Uingereza yamwaga fedha kusaidia wakimbizi nchini
Shirika la Kimataifa la Maendeleo la Uingereza (DFID) limepeleka ahueni kwa wakimbizi wa Burundi waliopo nchini baada ya kutoa msaada wa kibinadamu wa pauni 5 milioni takriban Sh16. 5 bilioni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziNBC YAMWAGA MILIONI 62 KUSAIDIA MRADI WA USIMAMIZI WA TAKA
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
11 years ago
Tanzania Daima05 Feb
Quality Group yamwaga fedha TFF
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limepokea msaada wa pesa taslimu shilingi milioni 10 kutoka kwa Kampuni ya Quality Group Ltd ya Dar es Salaam kwa ajili ya kufanikisha mipango mbalimbali...
9 years ago
Habarileo10 Sep
Tanzania yataka ushirikiano kusaidia wakimbizi
TANZANIA imetoa mwito kwa Jumuiya ya Kimataifa kushirikiana nayo katika wajibu wa kuwalinda na kuwapatia misaada ya kibinadamu, wakimbizi wanaokimbia machafuko, vita na migogoro katika nchi zao.
9 years ago
Habarileo10 Oct
Uingereza yatoa bil 14/- ujenzi kambi za wakimbizi
SERIKALI ya Uingereza imetoa msaada wa Sh bilioni 14 kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa kambi mbili za wakimbizi mkoani Kigoma ili kupunguza msongamano katika kambi ya wakimbizi Nyarugusu.
11 years ago
Tanzania Daima10 Jul
Uingereza kusaidia mapambano ya ujangili
SERIKALI ya Uingereza inatarajia kuimarisha uhusiano wa kibiashara na kuisaidia Tanzania kupambana na biashara haramu ya wanyama pori. Waziri wa Uingereza Ofisi ya Mambo ya Nje anayeshughulikia Masuala ya Afrika,...
11 years ago
BBCSwahili13 Jun
Uingereza yaahidi kusaidia Nigeria
10 years ago
Dewji Blog08 Dec
Broadcast Warehouse ya Uingereza kusaidia COMNETA
Mwenyekiti wa mtandao wa vyombo vya habari vya kijamii Tanzania (COMNETA) ambaye pia ni Mkurugenzi wa redio FADECO ya wilayani Karagwe, Bw. Joseph Sekiku, akimtambulisha mgeni kutoka nchini Uingereza kwa wamiliki wa redio za jamii katika mkutano uliojadili masuala ya kiufundi uliofanyika mwishoni mwa juma Chuo kikuu huria.(Picha zote na Zainul Mzige).
Na Mwandishi wetu
Kampuni Broadcast warehouse ya Uingereza imesema ipo tayari kusaidia radio za jamii ambazo kwa sasa zinakabiliwa na...
10 years ago
Mwananchi07 Nov
Wakimbizi hatarini kisa, ukosefu wa fedha
10 years ago
Dewji Blog27 Dec
NHC yakabiliana na tatizo la moyo nchini kwa kusaidia matibabu ya watoto 53 nchini India
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza wakati wa hafla fupi iliyofanyika leo Desemba 26, 2014 kwenye Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam ya kuwaaga jumla ya watoto 55 wenye matatizo ya ugonjwa wa Moyo kati ya 104, waliofadhiliwa na Lions Club ya jijini, kwa ajili ya kwenda kutibiwa nchini India. Watoto hao 55 wa awamu ya kwanza walionza kuondoka nchini jana.
Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) limechangia kiasi cha takribani shilingi...