'Wananchi isomeni Katiba mpya'
MWENYEKITI Taifa wa Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) aliyemaliza muda wake, John Heche amewahimiza wananchi kusoma Katiba inayopendekezwa na Bunge Maalumu la Katiba hivi karibuni kabla ya kupiga kura ili wafahamu kilichomo ndani ya Katiba hiyo kuliko kufuata mkumbo na ushabiki wa vyama vya siasa.
habarileo
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania