Mjue Shaaban Robert
Shaaban ni maarufu, kwa wanalugha nchini, Alikuwa ni mrefu, mwembamba wa wastani, Na leo tunamsifu mchango wake Shaabani Mungu amlaze pema, mahali pema peponi. Â
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi04 Sep
Sheikh Shaaban Robert
Bila shaka Mtanzania yeyote ambaye amesoma shule ameshawahi kusikia jina la Sheikh Shaaban Robert. Hii ni kwa sababu amefahamika sana kutokana na vitabu alivyoandika ambavyo vimekubaliwa na Wizara ya Elimu katika wakati tofauti kuwa ni vitabu vya kiada kwa somo la Kiswahili katika shule.
10 years ago
MichuziVitabu vya Shaaban Robert
![](http://2.bp.blogspot.com/-S7UOasxh6Aw/VVKJS8kZ3jI/AAAAAAAAKec/bP3BzCARC6s/s200/Shaaban-Robert1.jpg)
Na Profesa Mbele
Jina la Shaaban Robert ni maarufu miongoni mwa wa-Tanzania na wengine wa nchi zingine wanaokijua ki-Swahili. Lakini, tujiulize ni wa-Tanzania wepi ambao wamesoma angalau vitabu vichache vya Shaaban Robert.
Ni wangapi wamesoma au wanasoma mashairi yake, tenzi zake, insha zake, barua zake, na riwaya zake?
Ni wangapi wamesoma vitabu vyake vingine, kama vile Wasifu wa Siti Binti Saad, Maisha Yangu na Baada ya Miaka Hamsini, na tafsiri yake ya mashairi ya Omar Khayyam? Kama hatuna...
10 years ago
TheCitizen07 Jan
COVER: Shaaban Robert: Father of Kiswahili literature
>Generations of students studied his epic novel Kusadikika, an allegorical work of an imaginary state in which injustices are perpetrated against all notions of justice, law and humanity.
10 years ago
Mwananchi30 Jun
Shaaban Robert ni dira na kurunzi katika Kiswahili
Shaaban Robert kamwe hatasahaulika katika kumbukumbu za wapenzi wa Kiswahili. Jina la gwiji huyu linapotajwa na kugonga masikioni mwa wakereketwa wa Kiswahili, hisia za aina yake huibuka.
11 years ago
TheCitizen25 May
‘Killing’ Shaaban Robert books: Big social crime
If Egypt’s great pyramid of Giza is one of the wonders of the world, the withdrawal of classics by Shabaan Robert like ‘Kusadikika’ and ‘Adili na Nduguze’ from the Kiswahili syllabi, is one of Tanzania’s most scandalous decisions.
11 years ago
Mwananchi05 Jan
SHAABAN ROBERT; Bingwa wa lugha na elimu- atuzwa London
Tanzania na Afrika zina mashujaa wengi. Baadhi yao hawatajulikana kwa sababu habari zao hazikutangazwa. Walitenda mema wakaondoka zao. Wengine tunao humu mitaani na vijijini, wanafanya mazuri kimya kimya.
10 years ago
Mtanzania15 Jun
Sheikh Issa Shaaban Simba afariki dunia
Habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba Mufti Mkuu wa Tanzania, Sheikh Issa Shaaban Simba amefariki asubuhi ya leo.
Kwa taarifa zaidi juu ya kifo chake tutaendelea kuwajulisha, Innalilah wainailah Rajiun.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2Tkrz8bmcYgoP7gnssiepc08zh32IAGuyk3q5A7y5MKMe9YikoxJ1-s8mJ1dW*YaIOez8Py0Vov*Goh5xwAMOsmJrRoQtQYu/kakobe.jpg?width=650)
MJUE HUYU KAKOBE -2
Na Elvan Stambuli TUNAENDELEA KUWALETEA MFULULIZO WA MAZUNGUMZO KATI YA ASKOFU KAKOBE NA MWANDISHI WETU kuhusu alipotokewa na yesu, mambo yalikuwaje? Hii ndio nyumba ya Askofu Kakobe aliyoanzishia kanisa. MJADALA NA MKEWE
Askofu Kakobe: Baada ya hapo nilijadiliana na mke wangu Hellen, nilimwambia nitashindwa kuhubiri au kuwa mchungaji. Sina maono kabisa ya kuanzisha shughuli ya kiroho, lengo langu… ...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KkxqEnBJGWAWGNVGY8fvAgJn8TiYOD06HuX8hZwQVdOyjv7AOF24fZ6-KrtDI1*LwBQk6lEZ-6x5YEzZPkJ43UwV2DmdLnkm/MrishoMpoto.jpg?width=650)
MJUE MRISHO MPOTO -2
ATUA DAR, AOKOTA KUNI, VIFUU NA KUVIUZA MPENZI msomaji wiki iliyopita katika simulizi hii ya Mrisho Mpoto tuliishia pale upande wa baba yake alipomwambia mkewe ampeleke mtoto porini hadi atakapofariki dunia kisha arudi kwa sababu tu alizaliwa akiwa na alama ya ajabu shingoni. Songa nayo mwenyewe... “Kwa kuwa baada ya mama kunizaa alisema hatazaa tena, kitendo cha kuambiwa anipeleke porini nikafie huko nifukiwe kilimfanya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania