Butiku amwomba JK alisitishe Bunge
 Mjumbe wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Joseph Butiku amemwomba Rais Jakaya Kikwete kusitisha Bunge la Katiba ndani ya mwezi mmoja ili kupisha maridhiano kufanyika baina ya pande mbili zinazovutana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima20 Aug
Butiku: Kinachofanyika Bunge la Katiba ni utoto
MKURUGENZI Mtendaji wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku, amesema kitendo kinachoendelea sasa hivi katika Bunge la Katiba ni cha kitoto kutokana na ukweli kwamba katiba haiwezi kupatikana kwa kupitishwa...
11 years ago
Mwananchi17 Feb
Ajeruhiwa kisa amwomba mumewe fedha ya dawa
10 years ago
Mtanzania02 Sep
Mrema amwomba Kikwete amfukuze Mbatia ubunge
![Augustine Mrema](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Augustine-Mrema.jpg)
Mbunge wa Vunjo (TLP), Augustine Mrema
NA MAREGESI PAUL, DODOMA
MBUNGE wa Vunjo, Augustine Mrema (TLP), amemwomba Rais Jakaya Kikwete amnyang’anye ubunge Mbunge wa Kuteuliwa, James Mbatia.
Mrema alitoa ombi hilo juzi mjini hapa, alipokuwa akizungumza katika kikao kilichowakutanisha wanachama wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) na Rais Kikwete kwa ajili ya kutafuta mwafaka wa Bunge Maalumu la Katiba.
Chanzo chetu cha habari kilichokuwa katika kikao hicho kilichofanyika Ikulu ndogo eneo la...
10 years ago
Bongo516 Oct
Snoop Dogg amwomba msamaha Iggy Azalea baada ya kushauriwa na T.I
11 years ago
MichuziMbunge wa Sumbawanga Mjini,Aeshi Hilaly amwomba radhi Dr. Chrisant Mzindakaya
10 years ago
Mtanzania15 Oct
Butiku kuishtaki CCM
NA WAANDISHI WETU
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, Serikali imesusia maadhimisho ya 15 ya kumbukumbu ya kifo cha Baba wa Taifa, hayati Mwalimu Julius Nyerere.
Hali hiyo imejidhihirisha jana baada ya MTANZANIA kutembelea yaliyokuwa makazi ya Mwalimu Nyerere, Msasani Dar es Salaam na kutokuta chochote kilichokuwa kikifanyika kama sehemu ya maadhimisho hayo.
Licha ya kutokuta dalili yoyote ya maadhimisho hayo, nyumbani hapo kulikuwa na watoto waliokuwa wakifanya usafi.
Waandishi wetu...
11 years ago
Mwananchi19 Jul
Butiku aionya CCM
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/1EvH6RK7gis/default.jpg)
10 years ago
Mtanzania03 Nov
Butiku: Hii ni siku ya aibu
Baada ya vurugu hizo kuisha Jaji Warioba hakurejea na badala yake Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku, alisimama na kuiita siku ya aibu kwa Watanzania.
Alisema tukio la vurugu ndani ya ukumbi wa mdahalo huo limeshuhudiwa na Watanzania nchi nzima.
“Baadhi ya wahuni waliofanya tukio hilo tunawatambua hivyo katika mikutano yetu ijayo hatutawaruhusu kushuhudia midahalo yetu,” alisema.
Butiku alisema kuwa tukio hilo halitakuwa mwisho wa kuendelea kwa midahalo ya...