Uingereza yaahidi kusaidia Nigeria
Uingereza imetangaza kuwa itaongeza msaada wake wa kijeshi na kielimu kwa Nigeria ili kuisadia katika juhudi za kupambana na kundi la wanamgambo la Boko Haram.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi
Vodacom Tanzania Yaahidi kuendelea kusaidia Wabunifu Nchini


10 years ago
Michuzi21 May
UNESCO YAAHIDI KUSAIDIA TANZANIA KUKABILI DHULUMA DHIDI YA WANAOISHI NA ALBINISM
11 years ago
Michuzi24 Jun
11 years ago
Tanzania Daima10 Jul
Uingereza kusaidia mapambano ya ujangili
SERIKALI ya Uingereza inatarajia kuimarisha uhusiano wa kibiashara na kuisaidia Tanzania kupambana na biashara haramu ya wanyama pori. Waziri wa Uingereza Ofisi ya Mambo ya Nje anayeshughulikia Masuala ya Afrika,...
10 years ago
Dewji Blog08 Dec
Broadcast Warehouse ya Uingereza kusaidia COMNETA
Mwenyekiti wa mtandao wa vyombo vya habari vya kijamii Tanzania (COMNETA) ambaye pia ni Mkurugenzi wa redio FADECO ya wilayani Karagwe, Bw. Joseph Sekiku, akimtambulisha mgeni kutoka nchini Uingereza kwa wamiliki wa redio za jamii katika mkutano uliojadili masuala ya kiufundi uliofanyika mwishoni mwa juma Chuo kikuu huria.(Picha zote na Zainul Mzige).
Na Mwandishi wetu
Kampuni Broadcast warehouse ya Uingereza imesema ipo tayari kusaidia radio za jamii ambazo kwa sasa zinakabiliwa na...
10 years ago
Mwananchi08 Oct
Uingereza yamwaga fedha kusaidia wakimbizi nchini
11 years ago
BBCSwahili08 May
Je Marekani imechelewa kusaidia Nigeria?
11 years ago
Dewji Blog07 May
Kikosi cha Marekani kusaidia Nigeria
Marekani imetangaza kwamba imetuma kikosi cha wataalamu nchini Nigeria kusaidia kuwatafuta wasichana takriban 200 wa shule waliotekwa nyara mwezi uliopita na wapiganaji wa kundi la Boko Haram.
Rais Barack Obama ameshutumu utekaji nyara wa wasichana hao na kusema kuwa mataifa yanapaswa kufanya kazi kwa pamoja ili kulikomesha Boko Haram.
Picha :Rais Barack Obama wa Marekani aliyeamuru msaada wa kijeshi na vifaa kuwatafuta wasichana Nigeria.
“Tayari tumetuma kundi letu Nigeria. Wamekubali...
11 years ago
BBCSwahili07 May
Marekani kusaidia Nigeria kwa wasichana