuri Sheria ya Mabadiliko ya Katiba ya mwaka 2013, umesababisha kwa asilimia kubwa Bunge hilo kushindwa kuanza vikao...

 

11 years ago

Mwananchi

Raza: Tuache utoto tujadili Katiba

Mjumbe wa Bunge la Katiba, Mohamed Raza ametaka wajumbe wenzake kuheshimiana bila kujali wingi au uchache wa wajumbe kwenye makundi yao, kama kweli wana dhamira ya dhati ya kutunga Katiba.

 

10 years ago

Mwananchi

Butiku amwomba JK alisitishe Bunge

 Mjumbe wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Joseph Butiku amemwomba Rais Jakaya Kikwete kusitisha Bunge la Katiba ndani ya mwezi mmoja ili kupisha maridhiano kufanyika baina ya pande mbili zinazovutana.

 

10 years ago

Mwananchi

Butiku: Yaliyonyofolewa Katiba Mpya yarudishwe

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku amesema hatua ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kusogeza mbele tarehe ya Kura ya Maoni ya Katiba inayopendekezwa, iwe mwanzo wa kutafakari na ikiwezekana kurejesha mambo ya msingi yaliyoondolewa katika Rasimu ya Pili ya Katiba iliyotolewa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba.

 

11 years ago

Mwananchi

Butiku ataja makosa mchakato Katiba Mpya

Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku (pichani) amesema kuwa mchakato wa Mabadiliko ya Katiba umefikia ulipo sasa, kutokana na makosa matatu makubwa yaliyofanywa na vyama vya siasa.

 

10 years ago

Mwananchi

Butiku: Si dhambi kupigia Katiba kura ya hapana

Mkurugenzi wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku amesema si dhambi kwa wananchi kupiga kura ya hapana Katiba Inayopendekezwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Butiku: Viongozi CCM magwiji wa kuvunja Katiba

Mkurugenzi wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku amesema nchi inaongozwa na Katiba, lakini inashangaza viongozi wa chama chake cha CCM na vingine ndiyo wanaongoza kwa kuvunja sheria na taratibu.

 

10 years ago

TheCitizen

Feel free to reject Proposed Katiba: Butiku

>Mwalimu Nyerere Foundation executive director Joseph Butiku said on Saturday that people should feel free to vote ‘No’ against the Proposed Constitution since the law gives them powers to make decisions.

 

10 years ago

Mtanzania

Butiku ahamasisha kura ya hapana Katiba Mpya

Joseph-ButikuNa Shomari Binda, Musoma
WAJUMBE wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, wamewataka Watanzania kuikataa Katiba inayopendekezwa kwa kuwa haikuzingatia masilahi ya Watanzania.
Waliyasema hayo juzi katika ukumbi wa MCC, mjini Musoma kwenye mdahalo wa kujadili na kuelimisha wananchi kuhusiana na mchakato wa kupata Katiba Mpya na kuwataka kupiga kura ya hapana.
Akizungumza katika mdahalo huo, aliyekuwa Mjumbe wa Tume hiyo, Joseph Butiku, alisema mchakato wa kukusanya maoni ya Katiba,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani