Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakimbizi hatarini kisa, ukosefu wa fedha

>Shirika la Umoja wa Mataifa  linalohudumia Wakimbizi ( UNHCR) linakabiliwa na upungufu mkubwa wa rasilimali fedha kiasi cha kuathiri utoaji wa misaada ya kibinadamu kwa wakimbizi  wanaoendelea kuongezeka kila  mwaka.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Ukosefu wa fedha waathiri Hospitali ya Mkoa Dodoma

HOSPITALI ya Rufaa ya mkoa wa Dodoma inakabiliwa na changamoto kubwa ya kifedha, hali iliyosababisha kushindwa kukamilika kwa ujenzi wa baadhi ya miundombinu hospitalini hapo yakiwemo majengo.

 

10 years ago

Dewji Blog

Ukosefu wa fedha wasababisha taka kulundikana Manispaa ya Singida

DSC04254

Dampo la taka katika kituo kidogo cha mabasi cha Msufini katika mji wa Singida.(Picha zote na Nathaniel Limu)

DSC04256

 

Na Nathaniel Limu, Singida

WAKAZI wanaoishi katika Manispaa ya Singida wapo hatarini kuambukizwa magonjwa mbalimbali kutokana na Manispaa hiyo kushindwa kuzoa taka ngumu zilizopo kwenye maghuba yaliyotengwa kwa ajili ya kukusanyia taka hizo.

Wananchi hao, Mariamu Juma, Tatu Madai na Salma Marco walifafanua kwamba imekuwa ni kawaida kwa Manispaa hiyo kutozoa takataka...

 

5 years ago

Michuzi

MJADALA WAIBUKA TENA BUNGE LA EALA UKOSEFU WA FEDHA ZA KUTOSHA KUENDESHA JUMUIYA EAC


Mbunge wa bunge hilo George Odongo akiongea na wanahabari nje ya bunge.

Na Ahmed Mahmoud Arusha 
Wabunge wa bunge la Afrika mashariki wameibua tena mjadala wa tatizo la ukosefu wa fedha za kutosha kutekeleza majukumu ya kila siku ya jumuiya na kuliomba Baraza la mawaziri kuona uwezekano wa kulipatia ufumbuzi wa kudumu tatizo hilo. 
Akiongea wakati akichangia mjadala wa ripoti ya ukaguzi fedha hilo Mbunge wa EALA Mariamu Ussi alisema kuwa suala hilo ni changamoto ambayo inahitaji kupatiwa...

 

9 years ago

Mwananchi

Uingereza yamwaga fedha kusaidia wakimbizi nchini

Shirika la Kimataifa la Maendeleo la Uingereza (DFID) limepeleka ahueni kwa wakimbizi wa Burundi waliopo nchini baada ya kutoa msaada wa kibinadamu wa pauni 5 milioni takriban Sh16. 5 bilioni.

 

10 years ago

GPL

ACHOMWA KISU, KISA MGAWO WA FEDHA

Stori:Gregory Nyankaira, Butiama/Risasi Mchanganyiko MTU mmoja, Mugusuhi Nyarusahe (39) mkazi wa Kijiji cha Kinyambwiga wilayani Bunda, amelazwa katika chumba cha wagonjwa mahututi (ICU), cha Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mara baada ya kucharangwa visu na wenzake tumboni, katika kile kilichodaiwa kuwa ni mzozo wa mgawo wa fedha zilizotokana na mauzo ya ng’ombe, tukio lililotokea wiki iliyopita. Bw. Mugusuhi Nyarusahe (39)...

 

11 years ago

Mwananchi

Ajeruhiwa kisa amwomba mumewe fedha ya dawa

Mwanamke mmoja mkazi wa Kijiji cha Mnyamasi, Wilaya ya Mpanda mkoani Katavi, Tatu Mihambo (20) amejeruhiwa vibaya baada ya kupigwa na mumewe kwa fimbo na kisha kumwagiwa maji ya moto kwa madai ya kukasirishwa na kitendo cha kumuomba fedha ya matumizi.

 

10 years ago

GPL

KISA DENI LA FEDHA, MAREHEMU AGOMBEWA KUZIKWA DAR AU IRINGA

Mtoto mwingine wa marehemu, Hassan Hatibu,  akizungumza jambo na mtandao huu. Ndugu na jamaa wakiwa katika mzozo huo. KIJANA mmoja aliyefahamika kwa jina la …

 

10 years ago

GPL

PART III YA ADEBAYOR: KAKA ZANGU WALINIWEKEA KISU SHINGONI KISA FEDHA NA NIMEJARIBU MARA KADHAA KUTAKA KUJIUA

Emmanuel Adebayor katika pozi na kaka yake. Picha hii ameiweka leo Facebook. STRAIKA wa Tottenham Hotspur, Emmanuel Adebayor leo ametoa sehemu ya tatu ya historia yake ambapo ameeleza mambo mengi mazito aliyoyapitia maishani mwake. Emmanuel Adebayor akiwaTottenham Hotspur. Staa huyo mwenye miaka 31 raia wa Togo ameweka wazi kuwa mara kaka zake wawili Kola na Peter waliwahi kumwekea kisu shingoni wakitaka awapatie fedha.
...

 

9 years ago

Dewji Blog

Idadi ya Wakimbizi wa Burundi wanaohifadhiwa katika kambi ya Wakimbizi ya Nyarugusu yaongezeka

PIXX 3

Wakimbizi kutoka nchini Burundi  walioko katika kambi ya Nyarugusu wakiwa wamebeba shehena ya unga wa mahindi jana, muda mfupi baada ya kugawiwa chakula hicho Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia chakula (WFP), lililoweka kituo chake katika kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu wilayani Kasulu, mkoani Kigoma.(PICHA ZOTE NA KITENGO CHA MAWASILIANO YA SERIKALI, WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI).

PIXX 1

Mkimbizi kutoka nchini Burundi, Jacqueline Elulu (mwenye mtoto), akisubiri kupata huduma ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani