SUA YAPOKEA VITABU VYA KUAMSHA FIKRA ZA VIJANA

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) cha Morogoro, Prof. Raphael Chibunda (wa pili kushoto), akipokea na kuonesha nakala ya Kitabu cha MAKING AFRICA WORLD'S LARGEST ECONOMY, kutoka kwa aliyepata kuwa Katibu Tawala (RAS) wa Mkoa wa Morogoro ambaye pia alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Uwekezaji cha Tanzania (TIC), Dkt. Clifford Katondo TANDARI (katikati). Kulia ni Mkurugenzi wa Maktaba ya Taifa ya Kilimo ya Sokoine (SNAL), Prof. Mugyabuso Lwehabura na wa pili kulia ni...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi
SUA YAKABIDHIWA VITABU VYA KUAMSHA FIKRA ZA VIJANA


10 years ago
MichuziMTUNZI MKONGWE WA VITABU ZANZIBAR AZINDUA VITABU VITATU VYA HADITHI ZA KALE
11 years ago
Tanzania Daima16 Jan
Vijana tuache uvivu wa fikra tujadili katiba mpya!
KWA bahati mbaya sana, takwimu za serikali zinaonyesha kwamba vijana ndio kundi kubwa la watu wa Tanzania! Pamoja na ukweli huu, kuna bahati mbaya nyingine ya hatari sana kwa vijana...
11 years ago
Michuzi
Wizara ya Habari Vijana,Utamaduni na Michezo yakagua miradi ya vikundi vya Vijana vya Wilaya ya Chemba Mkoani Dodoma


9 years ago
Michuzi
11 years ago
Tanzania Daima09 Jan
Televisheni, intaneti mbadala wa vitabu unaoharibu vijana
MWAKA jana maadhimisho ya Siku ya Kusoma Vitabu yalifanyika Novemba 11 na kuwakumbusha watu wawe na tabia ya kujisomea vitabu. Kwa ujumla Waafrika wengi hawana utamaduni wa kujisomea vitabu. Hii...
5 years ago
Michuzi
KATAVI YAPOKEA VIFAA VYA KUKABILIANA NA CORONA
* RC KATAVI ATOA SAA 48 KWA MCHINA ALIYEKATAA KUNAWA AFIKISHWE MAHAKAMANI.
Serikali Mkoani Katavi imepokea Vifaa tiba kwa ajili ya kuendelea na mapambano dhidi ya Ugonjwa wa Corona ikiwemo vifaa vinavyotumika kupima joto la mwili ambapo ni miongoni mwa changamoto iliyokuwa ikiukabiri Mkoa huo huku Mkuu wa Mkoa wa Katavi akitoa masaa 48 kwa Jeshi la Polisi kumfikisha Mahakamani Raia wa Kichina aliyekataa kunawa mikono yake maji tiririka.
Akipokea Vifaa hivyo kutoka Water Reed Program...
10 years ago
GPL21 Sep
5 years ago
Michuzi
WIZARA YA ARDHI YAPOKEA VIFAA VYA ZOEZI LA URASIMISHAJI MAKAZI

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. William Lukuvi (kulia) akizungumza na Mkurugenzi wa Mipango, Mikakati na Mahusiano wa Kitaasisi za Benki ya Maendeleo ya TIB, Bw. Patrick Mongella (kushoto) wakati Benki ya TIB ilipounga mkono jitihada za Wizara Ardhi za uanzishaji wa masjala za kutunza nakala za hati za umiliki wa ardhi ikiwa sehemu ya zoezi la urasimishaji wa makazi linalofanyika nchi nzima.

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. William Lukuvi akihimiza...