Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vijana tuache uvivu wa fikra tujadili katiba mpya!

KWA bahati mbaya sana, takwimu za serikali zinaonyesha kwamba vijana ndio kundi kubwa la watu wa Tanzania! Pamoja na ukweli huu, kuna bahati mbaya nyingine ya hatari sana kwa vijana...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Raza: Tuache utoto tujadili Katiba

Mjumbe wa Bunge la Katiba, Mohamed Raza ametaka wajumbe wenzake kuheshimiana bila kujali wingi au uchache wa wajumbe kwenye makundi yao, kama kweli wana dhamira ya dhati ya kutunga Katiba.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tujadili katiba mpya kwa heshima

HIVI sasa baada ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba iliyo chini ya Jaji mstaafu, Joseph Warioba, kuwasilisha mapendekezo ya Katiba mpya yaliyotokana na maoni ya wananchi kutoka kila pembe ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Tuache usanii, Katiba Mpya mali ya wananchi

Desemba 30 mwaka jana Rais Jakaya Kikwete alipokea Rasimu ya pili ya Katiba baada ya kazi ya kuchambua maoni ya wananchi kupitia mabaraza ya wilaya ya Katiba kumalizika.

 

10 years ago

StarTV

Watanzania watakiwa kuacha uvivu wa fikra

Watanzania wametakiwa kuacha tabia ya kutawaliwa na uvivu na ufinyu wa fikra za kimaendeleo zinazowasababishia baadhi ya watu kutojihusisha na masuala ya maendeleo na kuishia katika vijiwe wakidai hakuna maendeleo nchini.

Akizungumza katika ibada maalumu ya kumshukuru Mungu kwa kumaliza uchaguzi salama Mchungaji John Masanyiwa amesema iwapo watanzania wanataka maendeleo ya kweli ni vyema wakajihamasisha katika shughuli za kimaendeleo zitakazowawezesha kupata fursa mbalimbali kwa viongozi...

 

11 years ago

Habarileo

Vijana waweka nadhiri Katiba mpya

VIJANA wamekubaliana kutokupiga kura ya Katiba Inayopendekezwa kwa kutumia baadhi ya vifungu pamoja na kusoma Katiba hiyo bila kukubali kutafsiriwa na wanasiasa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tuache ushabiki mchakato wa katiba

KATIBA ni kila kitu katika kuhakikisha ufanisi wa kisiasa, kiuchumi, kielimu, kiuzalishaji, kiafya, kiutunzaji mazingira na mengine yote yanayohusu ndoto na matarajio ya wanajamii. Kwa mujibu wa Montesquieu (Cohler na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tuache maslahi binafsi tutafute katiba ya nchi

MCHAKATO wa kuandika katiba mpya ya taifa letu umefika mahali pagumu. Ni pagumu kwa vile mwenendo wa Bunge Maalumu la Katiba hauonyeshi kutoa kile ambacho wananchi wanakisubiri kwa hamu sana....

 

5 years ago

Michuzi

SUA YAKABIDHIWA VITABU VYA KUAMSHA FIKRA ZA VIJANA


Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Skooine cha Kilimo SUA Prof. Raphael Chibunda akiwa ameshikilia moja ya vitabu hivyo baada ya kukabidhiwa, Kulia kwake ni Naibu makamu mkuu wa Chuo upande wa Taaluma Prof. Peter Gillar, kuanzia kshoto ni Mkurugenzi wa Maktaba ya taifa ya Kilimo Prof. Mugyabuso Lwehabura, Bwana Derek Murusuri ambaye ndiye mwandishi wa kitabu na Dkt. Cliford Tandali aliyetoa msaada huo wa vitabuMakamu wa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo SUA Prof....

 

5 years ago

CCM Blog

SUA YAPOKEA VITABU VYA KUAMSHA FIKRA ZA VIJANA


   Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) cha Morogoro, Prof. Raphael Chibunda (wa pili kushoto), akipokea na kuonesha nakala ya Kitabu cha MAKING AFRICA WORLD'S LARGEST ECONOMY, kutoka kwa aliyepata kuwa Katibu Tawala (RAS) wa Mkoa wa Morogoro ambaye pia alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Uwekezaji cha Tanzania (TIC), Dkt. Clifford Katondo TANDARI (katikati). Kulia ni Mkurugenzi wa Maktaba ya Taifa ya Kilimo ya Sokoine (SNAL), Prof. Mugyabuso Lwehabura na wa pili kulia ni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani