Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ASKOFU SIXBERT PAUL WA KANISA LA VICTORIOUS KUTUNUKIA SHAHADA LA UDAKTARI YA HUDUMA JUMAPILI HII; ROSE MUHANDO NAYE KUPATA CHETI CHA HESHIMA CHA UIMBAJI


Askofu Sixbert Paul wa kanisa la Victorious la mjini Moshi akizungumza na wandishi wa habari kuhusiana na hafla ya kutunukiwa shahada la udaktari ya huduma Askofu Sixbert Paul wa kanisa la Victorious la mjini Moshi akizungumza na wandishi wa habari kuhusiana na hafla ya kutunukiwa shahada la udaktari ya huduma

Na Mwandishi wetu, Moshi
CHUO kikuu cha Africa, African Graduate University, Chenye makao yake nchini, Sierra Leone kinatarajia kumtunuku shahada ya udaktari ya huduma,...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Askofu Sixbert Paul wa Kanisa la Victorious kutunukia Shahada ya Udaktari ya Huduma Jumapili hii

askofu 1

Askofu Sixbert Paul wa kanisa la Victorious la mjini Moshi akizungumza na wandishi wa habari kuhusiana na hafla ya kutunukiwa shahada la udaktari ya huduma.

askofu 2

Waandishi wa habari wakimsikiliza kwa makini, Askofu Sixbert Paul wa kanisa la Victorious la mjini Moshi akizungumza na wandishi wa habari kuhusiana na hafla ya kutunukiwa shahada la udaktari ya huduma litakalofanyika Jumapili hii.

askofu 3

Askofu Sixbert Paul wa kanisa la Victorious la mjini Moshi akizungumza na wandishi wa habari kuhusiana...

 

9 years ago

Michuzi

Askofu Dk. Charles Gadi atawazwa Askofu Mkuu wa Kanisa la Habari Njema kwa Wote Tanzania, atunukiwa shahada mbili za udaktari Bagamoyo

 Maaskofu kutoka nchi mbalimbali wakiwasili katika viwanja vya Kanisa la Habari Njema kwa Wote, lililopo mpakani mwa Dar es Salaam na Bagamoyo, ambako kulifanyika sherehe za kumtawaza na kumtunuku shahada mbili za udaktari Askofu Dk. Charles Gadi Jumapili

Moja ya kikundi cha kwaya ambazo zilitumbuiza katika hafla hiyo.


 Askofu Gadi akisimikwa na Maaskofu mbalimbali kutoka nje na nchini Jumapili

 Askofu Gadi akivikwa kofia kuashiria kutawazwa kuwa Askofu Mkuu wa Kanisa la Habari Njema kwa Wote...

 

10 years ago

Dewji Blog

Askofu wa kanisa la FPCT Singida mjini Paulo Samwel Njoghomi, atunukiwa nishani ya heshima ya udaktari

DSC07093

Maandamano ya sherehe ya  kutunukiwa nishani ya heshima ya udaktari Askofu Paulo Samwel Njoghomi (mwenye miwani) wa kanisa la Pentekoste (FPCT) Singida mjini. Nishani hiyo imetolewa na Chuo kikuu cha Africa Graduate cha nchini Sierra Leone.

DSC07133

Mkuu wa chuo kikuu cha Africa Graduate Timoth Kazembe, akimtunuku nishani ya heshima Askofu wa kanisa la Pentekoste (FPCT) Paulo Samwel Njoghomi Hafla hiyo ilifanyika katika kanisa la FPCT mjini hapa. DSC07112 Makamu Mkuu wa chuo kikuu cha Africa Graduate...

 

10 years ago

GPL

KANYE WEST ATUNUKIWA SHAHADA YA UDAKTARI WA HESHIMA

RAPPA Kanye West wa nchini Marekani jana ametunukiwa Shahada ya Udaktari wa Heshima kutoka Taasisi ya Sanaa ya Chicago nchini Marekani. Kanye akitoa hotuba yake katika taasisi hiyo. Kanye West aliyeacha chuo akiwa na umri wa miaka 20 na kuamua kuingia kwenye muziki kisha kutoa albamu yake ya kwanza iliyokwenda kwa jina la 'The College Dropout' kwa sasa atakuwa akiitwa Dk. West. Kanye hakuweza kuficha furaha yake kwa kuachia...

 

10 years ago

Michuzi

Rais Kikwete akabidhiwa Joho na Cheti cha Shahada ya Doctor of Laws

Makamu Mkuu wa Chuo kikuu cha Dar es Salaam Profesa Rwekaza Mukandala akimkabidhi Rais Dkt .Jakaya Mrisho Kikwete cheti cha Shahada ya Heshima ya Doctor of Laws(Honoris Causa) wakati wa hafla fupi ya kumkabidhi Rais joho na cheti iliyofanyika ikulu jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na maprofesa waandamizi wa chuo hicho.Tayari Rais Kikwete alishatunukiwa shahada hiyo katika mahafali ya 41 ya UDSM yaliyofanyika Octoba mwaka 2011. Profesa Agnes Mwakaje wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam akimvika...

 

11 years ago

GPL

P. DIDDY ATUNUKIWA SHAHADA YA HESHIMA CHUO KIKUU CHA HOWARD

Ni furaha tupu siku P. Diddy alipotunukiwa shahada ya heshima katika Chuo Kikuu cha Howard jana jijini Washington DC. Diddy akiwa katika furaha kubwa mbele ya jumuia ya chuo hicho.   Diddy…

 

10 years ago

Dewji Blog

Rais Kikwete atunukiwa shahada ya heshima ya Chuo Kikuu cha Newcastle, Australia

n9

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitunukiwa shahada ya heshima ya udaktari wa Sheria (Doctor of Laws honorific causa) na Mkuu wa Chuo Kikuu cha Newcastle Bwana Paul Jeans Chuoni hapo nchini Australia leo tarehe 29.7.2015 katika ukumbi wa chuo hicho.

n10

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akishukuru baada ya kutunukiwa shahada ya heshima ya udaktari wa Sheria (Doctor of Laws honorific causa) na Mkuu wa Chuo Kikuu cha Newcastle Bwana Paul Jeans chuoni hapo nchini Australia leo tarehe 29.7.2015 katika ukumbi...

 

10 years ago

Bongo Movies

Hii Ndio Sababu Kipindi cha TV cha Rose Ndauka Kuota Mbawa

Staa wa Bongo Movies, Rose Ndauka ambaye miaka miwili iliyopita alianzisha kipindi chake cha TV kilichopewa jina la ‘Family Talk Show’. Kupitia kampuni yake, muigizaji huyo alianza kurekodi episodes kadhaa za show hiyo ili zianze kuruka kwenye TV.

Hata hivyo kipindi hicho hakijawahi kuonekana na ni kama kiliishia hewani. “Kipindi changu.. niliibiwa vitu vyote ofisini lakini ndoto yangu ya utangazaji iko pale pale,”  Hivi majuzi Rose aliiambia Kabali ya EFM.

Mwanzoni mwa mwaka 2013, Rose...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani