Tuache usanii, Katiba Mpya mali ya wananchi
Desemba 30 mwaka jana Rais Jakaya Kikwete alipokea Rasimu ya pili ya Katiba baada ya kazi ya kuchambua maoni ya wananchi kupitia mabaraza ya wilaya ya Katiba kumalizika.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima16 Jan
Vijana tuache uvivu wa fikra tujadili katiba mpya!
KWA bahati mbaya sana, takwimu za serikali zinaonyesha kwamba vijana ndio kundi kubwa la watu wa Tanzania! Pamoja na ukweli huu, kuna bahati mbaya nyingine ya hatari sana kwa vijana...
10 years ago
Mwananchi21 Mar
Katiba ni mali ya wananchi, waielewe - 3
10 years ago
Mwananchi28 Feb
Katiba ni mali ya wananchi, waielewe
10 years ago
VijimamboUSANII SIYO KUIGIZA AU KUIMBA HATA HUU NI USANII PIA
11 years ago
Tanzania Daima26 Jul
Tuache ushabiki mchakato wa katiba
KATIBA ni kila kitu katika kuhakikisha ufanisi wa kisiasa, kiuchumi, kielimu, kiuzalishaji, kiafya, kiutunzaji mazingira na mengine yote yanayohusu ndoto na matarajio ya wanajamii. Kwa mujibu wa Montesquieu (Cohler na...
10 years ago
Mtanzania25 Aug
Wananchi watengwa Katiba Mpya
Bunge
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
NI siku ya 14 sasa tangu wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba walipokutana kwa awamu ya pili Agosti mwaka huu, ambapo pamoja na mambo mengine walijadili mabadiliko ya kanuni za Bunge hilo kabla ya kuanza kupitia sura 15 za Rasimu ya Katiba.
Hadi sasa baadhi ya kamati zimeshamaliza kazi ya kupitia sura zote hizo ambazo zinakamilisha sura 17 za rasimu hiyo, ikiwa ni baada ya sura ya kwanza na ile ya sita kujadiliwa kwenye awamu ya kwanza ya Bunge hilo.
Wakati...
10 years ago
Habarileo20 Oct
'Wananchi isomeni Katiba mpya'
MWENYEKITI Taifa wa Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) aliyemaliza muda wake, John Heche amewahimiza wananchi kusoma Katiba inayopendekezwa na Bunge Maalumu la Katiba hivi karibuni kabla ya kupiga kura ili wafahamu kilichomo ndani ya Katiba hiyo kuliko kufuata mkumbo na ushabiki wa vyama vya siasa.
11 years ago
Mwananchi31 Mar
Raza: Tuache utoto tujadili Katiba
10 years ago
Habarileo13 Sep
Cheyo: Wananchi msidanganywe Katiba Mpya
MJUMBE wa Bunge Maalum la Katiba ambaye pia ni Mwenyekiti wa TCD, John Cheyo amewataka Watanzania kutodanganywa kuhusu mchakato mzima wa kusaka Katiba Mpya.