Picha: AY atunukiwa tuzo ya heshima nchini Kenya
Mchango wa AY kwenye muziki wa Afrika Mashariki ni mkubwa ndio maana Kenya imeamua kumtunza tuzo ya heshima.
AY akiwa na Fundi Frank baada ya kupewa tuzo ya heshima
Kipindi cha Mseto cha Citizen TV/Radio Citizen kimempa rapper huyo tuzo ya Lifetime Achievement Award kwenye show ya ya Chomoka Night East Africa iliyofanyika Lodwar, Turkana County.
Mtangazaji wa kipindi cha Mseto, Willy M Tuva akimkabidhi AY tuzo hiyo mbele ya mashabiki
Big Dreams,Good Music & Expensive Taste #Lodwar #Turkana...
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-hSHVlrIwNLM/VRbgQs3ydgI/AAAAAAAHN5o/O8AJPefRrLo/s72-c/_MG_6315.jpg)
RAIS WA ZIMBABWE ROBERTY MUGABE AFUNGUA KONGAMANO LA VIJANA AFRIKA NA CHINA,RAIS KIKWETE ATUNUKIWA TUZO YA HESHIMA .
![](http://4.bp.blogspot.com/-hSHVlrIwNLM/VRbgQs3ydgI/AAAAAAAHN5o/O8AJPefRrLo/s1600/_MG_6315.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-w_qQH8e8P1E/VRbgPh0cAvI/AAAAAAAHN5g/1Zv8BQkIGFc/s1600/_MG_6291.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-BjbF-KM_Q-4/VRbVSuxesGI/AAAAAAAC2eM/l86bvXxpXAk/s1600/_MG_6213.jpg)
10 years ago
BBCSwahili12 May
Kanye atunukiwa shahada ya heshima Chicago
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ltz8IQUQkiJafdJVtfrJjhaADvOVmcny5RCzctqWbl3qiz-EmYhZPBLGcoHdLJs0evp9*U3JReEb8qqKQcLbbqw8kx1MmCNn/kanyeshahada.jpg)
KANYE WEST ATUNUKIWA SHAHADA YA UDAKTARI WA HESHIMA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OsG-NixX39eHqbAOnjvhStNtm2tKe-BEKZXna*beOTnlfw13CJv-xjmYb-KrAXdk1wco-sRsrOs8MC*hp*u4T19n7MY-RfMD/P.DIDDY1.jpg)
P. DIDDY ATUNUKIWA SHAHADA YA HESHIMA CHUO KIKUU CHA HOWARD
10 years ago
Dewji Blog29 Jul
Rais Kikwete atunukiwa shahada ya heshima ya Chuo Kikuu cha Newcastle, Australia
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akishukuru baada ya kutunukiwa shahada ya heshima ya udaktari wa Sheria (Doctor of Laws honorific causa) na Mkuu wa Chuo Kikuu cha Newcastle Bwana Paul Jeans chuoni hapo nchini Australia leo tarehe 29.7.2015 katika ukumbi...
10 years ago
Dewji Blog06 Jul
Askofu wa kanisa la FPCT Singida mjini Paulo Samwel Njoghomi, atunukiwa nishani ya heshima ya udaktari
Maandamano ya sherehe ya kutunukiwa nishani ya heshima ya udaktari Askofu Paulo Samwel Njoghomi (mwenye miwani) wa kanisa la Pentekoste (FPCT) Singida mjini. Nishani hiyo imetolewa na Chuo kikuu cha Africa Graduate cha nchini Sierra Leone.
![DSC07112](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/DSC07112.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6Ysr6DL3jO4/VmJ6pFk4dgI/AAAAAAAIKQ4/1WBqMx_XT0E/s72-c/39b5ceaa-6dcd-4c0d-8eb2-ee91b75e5c83.jpg)
Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete atunukiwa Heshima ya Companion Award na Commonwealth Partnership for Technological Management (CPTM)
10 years ago
Habarileo30 Dec
DC atunukiwa tuzo ya uongozi
VIONGOZI wa madhehebu ya dini ya Kikristo na Kiislamu mkoani Mbeya wamemtunuku Tuzo ya uongozi bora Mkuu wa wilaya ya Mbeya, Dk Norman Sigalla.