Tuache maslahi binafsi tutafute katiba ya nchi
MCHAKATO wa kuandika katiba mpya ya taifa letu umefika mahali pagumu. Ni pagumu kwa vile mwenendo wa Bunge Maalumu la Katiba hauonyeshi kutoa kile ambacho wananchi wanakisubiri kwa hamu sana....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://3.bp.blogspot.com/-unP-HvN8Gdk/U_2lK6iE5eI/AAAAAAAABkM/BMVJ6wlA2w0/s72-c/mkapa2.jpg)
Mkapa: Maslahi binafsi yanaathiri uwajibikaji
NA RABIA BAKARI
RAIS Mstaafu Benjamin Mkapa, amesema mgongano wa kimaslahi baina ya viongozi na watumishi wa umma, ni janga ambalo halijapewa uzito wa kutosha katika kulipatia ufumbuzi.
Amesema tatizo hilo limekuwa likizikumba nchi mbalimbali duniani na kwamba viongozi wenye maslahi binafsi ni tatizo katika kuleta usawa na uwajibikaji.
![](http://3.bp.blogspot.com/-unP-HvN8Gdk/U_2lK6iE5eI/AAAAAAAABkM/BMVJ6wlA2w0/s1600/mkapa2.jpg)
Akizungumzia wakati akifungua warsha ya kujadili Mapendekezo ya Sheria Mgongano wa Kimaslahi miongoni mwa watumishi wa umma mjini Dar es Salaam, jana, alisema...
11 years ago
Mwananchi04 May
Mjumbe: Jina la Nyerere lisitumike kwa maslahi binafsi
11 years ago
Tanzania Daima26 Jul
Tuache ushabiki mchakato wa katiba
KATIBA ni kila kitu katika kuhakikisha ufanisi wa kisiasa, kiuchumi, kielimu, kiuzalishaji, kiafya, kiutunzaji mazingira na mengine yote yanayohusu ndoto na matarajio ya wanajamii. Kwa mujibu wa Montesquieu (Cohler na...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-BbmjUCn2wdo/VDPyklr3OGI/AAAAAAAGohA/xWlw0ItVFTU/s72-c/unnamedq.jpg)
TMF yalipongeza Bunge Maalum la Katiba kwa kuingiza katika Katiba vipengele vitatu vinavyolinda maslahi ya wanamuziki
![](http://3.bp.blogspot.com/-BbmjUCn2wdo/VDPyklr3OGI/AAAAAAAGohA/xWlw0ItVFTU/s1600/unnamedq.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-1QnHdZP0ORA/VDPyk49W4_I/AAAAAAAGohE/Qxdq1YztkaA/s1600/unnamedq2.jpg)
11 years ago
Mwananchi31 Mar
Raza: Tuache utoto tujadili Katiba
11 years ago
Mwananchi07 Jan
Tuache usanii, Katiba Mpya mali ya wananchi
11 years ago
Tanzania Daima16 Jan
Vijana tuache uvivu wa fikra tujadili katiba mpya!
KWA bahati mbaya sana, takwimu za serikali zinaonyesha kwamba vijana ndio kundi kubwa la watu wa Tanzania! Pamoja na ukweli huu, kuna bahati mbaya nyingine ya hatari sana kwa vijana...
11 years ago
Habarileo21 Mar
‘Wanasiasa msishabikie Katiba kwa maslahi yenu’
WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba ambao ni wabunge na wawakilishi wamewataka wanasiasa wenzao kutoshabikia muundo wa utawala kwenye Katiba mpya kwa maslahi ya kupata vyeo. Badala yake wamewataka kuhakikisha Katiba mpya, inagusa maisha ya watu na uchumi kiujumla ili kuwasaidia wananchi kuondokana na umasikini na kupata maendeleo.
5 years ago
MichuziKABUDI AWATAKA WATUMISHI WA WIZARA YA MAMBO YA NJE KUJITOA MUHANGA KWA MASLAHI YA NCHI
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb.) akifungua rasmi Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Wizara lililofanyika kwenye Ukumbi wa Hazina jijini Dodoma tarehe 14 Machi, 2020. Pamoja na mambo mengine, Mhe. Prof. Kabudi amewataka Wafanyakazi wa Wizara hiyo kutekeleza majukumu yao kwa kujituma na kutanguliza mbele maslahi ya Taifa.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Kanali Wilbert A. Ibuge...