SHAABAN ROBERT; Bingwa wa lugha na elimu- atuzwa London
Tanzania na Afrika zina mashujaa wengi. Baadhi yao hawatajulikana kwa sababu habari zao hazikutangazwa. Walitenda mema wakaondoka zao. Wengine tunao humu mitaani na vijijini, wanafanya mazuri kimya kimya.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi04 Sep
Sheikh Shaaban Robert
9 years ago
Mwananchi06 Oct
Mjue Shaaban Robert
10 years ago
MichuziVitabu vya Shaaban Robert
![](http://2.bp.blogspot.com/-S7UOasxh6Aw/VVKJS8kZ3jI/AAAAAAAAKec/bP3BzCARC6s/s200/Shaaban-Robert1.jpg)
Na Profesa Mbele
Jina la Shaaban Robert ni maarufu miongoni mwa wa-Tanzania na wengine wa nchi zingine wanaokijua ki-Swahili. Lakini, tujiulize ni wa-Tanzania wepi ambao wamesoma angalau vitabu vichache vya Shaaban Robert.
Ni wangapi wamesoma au wanasoma mashairi yake, tenzi zake, insha zake, barua zake, na riwaya zake?
Ni wangapi wamesoma vitabu vyake vingine, kama vile Wasifu wa Siti Binti Saad, Maisha Yangu na Baada ya Miaka Hamsini, na tafsiri yake ya mashairi ya Omar Khayyam? Kama hatuna...
10 years ago
TheCitizen07 Jan
COVER: Shaaban Robert: Father of Kiswahili literature
10 years ago
Mwananchi30 Jun
Shaaban Robert ni dira na kurunzi katika Kiswahili
11 years ago
TheCitizen25 May
‘Killing’ Shaaban Robert books: Big social crime
10 years ago
Mwananchi06 Jun
Kuthamini lugha lugha ya Kiswahili
10 years ago
Habarileo27 Sep
Dk Shein atuzwa shahada ya heshima
RAIS wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein juzi alikabidhiwa rasmi shahada ya heshima ya Chuo cha Wataalamu wa Patholojia cha nchi za Mashariki, Kati na Kusini mwa Afrika (COPECSA).
10 years ago
Habarileo01 Jun
Membe ashukuru taasisi za dini, atuzwa
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe amezishukuru taasisi za dini nchini kwa malezi bora ya vijana na jamii, akisema taasisi hizo zimetoa mchango mkubwa katika kudumisha umoja, amani na utulivu nchini.