Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uingereza yamwaga fedha kusaidia wakimbizi nchini

Shirika la Kimataifa la Maendeleo la Uingereza (DFID) limepeleka ahueni kwa wakimbizi wa Burundi waliopo nchini baada ya kutoa msaada wa kibinadamu wa pauni 5 milioni takriban Sh16. 5 bilioni.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

NBC YAMWAGA MILIONI 62 KUSAIDIA MRADI WA USIMAMIZI WA TAKA

Meneja Miradi wa Envirocare, Bw Isreal Richard (kulia) akizungumza wakati wa ufunguzi wa semina ya siku moja ya mradi wa majaribio wa usimamizi wa taka kwa utunzaji mazingira na ustawi wa jamii jijini Dar es Salaam leo. Mradi unaendeshwa na Envirocare kwa ufadhili wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC).Ofisa Afya Mazingira wa Manispaa ya Kinondoni, Kawa Kafuru (kulia) akizungumza na washiriki wa semina hiyo.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

11 years ago

Tanzania Daima

Quality Group yamwaga fedha TFF

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limepokea msaada wa pesa taslimu shilingi milioni 10 kutoka kwa Kampuni ya Quality Group Ltd ya Dar es Salaam kwa ajili ya kufanikisha mipango mbalimbali...

 

9 years ago

Habarileo

Tanzania yataka ushirikiano kusaidia wakimbizi

TANZANIA imetoa mwito kwa Jumuiya ya Kimataifa kushirikiana nayo katika wajibu wa kuwalinda na kuwapatia misaada ya kibinadamu, wakimbizi wanaokimbia machafuko, vita na migogoro katika nchi zao.

 

9 years ago

Habarileo

Uingereza yatoa bil 14/- ujenzi kambi za wakimbizi

SERIKALI ya Uingereza imetoa msaada wa Sh bilioni 14 kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa kambi mbili za wakimbizi mkoani Kigoma ili kupunguza msongamano katika kambi ya wakimbizi Nyarugusu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uingereza kusaidia mapambano ya ujangili

SERIKALI ya Uingereza inatarajia kuimarisha uhusiano wa kibiashara na kuisaidia Tanzania kupambana na biashara haramu ya wanyama pori. Waziri wa Uingereza Ofisi ya Mambo ya Nje anayeshughulikia Masuala ya Afrika,...

 

11 years ago

BBCSwahili

Uingereza yaahidi kusaidia Nigeria

Uingereza imetangaza kuwa itaongeza msaada wake wa kijeshi na kielimu kwa Nigeria ili kuisadia katika juhudi za kupambana na kundi la wanamgambo la Boko Haram.

 

10 years ago

Dewji Blog

Broadcast Warehouse ya Uingereza kusaidia COMNETA

DSC_0220

Mwenyekiti wa mtandao wa vyombo vya habari vya kijamii Tanzania (COMNETA) ambaye pia ni Mkurugenzi wa redio FADECO ya wilayani Karagwe, Bw. Joseph Sekiku, akimtambulisha mgeni kutoka nchini Uingereza kwa wamiliki wa redio za jamii katika mkutano uliojadili masuala ya kiufundi uliofanyika mwishoni mwa juma Chuo kikuu huria.(Picha zote na Zainul Mzige).

Na Mwandishi wetu

Kampuni Broadcast warehouse ya Uingereza imesema ipo tayari kusaidia radio za jamii ambazo kwa sasa zinakabiliwa na...

 

10 years ago

Mwananchi

Wakimbizi hatarini kisa, ukosefu wa fedha

>Shirika la Umoja wa Mataifa  linalohudumia Wakimbizi ( UNHCR) linakabiliwa na upungufu mkubwa wa rasilimali fedha kiasi cha kuathiri utoaji wa misaada ya kibinadamu kwa wakimbizi  wanaoendelea kuongezeka kila  mwaka.

 

10 years ago

Dewji Blog

NHC yakabiliana na tatizo la moyo nchini kwa kusaidia matibabu ya watoto 53 nchini India

unnamed

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza wakati wa hafla fupi iliyofanyika leo Desemba 26, 2014 kwenye Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam ya kuwaaga jumla ya watoto 55 wenye matatizo ya ugonjwa wa Moyo kati ya 104, waliofadhiliwa na Lions Club ya jijini, kwa ajili ya kwenda kutibiwa nchini India. Watoto hao 55 wa awamu ya kwanza walionza kuondoka nchini jana.

Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) limechangia kiasi cha takribani shilingi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani