Dk Shein atuzwa shahada ya heshima
RAIS wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein juzi alikabidhiwa rasmi shahada ya heshima ya Chuo cha Wataalamu wa Patholojia cha nchi za Mashariki, Kati na Kusini mwa Afrika (COPECSA).
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili12 May
Kanye atunukiwa shahada ya heshima Chicago
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ltz8IQUQkiJafdJVtfrJjhaADvOVmcny5RCzctqWbl3qiz-EmYhZPBLGcoHdLJs0evp9*U3JReEb8qqKQcLbbqw8kx1MmCNn/kanyeshahada.jpg)
KANYE WEST ATUNUKIWA SHAHADA YA UDAKTARI WA HESHIMA
9 years ago
StarTV20 Aug
Rais Kikwete akabidhiwa shahada ya kwanza ya heshima ya uwajibikaji
Chuo cha Sayansi na Teknolojia cha Nelson Mandela kimemkabidhi Rais Jakaya Mrisho Kikwete shahada ya kwanza ya heshima aliyotunukiwa na chuo hicho disemba 18 mwaka jana, kutokana na juhudi yake ya kuchochea maendeleo ya sayansi na teknolojia nchini.
Shahada hiyo ni sehemu ya chuo hicho katika kuonyesha heshima na uthamini wa juhudi za rais Kikwete kwenye tasnia ya teknolojia, ambayo kwa mujibu wa Rais mwenyewe, nchi haiwezi kuendelea bila kuwa na maendeleo ya teknolojia.
Rais Kikwete...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9lZvB0jN1jc/XlFNROCmfNI/AAAAAAACBek/lZ2IzxIYHhEbazR2FR8njROqg-mPk6riwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200222-WA0064.jpg)
MJUMBE WA YANGA APATA SHAHADA YA UZAMIVU (PHD) YA HESHIMA
Mjumbe wa Kudumu wa Klabu ya Yanga Thobias Lingalangala ametunukiwa shahada ya uzamivu (PHD) na shirika la lead Impact la nchini Marekani.
Lingalangala amepatiwa shahada hiyo baada ya kujitoa na kuwasaidia jamii katika masuala mbalimbali ikiwemo kujenga mradi mkubwa wa maji unaohudumia wakazi wa Njombe.
Akizungumza baada ya kutunukiwa Shahada hiyo, Lingalangala amesema kuwa hakujua kama anaweza akapata shahada kutokana na kazi mbalimbali za kijamii...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OsG-NixX39eHqbAOnjvhStNtm2tKe-BEKZXna*beOTnlfw13CJv-xjmYb-KrAXdk1wco-sRsrOs8MC*hp*u4T19n7MY-RfMD/P.DIDDY1.jpg)
P. DIDDY ATUNUKIWA SHAHADA YA HESHIMA CHUO KIKUU CHA HOWARD
5 years ago
Michuzi'LEADIMPACT UNIVERSITY' YAWATUNUKU SHAHADA YA HESHIMA WATANZANIA, YUMO DC MJEMA
Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Dk. Sophia Mjema akizungumza na...
10 years ago
Dewji Blog29 Jul
Rais Kikwete atunukiwa shahada ya heshima ya Chuo Kikuu cha Newcastle, Australia
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akishukuru baada ya kutunukiwa shahada ya heshima ya udaktari wa Sheria (Doctor of Laws honorific causa) na Mkuu wa Chuo Kikuu cha Newcastle Bwana Paul Jeans chuoni hapo nchini Australia leo tarehe 29.7.2015 katika ukumbi...
11 years ago
MichuziASKOFU SIXBERT PAUL WA KANISA LA VICTORIOUS KUTUNUKIA SHAHADA LA UDAKTARI YA HUDUMA JUMAPILI HII; ROSE MUHANDO NAYE KUPATA CHETI CHA HESHIMA CHA UIMBAJI
Na Mwandishi wetu, Moshi
CHUO kikuu cha Africa, African Graduate University, Chenye makao yake nchini, Sierra Leone kinatarajia kumtunuku shahada ya udaktari ya huduma,...