Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je Marekani imechelewa kusaidia Nigeria?

Ni wiki tatu tangu wasichana zaidi ya 200 kutekwa nyara na Boko Haram nchini Nigeria, Je Marekani imechelewa kusaidia?

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Marekani kusaidia Nigeria kwa wasichana

Marekani imetangaza kwamba imetuma kikosi cha wataalamu nchini Nigeria kusaidia kuwatafuta wasichana takriban 200 waliotekwa.

 

11 years ago

Dewji Blog

Kikosi cha Marekani kusaidia Nigeria

Marekani imetangaza kwamba imetuma kikosi cha wataalamu nchini Nigeria kusaidia kuwatafuta wasichana takriban 200 wa shule waliotekwa nyara mwezi uliopita na wapiganaji wa kundi la Boko Haram.

Rais Barack Obama ameshutumu utekaji nyara wa wasichana hao na kusema kuwa mataifa yanapaswa kufanya kazi kwa pamoja ili kulikomesha Boko Haram.

Picha :Rais Barack Obama wa Marekani aliyeamuru msaada wa kijeshi na vifaa kuwatafuta wasichana Nigeria.

obama pics“Tayari tumetuma kundi letu Nigeria. Wamekubali...

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani kusaidia UG kupambana na Kony

Serikali ya Marekani inatuma ndege ya kivita na wanajeshi kusaidia UG kumsaka kiongozi wa kundi la Lord's Resistance Army, Joseph Kony.

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani kusaidia kupambana na Ebola

Marekani imesema itapeleka vifaa vya kijeshi, kusaidia kupambana na ugonjwa wa Ebola uliozuka katika nchi za Afrika Magharibi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani kusaidia Israel kujilinda

Marekani imepitisha mswada unaotoa msaada wa kifedha kwa Israel kuimarisha mfumo wake wa kujilinda

 

10 years ago

GPL

MAREKANI, CHINA KUSAIDIA VITA DHIDI YA UJANGILI

Mkurugenzi wa African Wildlife Foundation, Dr. Patrick Bergin, akizungumza katika mkutano huo. Mkurugenzi Mtendaji wa Wildaid akizungumza. Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu,…

 

11 years ago

BBCSwahili

Uingereza yaahidi kusaidia Nigeria

Uingereza imetangaza kuwa itaongeza msaada wake wa kijeshi na kielimu kwa Nigeria ili kuisadia katika juhudi za kupambana na kundi la wanamgambo la Boko Haram.

 

5 years ago

CCM Blog

MAREKANI KUIPATIA TANZANIA BIL. 5.6 KUSAIDIA KUPAMBANA NA CORONA


Marekani imetangaza kuwa kupitia Shirika lake la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) itaongeza kiasi cha Dola za Kimarekani milioni 2.4 (Takriban Shilingi za Kitanzania bilioni 5.6), ikiwa ni msaada kwa sekta ya afya nchini Tanzania ambapo msaada huu unalenga kuimarisha uwezo wa maabara na upimaji wa kimaabara, kusaidia jitihada za utoaji taarifa, miradi ya maji na usafi wa mazingira, kuzuia na kudhibiti maambukizi, kutoa elimu ya afya kwa umma na miradi mingine.Fedha hizi ni nyongeza ya msaada...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani