Ajeruhiwa kisa amwomba mumewe fedha ya dawa
Mwanamke mmoja mkazi wa Kijiji cha Mnyamasi, Wilaya ya Mpanda mkoani Katavi, Tatu Mihambo (20) amejeruhiwa vibaya baada ya kupigwa na mumewe kwa fimbo na kisha kumwagiwa maji ya moto kwa madai ya kukasirishwa na kitendo cha kumuomba fedha ya matumizi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v4Ts6wAJqDr0YFJ3By0yJXc-odPmcItVp3J0RkmKTn5pUpI98gWlUWaE6sDjOBExCZpcvKCaJ6UmORultrqvH5J7Xu8uo14M/wivu.jpg)
AMCHOMA MUMEWE KISA WIVU WA MAPENZI
11 years ago
Dewji Blog11 Aug
Binti wa kazi ajeruhiwa vibaya kwa kumwagiwa uji wa moto na mke wa bosi wake, kisa wivu wa kimapenzi
Msichana Jackline Lasway akiwa amelazwa katika wodi ya kina mama namba mbili katika hospitali ya Mkoa wa Singida baada ya kujeruhiwa kwa kumwagiwa uji wa moto wakati akiwa dukani kwa bosi wake eneo la soko kuu Manispaa ya Singida.
Na Mwandishi Wetu , Singida.
Msichana mmoja mkazi wa eneo la Minga Manispaa ya Singida amenusurika kifo baada ya kumwagiwa uji wa moto na mke wa tajiri wake wa dukani kutokana na kile kinachosadikiwa kuwa ni wivu wa kimapenzi.
Msichana huyo Jackline Lasway...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ac68YxxsLJ0i5*nzOsyAaKb6txTYVyDX6X9aDp16Kd0pn1hgNPqLw5vK6ulRc2Tg7LGuBZbTKUEfIkgmG3-zKyoxwJIpE11X/rose.jpg)
ROSE NDAUKA AMKIMBIA MUMEWE, KISA MFUNGO
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vJSFiOyZSXXa2UVVzaTQoUHarkHHj3Am9O9qc0p4j8lpEjFp4w9E5FZQPydWNxykbJ8D4LzHK9wbD3nAH4otFgY50JY0*6Cd/Davina.jpg)
DAVINA ACHARUKA KISA KURUDI KWA MUMEWE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NFpLPbeZNYBWjxAVMyo6KgcBC9RYCNPd-z7IDOGyFZ3DKAPW6Aa-ylnWJqteO8iFhb3REy1HX367DL2eCdlcrZ71Xgm2sk9I/tarime.jpg?width=650)
AKATWA PANGA NA MUMEWE KISA, KUZUIA MTOTO KUKEKETWA
10 years ago
Mwananchi07 Nov
Wakimbizi hatarini kisa, ukosefu wa fedha
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5SYuKLMNKFwr*nTJ6hKFEGHogGh8cL1EjHsMMn8ZxSgLnrIDMibNQi6-Y0BWWmUNGfn0*ZDay*mgC93m3s1uY3mJQ43e0*yr/6.jpg?width=650)
ACHOMWA KISU, KISA MGAWO WA FEDHA
10 years ago
GPLKISA DENI LA FEDHA, MAREHEMU AGOMBEWA KUZIKWA DAR AU IRINGA
10 years ago
Vijimambo01 Dec
MKE AKIRI MUMEWE BWANA BALENGA KUMUUZIA NYUMBA MFANYABIASHARA HANS MACHA KUTOKANA NA KULEMEWA NA MADENI YA MAMILIONI YA FEDHA ALIZOKOPA
![](https://2.bp.blogspot.com/-OXrYJ5VzmsA/VHyR7L4bomI/AAAAAAAAr3Y/AzHwj8wPwKc/s1600/MACHA%2BHANS.jpg)
MKE wa mlalamikaji katika kesi ya kughushi dhidi ya Mfanyabiashara Hans Macha (pichani), amedai mahakamani kwamba mumewe anadaiwa fedha nyingi na mshtakiwa, alishindwa kulipa akaamua kumuuzia nyumba.
Mke huyo Nurya Ahmad (34),ambaye ni shahidi wa upande wa utetezi, amedai hayo leo Desemba Mosi, katika Mahakama ya hakimu Mkazi Kisutu,Dar es Salaam, mbele ya Hakimu Mkazi Devotha Kisoka, kwa kuongozwa na wakili wa utetezi, Deo Ringia.
Nurya amedai mahakamani hapo kwamba...