SUA YAKABIDHIWA VITABU VYA KUAMSHA FIKRA ZA VIJANA

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Skooine cha Kilimo SUA Prof. Raphael Chibunda akiwa ameshikilia moja ya vitabu hivyo baada ya kukabidhiwa, Kulia kwake ni Naibu makamu mkuu wa Chuo upande wa Taaluma Prof. Peter Gillar, kuanzia kshoto ni Mkurugenzi wa Maktaba ya taifa ya Kilimo Prof. Mugyabuso Lwehabura, Bwana Derek Murusuri ambaye ndiye mwandishi wa kitabu na Dkt. Cliford Tandali aliyetoa msaada huo wa vitabu
Makamu wa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo SUA Prof....
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog
SUA YAPOKEA VITABU VYA KUAMSHA FIKRA ZA VIJANA


10 years ago
MichuziMTUNZI MKONGWE WA VITABU ZANZIBAR AZINDUA VITABU VITATU VYA HADITHI ZA KALE
11 years ago
Tanzania Daima16 Jan
Vijana tuache uvivu wa fikra tujadili katiba mpya!
KWA bahati mbaya sana, takwimu za serikali zinaonyesha kwamba vijana ndio kundi kubwa la watu wa Tanzania! Pamoja na ukweli huu, kuna bahati mbaya nyingine ya hatari sana kwa vijana...
11 years ago
Michuzi
Wizara ya Habari Vijana,Utamaduni na Michezo yakagua miradi ya vikundi vya Vijana vya Wilaya ya Chemba Mkoani Dodoma


11 years ago
Tanzania Daima09 Jan
Televisheni, intaneti mbadala wa vitabu unaoharibu vijana
MWAKA jana maadhimisho ya Siku ya Kusoma Vitabu yalifanyika Novemba 11 na kuwakumbusha watu wawe na tabia ya kujisomea vitabu. Kwa ujumla Waafrika wengi hawana utamaduni wa kujisomea vitabu. Hii...
10 years ago
Michuzi.jpg)
Milla Sports Club a.k.a. Berlin ya Temeke yakabidhiwa vifaa vya michezo
.jpg)
.jpg)
10 years ago
MichuziVitabu vya Shaaban Robert

Na Profesa Mbele
Jina la Shaaban Robert ni maarufu miongoni mwa wa-Tanzania na wengine wa nchi zingine wanaokijua ki-Swahili. Lakini, tujiulize ni wa-Tanzania wepi ambao wamesoma angalau vitabu vichache vya Shaaban Robert.
Ni wangapi wamesoma au wanasoma mashairi yake, tenzi zake, insha zake, barua zake, na riwaya zake?
Ni wangapi wamesoma vitabu vyake vingine, kama vile Wasifu wa Siti Binti Saad, Maisha Yangu na Baada ya Miaka Hamsini, na tafsiri yake ya mashairi ya Omar Khayyam? Kama hatuna...
10 years ago
GPL
11 years ago
Tanzania Daima28 Aug
Benki yatoa vitabu vya mil.1.4/-
BENKI ya Afrika, Tawi la Mtwara imetoa msaada wa vitabu 118 vyenye thamani ya sh. milioni 1.4 kwa Shule ya Sekondari ya Bandari ya mkoani hapa. Akizungumza mara baada ya...