‘Killing’ Shaaban Robert books: Big social crime
If Egypt’s great pyramid of Giza is one of the wonders of the world, the withdrawal of classics by Shabaan Robert like ‘Kusadikika’ and ‘Adili na Nduguze’ from the Kiswahili syllabi, is one of Tanzania’s most scandalous decisions.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi04 Sep
Sheikh Shaaban Robert
Bila shaka Mtanzania yeyote ambaye amesoma shule ameshawahi kusikia jina la Sheikh Shaaban Robert. Hii ni kwa sababu amefahamika sana kutokana na vitabu alivyoandika ambavyo vimekubaliwa na Wizara ya Elimu katika wakati tofauti kuwa ni vitabu vya kiada kwa somo la Kiswahili katika shule.
9 years ago
Mwananchi06 Oct
Mjue Shaaban Robert
Shaaban ni maarufu, kwa wanalugha nchini,
Alikuwa ni mrefu, mwembamba wa wastani,
Na leo tunamsifu mchango wake Shaabani
Mungu amlaze pema, mahali pema peponi.
Â
10 years ago
MichuziVitabu vya Shaaban Robert
![](http://2.bp.blogspot.com/-S7UOasxh6Aw/VVKJS8kZ3jI/AAAAAAAAKec/bP3BzCARC6s/s200/Shaaban-Robert1.jpg)
Na Profesa Mbele
Jina la Shaaban Robert ni maarufu miongoni mwa wa-Tanzania na wengine wa nchi zingine wanaokijua ki-Swahili. Lakini, tujiulize ni wa-Tanzania wepi ambao wamesoma angalau vitabu vichache vya Shaaban Robert.
Ni wangapi wamesoma au wanasoma mashairi yake, tenzi zake, insha zake, barua zake, na riwaya zake?
Ni wangapi wamesoma vitabu vyake vingine, kama vile Wasifu wa Siti Binti Saad, Maisha Yangu na Baada ya Miaka Hamsini, na tafsiri yake ya mashairi ya Omar Khayyam? Kama hatuna...
10 years ago
Mwananchi30 Jun
Shaaban Robert ni dira na kurunzi katika Kiswahili
Shaaban Robert kamwe hatasahaulika katika kumbukumbu za wapenzi wa Kiswahili. Jina la gwiji huyu linapotajwa na kugonga masikioni mwa wakereketwa wa Kiswahili, hisia za aina yake huibuka.
10 years ago
TheCitizen07 Jan
COVER: Shaaban Robert: Father of Kiswahili literature
>Generations of students studied his epic novel Kusadikika, an allegorical work of an imaginary state in which injustices are perpetrated against all notions of justice, law and humanity.
11 years ago
Mwananchi05 Jan
SHAABAN ROBERT; Bingwa wa lugha na elimu- atuzwa London
Tanzania na Afrika zina mashujaa wengi. Baadhi yao hawatajulikana kwa sababu habari zao hazikutangazwa. Walitenda mema wakaondoka zao. Wengine tunao humu mitaani na vijijini, wanafanya mazuri kimya kimya.
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/74254000/jpg/_74254420_mansourboushnaf3(2).jpg)
AUDIO: 'Killing books' in Libya
Libyan author Mansour Bushnaf says Libya does not have much of reading culture because under Col Muammar Gaddafi, people were afraid of books.
9 years ago
BBC17 Nov
10 years ago
GlobeNewswire (Press Release)12 Mar
Sir Emeka Offor Foundation and Books For Africa (BFA) to Donate 20000 Books ...
GlobeNewswire (press release)
ABUJA, Nigeria, March 12, 2015 (GLOBE NEWSWIRE) -- The Sir Emeka Offor Foundation, a non-governmental, philanthropic organization focused on youth employment, widows cooperative, education, healthcare and infrastructural development, is set to ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania