Kanye atunukiwa shahada ya heshima Chicago
Kanye West ametunukiwa shahada ya heshima na taasisi ya Sanaa ya chuo kikuu cha Chicago.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ltz8IQUQkiJafdJVtfrJjhaADvOVmcny5RCzctqWbl3qiz-EmYhZPBLGcoHdLJs0evp9*U3JReEb8qqKQcLbbqw8kx1MmCNn/kanyeshahada.jpg)
KANYE WEST ATUNUKIWA SHAHADA YA UDAKTARI WA HESHIMA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OsG-NixX39eHqbAOnjvhStNtm2tKe-BEKZXna*beOTnlfw13CJv-xjmYb-KrAXdk1wco-sRsrOs8MC*hp*u4T19n7MY-RfMD/P.DIDDY1.jpg)
P. DIDDY ATUNUKIWA SHAHADA YA HESHIMA CHUO KIKUU CHA HOWARD
10 years ago
Dewji Blog29 Jul
Rais Kikwete atunukiwa shahada ya heshima ya Chuo Kikuu cha Newcastle, Australia
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akishukuru baada ya kutunukiwa shahada ya heshima ya udaktari wa Sheria (Doctor of Laws honorific causa) na Mkuu wa Chuo Kikuu cha Newcastle Bwana Paul Jeans chuoni hapo nchini Australia leo tarehe 29.7.2015 katika ukumbi...
10 years ago
Habarileo25 Jan
Mzee wa miaka 74 atunukiwa shahada ya sheria
MKE wa Waziri Mkuu Mama Tunu Pinda jana alitunukiwa Shahada ya Uzamili ya Usimamizi wa Miradi wakati wa mahafali ya 27 ya Chuo Kikuu huria cha Tanzania yaliyofanyika katika Viwanja vya Nyerere Square Mjini hapa.
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2013/12/IMG-20131221-WA000.jpg?width=600)
MARGARETH SIMALENGA ATUNUKIWA SHAHADA YAKE CHUO KIKUU CHA MZUMBE
10 years ago
Habarileo27 Sep
Dk Shein atuzwa shahada ya heshima
RAIS wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein juzi alikabidhiwa rasmi shahada ya heshima ya Chuo cha Wataalamu wa Patholojia cha nchi za Mashariki, Kati na Kusini mwa Afrika (COPECSA).
9 years ago
Bongo504 Jan
Picha: AY atunukiwa tuzo ya heshima nchini Kenya
![CX4j_3nUQAACQir](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/CX4j_3nUQAACQir-300x194.jpg)
Mchango wa AY kwenye muziki wa Afrika Mashariki ni mkubwa ndio maana Kenya imeamua kumtunza tuzo ya heshima.
AY akiwa na Fundi Frank baada ya kupewa tuzo ya heshima
Kipindi cha Mseto cha Citizen TV/Radio Citizen kimempa rapper huyo tuzo ya Lifetime Achievement Award kwenye show ya ya Chomoka Night East Africa iliyofanyika Lodwar, Turkana County.
Mtangazaji wa kipindi cha Mseto, Willy M Tuva akimkabidhi AY tuzo hiyo mbele ya mashabiki
Big Dreams,Good Music & Expensive Taste #Lodwar #Turkana...
9 years ago
Dewji Blog19 Dec
Sabina Leonce Komba atunukiwa Shahada yake ya pili katika Uongozi wa Miradi Chuo Kikuu Huria
Sabina Leonce Komba ambaye ni mtumishi wa Mfuko wa Bima ya Afya ya Taifa (NHIF) akipozi kwa picha mara baada ya kutunukiwa Shahada yake ya pili (Masters) ya Uongozi wa Miradi aliyoipata Katika Chuo Kikuu Huria cha Tanzania kwenye mahafali ya 27 ya chuo hicho yaliyofanyika Desemba 16 mwaka huu katika viwanja vya Bungo Kibaha mkoani Pwani.
Sabina Leonce Komba ambaye ni mtumishi wa Mfuko wa Bima ya Afya ya Taifa NHIF akipozi kwa picha na wenzake katika mahafali hayo.
Sabina Leonce Komba...