Marekani kusaidia Nigeria kwa wasichana
Marekani imetangaza kwamba imetuma kikosi cha wataalamu nchini Nigeria kusaidia kuwatafuta wasichana takriban 200 waliotekwa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili08 May
Je Marekani imechelewa kusaidia Nigeria?
11 years ago
Dewji Blog07 May
Kikosi cha Marekani kusaidia Nigeria
Marekani imetangaza kwamba imetuma kikosi cha wataalamu nchini Nigeria kusaidia kuwatafuta wasichana takriban 200 wa shule waliotekwa nyara mwezi uliopita na wapiganaji wa kundi la Boko Haram.
Rais Barack Obama ameshutumu utekaji nyara wa wasichana hao na kusema kuwa mataifa yanapaswa kufanya kazi kwa pamoja ili kulikomesha Boko Haram.
Picha :Rais Barack Obama wa Marekani aliyeamuru msaada wa kijeshi na vifaa kuwatafuta wasichana Nigeria.
“Tayari tumetuma kundi letu Nigeria. Wamekubali...
10 years ago
BBCSwahili04 Nov
Ann Cotton atuzwa kwa kusaidia wasichana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-yclT6JknvwY/VaZbn6qx8yI/AAAAAAAHp4Y/sLVKXfbbOTM/s72-c/002.KILIMANJARO.jpg)
TIMU YA WATU 39 WAPANDA MLIMA KILIMANJARO KWA LENGO LA KUCHANGISHA FEDHA ZA KUSAIDIA KUNUNUA VITAMBAA MAALUMU VYA WASICHANA
![](http://3.bp.blogspot.com/-yclT6JknvwY/VaZbn6qx8yI/AAAAAAAHp4Y/sLVKXfbbOTM/s640/002.KILIMANJARO.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-IWlmRRC5vmI/VaZbntVI42I/AAAAAAAHp4U/hvQeZa4gDyU/s640/003.KILIMANJARO.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-tUPS2pJ-yYA/VacKlGNYjtI/AAAAAAAASNg/3n8qzK9mv3U/s72-c/E86A6155%2B%25281280x853%2529.jpg)
TIMU YA WATU 39 KUTOKA AFRIKA KUSINI WAPNDA MLIMA KILIMANJARO KUCHANGISHA FEDHA KWA AJILI YA KUSAIDIA KUNUNUA TAULO MAALUMU KWA WASICHANA WALIOPO MASHULENI PINDI WAWAPO KATIKA HEDHI
![](http://4.bp.blogspot.com/-tUPS2pJ-yYA/VacKlGNYjtI/AAAAAAAASNg/3n8qzK9mv3U/s640/E86A6155%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-_SQu7c010ss/VacKv6BcWRI/AAAAAAAASOI/XjXfbY2I6bA/s640/E86A6182%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-4G3w7bUcYnY/VacKzudlBMI/AAAAAAAASOY/eyi3ovNTFmg/s640/E86A6203%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-RyQ18hEd_XU/VacKBC0LT7I/AAAAAAAASMA/IWhEgOCpm2U/s640/E86A6047%2B%25281280x853%2529.jpg)
9 years ago
Bongo Movies29 Aug
Jokate Ajipanga Kusaidia Wasichana
Mjumbe wa Kamati Mpya ya Miss Tanzania Jokate Mwegelo amesema kuwa kuvikwa kofia nyingi mbali na majukumu yake mengi haviwezi kumchanganya kuendelea mbele, kusaidia wasichana wenye ndoto kama zake.
okate kupitia jukumu lake jipya kama msemaji wa Kamati ya Miss Tanzania ambaye ni mjasiriamali na msanii wa muziki ameiambia eNewz kuwa, jukumu hili ni asili yake ya pili na hajilazimishi kufanya, akiamini katika falsafa ya anayepewa mengi anatarajiwa pia kurejesha mengi.
eNewz pia hatukuweza...
11 years ago
BBCSwahili18 Apr
Msako wa wasichana 100 Nigeria
9 years ago
BBCSwahili27 Aug
Nigeria yawakumbuka wasichana wa Chibok
11 years ago
Habarileo09 May
Alaani utekaji wasichana Nigeria
MAKAMU wa Pili wa Rais Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd amesema Serikali inaungana na Chama cha Majaji Wanawake Duniani (IAWJ) kulaani vitendo vya ukatili na utekaji kwa wasichana nchini Nigeria.