Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Raza: Tuache utoto tujadili Katiba

Mjumbe wa Bunge la Katiba, Mohamed Raza ametaka wajumbe wenzake kuheshimiana bila kujali wingi au uchache wa wajumbe kwenye makundi yao, kama kweli wana dhamira ya dhati ya kutunga Katiba.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Vijana tuache uvivu wa fikra tujadili katiba mpya!

KWA bahati mbaya sana, takwimu za serikali zinaonyesha kwamba vijana ndio kundi kubwa la watu wa Tanzania! Pamoja na ukweli huu, kuna bahati mbaya nyingine ya hatari sana kwa vijana...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tujadili katiba mpya kwa heshima

HIVI sasa baada ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba iliyo chini ya Jaji mstaafu, Joseph Warioba, kuwasilisha mapendekezo ya Katiba mpya yaliyotokana na maoni ya wananchi kutoka kila pembe ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Utoto’ Bunge la Katiba

UMBUMBUMBU wa wajumbe wengi wa Bunge Maalumu la Katiba kutoisoma na kuielewa vizuri Sheria ya Mabadiliko ya Katiba ya mwaka 2013, umesababisha kwa asilimia kubwa Bunge hilo kushindwa kuanza vikao...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Butiku: Kinachofanyika Bunge la Katiba ni utoto

MKURUGENZI Mtendaji wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku, amesema kitendo kinachoendelea sasa hivi katika Bunge la Katiba ni cha kitoto kutokana na ukweli kwamba katiba haiwezi kupatikana kwa kupitishwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tuache ushabiki mchakato wa katiba

KATIBA ni kila kitu katika kuhakikisha ufanisi wa kisiasa, kiuchumi, kielimu, kiuzalishaji, kiafya, kiutunzaji mazingira na mengine yote yanayohusu ndoto na matarajio ya wanajamii. Kwa mujibu wa Montesquieu (Cohler na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tuache maslahi binafsi tutafute katiba ya nchi

MCHAKATO wa kuandika katiba mpya ya taifa letu umefika mahali pagumu. Ni pagumu kwa vile mwenendo wa Bunge Maalumu la Katiba hauonyeshi kutoa kile ambacho wananchi wanakisubiri kwa hamu sana....

 

11 years ago

Mwananchi

Tuache usanii, Katiba Mpya mali ya wananchi

Desemba 30 mwaka jana Rais Jakaya Kikwete alipokea Rasimu ya pili ya Katiba baada ya kazi ya kuchambua maoni ya wananchi kupitia mabaraza ya wilaya ya Katiba kumalizika.

 

9 years ago

Raia Mwema

Tujadili matokeo kubandikwa vituoni

SEPTEMBA 17, 2015, nilisoma taarifa ya January Makamba kwenye gazeti la NIPASHE (uk. 03).

Joseph Magata

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tusirudie makosa, tujadili matatizo ya Tanzania

JOTO la uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika mwakani linapoanza kupanda, tunaelekea kufanya makosa yaleyale ya miaka yote. Tunaanza kuwajadili watu na vyama vyao badala ya kuyajadili matatizo ya taifa letu. Swali...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani