Vitabu vya Shaaban Robert
Na Profesa Mbele
Jina la Shaaban Robert ni maarufu miongoni mwa wa-Tanzania na wengine wa nchi zingine wanaokijua ki-Swahili. Lakini, tujiulize ni wa-Tanzania wepi ambao wamesoma angalau vitabu vichache vya Shaaban Robert.
Ni wangapi wamesoma au wanasoma mashairi yake, tenzi zake, insha zake, barua zake, na riwaya zake?
Ni wangapi wamesoma vitabu vyake vingine, kama vile Wasifu wa Siti Binti Saad, Maisha Yangu na Baada ya Miaka Hamsini, na tafsiri yake ya mashairi ya Omar Khayyam? Kama hatuna...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi04 Sep
Sheikh Shaaban Robert
9 years ago
Mwananchi06 Oct
Mjue Shaaban Robert
10 years ago
Mwananchi30 Jun
Shaaban Robert ni dira na kurunzi katika Kiswahili
10 years ago
TheCitizen07 Jan
COVER: Shaaban Robert: Father of Kiswahili literature
11 years ago
Mwananchi05 Jan
SHAABAN ROBERT; Bingwa wa lugha na elimu- atuzwa London
11 years ago
TheCitizen25 May
‘Killing’ Shaaban Robert books: Big social crime
10 years ago
MichuziMTUNZI MKONGWE WA VITABU ZANZIBAR AZINDUA VITABU VITATU VYA HADITHI ZA KALE
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA WIZARA YA UCHUKUZI, DKT. SHAABAN MWINJAKA AZUNGUMZA NA UONGOZI WA MAMLAKA YA VIWANJA VYA NDEGE TANZANIA (TAA)
10 years ago
Tanzania Daima28 Aug
Benki yatoa vitabu vya mil.1.4/-
BENKI ya Afrika, Tawi la Mtwara imetoa msaada wa vitabu 118 vyenye thamani ya sh. milioni 1.4 kwa Shule ya Sekondari ya Bandari ya mkoani hapa. Akizungumza mara baada ya...