Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MJUE MRISHO MPOTO -2

ATUA DAR, AOKOTA KUNI, VIFUU NA KUVIUZA MPENZI msomaji wiki iliyopita katika simulizi hii ya Mrisho Mpoto tuliishia pale upande wa baba yake alipomwambia mkewe ampeleke mtoto porini hadi atakapofariki dunia kisha arudi kwa sababu tu alizaliwa akiwa na alama ya ajabu shingoni. Songa nayo mwenyewe... “Kwa kuwa baada ya mama kunizaa alisema hatazaa tena, kitendo cha kuambiwa anipeleke porini nikafie huko nifukiwe kilimfanya...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

MJUE MRISHO MPOTO: AANZA KAZI YA UKULI, ALIPWA 1,200

MPENZI msomaji wiki iliyopita katika simulizi hii ya Mrisho Mpoto tuliishia pale Mrisho alipomaliza darasa la saba mwaka 1994 ambapo kaka yake aitwaye Mashaka alikuwa ameoa Kigoma ikabidi amchukue na kumtafutia kazi. Songa nayo mwenyewe... “Kaka yangu Mashaka alikuwa askari na baba mkwe wake alikuwa mtu mkubwa pale Bandari ya Army. Kwa hiyo nikaenda kwa wakwe zake, Kigoma mjini sehemu moja inaitwa Gungu. Nikapewa kazi ya...

 

10 years ago

Bongo5

New Music: Mrisho Mpoto ft. Felly Kano — Njoo Uchukue

Huu mi wimbo mpya kutoka kwa Mrisho Mpoto akimshirikisha Felly Kano wimbo unaitwa “Njoo Uchukue”

 

9 years ago

GPL

MRISHO MPOTO, WAZUNGU WAMPIGIA SALUTI, WAMPELEKA MAREKANI -6

MPENZI msomaji wiki iliyopita katika simulizi hii ya Mrisho Mpoto tuliishia pale Mrisho alipokuwa akijiingizia kipato cha shilingi 3,000 kwa kusimulia hadithi kwa siku kutoka 1,200 za kibarua ambapo sasa Wazungu kutoka Dar walimtumia nauli arudi. Tambaa nayo mwenyewe... “Ikabidi nikubaliane na wale Wazungu, nikatoka Kigoma na kurejea Dar, nakumbuka ilikuwa mwaka 1998 ambapo makazi yangu yalikuwa hayatabiriki kwani siku...

 

11 years ago

Michuzi

Kabaka atembelea sabasaba, Mrisho Mpoto ajiunga PSPF

 Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Adam Mayingu, akimpa maelezo, Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudentia Kabaka, wakati alipotembelea banda la Mfuko huo kwenye maonyesho ya 38 ya biashara ya kimataifa ya Dar es Salaam Jumatatu Julai 7, 2014.  Msanii maarufu nchini, Mrisho Mpoto, (Katikati), akionyesha kadi mpya ya uanachama wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, baada ya kukabidhiwa na Mkurugenzi Mkuuwa Mfuko huo, Sdam Mayingu, (R), kwenye maqonyesho ya 38 ya biashara ya kimataifa ya Dar es...

 

9 years ago

GPL

SIMULIZI YA MRISHO MPOTO: AANZISHA KAMPUNI, APELEKWA MAHAKAMANI

MPENZI msomaji wa simulizi hii tamu ya Mrisho Mpoto, wiki iliyopita tuliishia pale Mrisho alipoamua kuanzisha Kipindi cha Bongo Dar es Salaam na kufanikiwa kumuweka Dude lakini Dude huyohuyo akalewa sifa na kutaka kumgeuka ambapo alienda Televisheni ya Taifa (TBC) na kudai apewe mkataba mpya bila Mrisho kujua. Alikataliwa, je unajua kilichoendelea?Songa nayo sasa... “TBC wakaendelea kumgomea Dude kwamba hawawezi kuukatisha...

 

11 years ago

Michuzi

MRISHO MPOTO AZIDI KUPASUA ANGA NA MJOMBA BAND

 Baada ya "kutoka" kwa wimbo na mashairi ya 'Mjomba' msanii malenga Mrisho Mpoto ameendelea kupata mafanikio siku hadi siku kwa kuweza sasa kumiliki bandi yake aliyoipa jina la Mjomba Band, akiajiri vijana zaidi ya 10 na kuendeleza libeneke kwa nguvu zake zote. Aghalabu Mpoto na bendi yake utakuta wamealikwa katika shughuli mbalimbali za kitaifa na kimataifa ili kutoa burudani. Hakika yeye ni mfano wa kuigwa. pichani  Mpoto akiwa na bendi yake jukwaani.  Mrisho Mpoto akighani mashairi...

 

10 years ago

Bongo5

Mrisho Mpoto awapa ushauri wasanii wanaotegemea show

Msanii wa muziki wa asili nchini, Mrisho Mpoto amewataka wasanii wenzie kuacha kutegemea show pekee na kujitengenezea njia nyingine za kujipatia kipato. Mrisho Mpoto akikamata fursa kwa Waziri Pinda. Akizungumza na Bongo5 jana, Mpoto amesema kuwa wasanii wanaHitaji kutafuta elimu ya jinsi ya kutumia brand zao. “Wasanii wanahitaji kutafuta wasomi ili wajue jinsi ya kutumia […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani