Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SUA YAKABIDHIWA VITABU VYA KUAMSHA FIKRA ZA VIJANA


Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Skooine cha Kilimo SUA Prof. Raphael Chibunda akiwa ameshikilia moja ya vitabu hivyo baada ya kukabidhiwa, Kulia kwake ni Naibu makamu mkuu wa Chuo upande wa Taaluma Prof. Peter Gillar, kuanzia kshoto ni Mkurugenzi wa Maktaba ya taifa ya Kilimo Prof. Mugyabuso Lwehabura, Bwana Derek Murusuri ambaye ndiye mwandishi wa kitabu na Dkt. Cliford Tandali aliyetoa msaada huo wa vitabuMakamu wa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo SUA Prof....

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

SUA YAPOKEA VITABU VYA KUAMSHA FIKRA ZA VIJANA


   Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) cha Morogoro, Prof. Raphael Chibunda (wa pili kushoto), akipokea na kuonesha nakala ya Kitabu cha MAKING AFRICA WORLD'S LARGEST ECONOMY, kutoka kwa aliyepata kuwa Katibu Tawala (RAS) wa Mkoa wa Morogoro ambaye pia alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Uwekezaji cha Tanzania (TIC), Dkt. Clifford Katondo TANDARI (katikati). Kulia ni Mkurugenzi wa Maktaba ya Taifa ya Kilimo ya Sokoine (SNAL), Prof. Mugyabuso Lwehabura na wa pili kulia ni...

 

10 years ago

Michuzi

MTUNZI MKONGWE WA VITABU ZANZIBAR AZINDUA VITABU VITATU VYA HADITHI ZA KALE

Mtunzi mkongwe wa vitabu Zanzibar Bi. Fatma Moh’d Salim (Jinja) akionyesha vitabu vya hadithi za kale alivyovitunga, katika sherehe za uzinduzi wa vitabu hivyo zilizofanyika nyumbani kwake Chukwani Zanzibar. Mwandishi wa Habari wa Redio Annur Fm Kasim Khamis akimuuliza suali Bi. Fatma Jinja kuhusiana na utunzi wa vitabu vyake alivyo vizindua. Baadhi ya waalikwa waliohudhuria sherehe za uzinduzi wa vitabu hivyo wakimskiliza Bi. Fatma Jinja (hayupo pichani) alipokuwa akitoa maelezo juu ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vijana tuache uvivu wa fikra tujadili katiba mpya!

KWA bahati mbaya sana, takwimu za serikali zinaonyesha kwamba vijana ndio kundi kubwa la watu wa Tanzania! Pamoja na ukweli huu, kuna bahati mbaya nyingine ya hatari sana kwa vijana...

 

11 years ago

Michuzi

Wizara ya Habari Vijana,Utamaduni na Michezo yakagua miradi ya vikundi vya Vijana vya Wilaya ya Chemba Mkoani Dodoma

Katibu wa Kikundi cha Muungano kilichopo kijiji cha Oloboloti kata ya Mrijo Halmashauri ya Chemba Mkoani Dodoma kinachojishughulisha na mradi wa kilimo cha nyanya aliyenyoosha mikono katikati Bw Juma Ally akitoa maelezo kwa Afisa wa Idara ya Maendeleo ya Vijana wa tatu kutoka kushoto Bi Amina Sanga katika ziara ya kukagua miradi ya Vijana, ziara hiyo ni sehemu ya mafunzo yanayotolewa na Wizara ya Habari Vijana, Utamaduni na Michezo kupitia Mfuko wa Vijana. Katibu wa Kikundi cha Umoja...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Televisheni, intaneti mbadala wa vitabu unaoharibu vijana

MWAKA jana maadhimisho ya Siku ya Kusoma Vitabu yalifanyika Novemba 11 na kuwakumbusha watu wawe na tabia ya kujisomea vitabu. Kwa ujumla Waafrika wengi hawana utamaduni wa kujisomea vitabu. Hii...

 

10 years ago

Michuzi

Milla Sports Club a.k.a. Berlin ya Temeke yakabidhiwa vifaa vya michezo

 Timu ya Milla Sports Club ya Temeke maarufu kama Berlin imeadhimisha siku yake ya Milla Day katika hafla ambayo pia walikabidhiwa  vifaa vya michezo Jersey na mipira ili kusaidia timu hiyo iweze kushiriki ligi ya soka Wilaya ya Temeke. Timu hii ya Berlin imezalisha wanamichezo na viongozi wengi maarufu wa soka nchini. Mgeni rasmi kwenye hafla hiyo MJUMBE wa NEC Ndg. Phares Magesa akitoa msaada huo wa vifaa vya michezo

 

10 years ago

Michuzi

Vitabu vya Shaaban Robert


Na Profesa Mbele
Jina la Shaaban Robert ni maarufu miongoni mwa wa-Tanzania na wengine wa nchi zingine wanaokijua ki-Swahili. Lakini, tujiulize ni wa-Tanzania wepi ambao wamesoma angalau vitabu vichache vya Shaaban Robert. 

Ni wangapi wamesoma au wanasoma mashairi yake, tenzi zake, insha zake, barua zake, na riwaya zake?
Ni wangapi wamesoma vitabu vyake vingine, kama vile Wasifu wa Siti Binti Saad, Maisha Yangu na Baada ya Miaka Hamsini, na tafsiri yake ya mashairi ya Omar Khayyam? Kama hatuna...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Benki yatoa vitabu vya mil.1.4/-

BENKI ya Afrika, Tawi la Mtwara imetoa msaada wa vitabu 118 vyenye thamani ya sh. milioni 1.4 kwa Shule ya Sekondari ya Bandari ya mkoani hapa. Akizungumza mara baada ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani