Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Marekani kusaidia Israel kujilinda

Marekani imepitisha mswada unaotoa msaada wa kifedha kwa Israel kuimarisha mfumo wake wa kujilinda

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yakasirishwa na hatua ya Israel

Marekani imesema kuwa ina wasiwasi mwingi kwamba maafisa wa Polisi wa Israel wamempiga vibaya kijana mmoja raia wa Marekani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Iran:Marekani yapinga msimamo wa Israel

Rais Obama amepuuzilia onyo alilotoa waziri mkuu wa Israel kuhusu mpango wa Iran wa Nuclear ndani ya bunge la Marekani.

 

9 years ago

BBCSwahili

Jasusi wa Marekani aliyeisaidia Israel aachiliwa

Afisa wa ujasusi wa Marekani aliyehukumiwa kwa kupatikana na hatia ya kuifanyia ujasusi Israel ameachiliwa kutoka gerezani

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani yalaani ICC kuhusu Israel

Marekani imelaani hatua ya mahakama ya kimaitaifa ya uhalifu wa kivita ICC kuanzisha uchunguzi dhidi ya Israel

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani kusaidia UG kupambana na Kony

Serikali ya Marekani inatuma ndege ya kivita na wanajeshi kusaidia UG kumsaka kiongozi wa kundi la Lord's Resistance Army, Joseph Kony.

 

11 years ago

BBCSwahili

Je Marekani imechelewa kusaidia Nigeria?

Ni wiki tatu tangu wasichana zaidi ya 200 kutekwa nyara na Boko Haram nchini Nigeria, Je Marekani imechelewa kusaidia?

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani kusaidia kupambana na Ebola

Marekani imesema itapeleka vifaa vya kijeshi, kusaidia kupambana na ugonjwa wa Ebola uliozuka katika nchi za Afrika Magharibi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani kusaidia Nigeria kwa wasichana

Marekani imetangaza kwamba imetuma kikosi cha wataalamu nchini Nigeria kusaidia kuwatafuta wasichana takriban 200 waliotekwa.

 

11 years ago

Dewji Blog

Kikosi cha Marekani kusaidia Nigeria

Marekani imetangaza kwamba imetuma kikosi cha wataalamu nchini Nigeria kusaidia kuwatafuta wasichana takriban 200 wa shule waliotekwa nyara mwezi uliopita na wapiganaji wa kundi la Boko Haram.

Rais Barack Obama ameshutumu utekaji nyara wa wasichana hao na kusema kuwa mataifa yanapaswa kufanya kazi kwa pamoja ili kulikomesha Boko Haram.

Picha :Rais Barack Obama wa Marekani aliyeamuru msaada wa kijeshi na vifaa kuwatafuta wasichana Nigeria.

obama pics“Tayari tumetuma kundi letu Nigeria. Wamekubali...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani